Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Fairplay hata udaku ni habari !
Mimi naisubiri sana Part 2 maana Jamaa anaonekana kama ni mtu wa system ndio maana anasema jina la Shein Jk alishindwa kulitaja mara 2 wakacheka ! Story tamu sana mpaka nasisimkaaa !
 
wana bodi naomba msione nimerukwa akili,kwa uwezo huu wa kufikiri wa Rostam,napendekeza tumpe nchi yeye mwenyewe!
Mtazamo, tumpe mara ngapi?. Yeye ndiye "The King Maker" aliyemuweka JK kwa zile fedha za Kagoda na sasa ndiye anayemweka EL mwaka 2015!. There is nothing we can do!.

Msiomkubali Lowassa, nawashauri bora mkubalini tuu vinginevyo!.
 
Hutaki Unaacha, kwanza asante kwa hii. Wanabodi hii mada si ya kupuuzwa hata kidogo bali ni uthibitisho tuu 2015 ni CCM ni Edward Lowassa na mgombea Mwenza Amani Karume, Rais wa Zanzibar ni Maalim Seif, Makamo wa kwanza ni Ismail Jussa!. Waziri Mkuu wa rais Lowassa bado sijamjua ila King Maker!, nimemvulia kofia!.

Waraka huu ni uthibitisho wa sisi tunaompigia debe Lowassa tuko right.

Its very very unfortunate rais Jakaya Kikwete kwa Mtandao wa Lowassa, yeye si lolote sii chochote!. Yaani hawezi kifanya lolote its too late now!.

Waraka huu umenipa mwanga ambao sikuufahamu kabla, ni ile siri ya muafaka walikuwepo Jussa na Maalim Seif tuu na Karume!. Taarifa za Shein kutoshinda uchaguzi wa Zanzibar nilizisikia na siku ya kutangazwa matokeo nilikuwepo Zanzibar, kwa Seif ninayemjua mimi, sikupata picha alikubalije!. Sasa nimeelewa, anaerum CUF ni Jussa sio Seif na ndio maana Hamad Rashid kuonyesha interest ya Ukatibu Mkuu ataharibu na ikibidi watammaliza!.

Wapenzi wa JK samahanini sana kuwaeleza yeye si chochote si lolote mbele ya EL kuelekea 2015 kwa sababu kama ni King Maker alimweka pale Sitta na akamng'oa na kumweka Anne!. Then JK hana option zaidi ya kumuahidi EL ikulu 2015 vinginevyo mwakani baada ya uchaguzi wa CCM, EL atamtaja yule mwenye zigo la Richmond alilombebea na kupitia Bunge, impechment process will be initiated na ikisail through that is the end of the road kwa CCM!. Ila RA ataiback up CUF na sio Chadema ndio maana Jussa ni strategic link!.

Suluhu pekee kwa JK na CCM kubaki salama ni kumteua Lowassa ili asimwage mboga!.

Kwa kweli baada ya kuzisoma powers za King Maker, nami Pasco wa jf najiandaa kukaa karibu na wafalme ili japo ninukie manukato!.

Kwa waraka huu, Lowassa ndio tayari Mgombea, Dr. Bilal ni spent force atapumzishwa!.

Kwa wasiojua politics is a dirty game, wait and see for yourself as 2015 draws near!. Kitu ambacho sijafahamu ni jee watu safi kama Dr. Shein, Nahodha na Dr. Mwinyi zamu zao zitakuwa lini kuuonja urais wa Muungano au urais wa Tanzania kwa Mzanzibari ni nehi kimoja?.

Pasco wa jf.
Weee Pasco mhuni sana yaani... uwe karibu unukie manukato au sio?.. unajua kusema kweli una point nzuri sana maana maisha ya leo na umaskini huu unapopiga kelele za mlangoni au kunadi salaa alfajiri ambyo kwao ni usiku wa manane unawachosha waliolala.. Kubakia peke yako inakupa wakati mgumu sana pengine kweli inabidi watu tujipange nyuma ya Lowassa maana kufa maskini nako kazi!!!! Haaa! haaa! haa!
 
Kwa mfumo wa TISS na utawala wa nchi ulivyo JK anajua kila kitu kinachoendelea kila siku. JK anaweza kuwa sehemu ya mtandao huo ama la. Kama rais mwenye busara ameamua kutojionesha yupo kundi/mtandao gani. Hii itamsaidia akae aangalie upepo kama alivyofanya mzee Mkapa pale 2005 jioni kabisa aliposema tuchague rais kijana (akimlenga JK).
 
kwa style hii ya hadithi za siasa na uraisi kila kukicha MAENDELEO na Maisha BORA kwa watanzania ni NDOTO!
 
"Hadithi" ni nyingi NCHI hii! JMK na Karume ni watu wa karibu sana tangu mwaka 2000. Walikuwa na adui yao mmoja wakati huo akiitwa Komandoo Salmin Amour ambaye alimfanyia kitu mbaya JMK kwenye Urais wa mwaka 1995. Haya mengine mapya tena. Yanaweza kuwa kweli kwa kuwa kwenye siasa za bongo hakuna rafiki wala adui wa kudumu.

You are very very wrong !
 
Mtoa thread hii anajua mambo mengi sana na ambayo yako very useful kwa sisi wavimba macho na kwa MH.RAIS mwenye, ila kwa mtazamo wangu bado ana hofu ya nini kinaweza kumtokea kama atamwaga mboga yote anahofia kulala njaa. Ndio maana ukisoma kama thread inakosa muunganiko hivi but nafikiri tumtie moyo ili atupe maneno zaidi.

Nafungua macho na masikio rasmi.............
 
Kwa kweli JF naiogopa sasa!

Kumbe wakubwa wa nji hii mumo ndani humu!! Nakushukuru sana mkuu this is very interesting at least na sisi pangu pakavu tunaambulia tusiri twa nchi yetu!
 
Hutaki Unaacha,

Kwanza asante kwa hii. Wanabodi hii mada si ya kupuuzwa hata kidogo bali ni uthibitisho tuu 2015 ni CCM ni Edward Lowassa na mgombea Mwenza Amani Karume, Rais wa Zanzibar ni Maalim Seif, Makamo wa kwanza ni Ismail Jussa!. Waziri Mkuu wa rais Lowassa bado sijamjua ila King Maker!, nimemvulia kofia!.

Waraka huu ni uthibitisho wa sisi tunaompigia debe Lowassa tuko right.

It's very very unfortunate rais Jakaya Kikwete kwa Mtandao wa Lowassa, yeye si lolote sii chochote!. Yaani hawezi kufanya lolote it's too late now!.

Waraka huu umenipa mwanga ambao sikuufahamu kabla, ni ile siri ya muafaka walikuwepo Jussa na Maalim Seif tuu na Karume!. Taarifa za Shein kutoshinda uchaguzi wa Zanzibar nilizisikia na siku ya kutangazwa matokeo nilikuwepo Zanzibar, kwa Seif ninayemjua mimi, sikupata picha alikubalije!. Sasa nimeelewa, anaerum CUF ni Jussa sio Seif na ndio maana Hamad Rashid kuonyesha interest ya Ukatibu Mkuu ataharibu na ikibidi watammaliza!.

Wapenzi wa JK samahanini sana kuwaeleza yeye si chochote si lolote mbele ya EL kuelekea 2015 kwa sababu kama ni King Maker alimweka pale Sitta na akamng'oa na kumweka Anne!. Then JK hana option zaidi ya kumuahidi EL ikulu 2015 vinginevyo mwakani baada ya uchaguzi wa CCM, EL atamtaja yule mwenye zigo la Richmond alilombebea na kupitia Bunge, impechment process will be initiated na ikisail through that is the end of the road kwa CCM!. Ila RA ataiback up CUF na sio Chadema ndio maana Jussa ni strategic link!.

Suluhu pekee kwa JK na CCM kubaki salama ni kumteua Lowassa ili asimwage mboga!.

Kwa kweli baada ya kuzisoma powers za King Maker, nami Pasco wa JF najiandaa kukaa karibu na wafalme ili japo ninukie manukato!.

Kwa waraka huu, Lowassa ndio tayari Mgombea, Dr. Bilal ni spent force atapumzishwa!.

Kwa wasiojua politics is a dirty game, wait and see for yourself as 2015 draws near!. Kitu ambacho sijafahamu ni jee watu safi kama Dr. Shein, Nahodha na Dr. Mwinyi zamu zao zitakuwa lini kuuonja urais wa Muungano au urais wa Tanzania kwa Mzanzibari ni nehi kimoja?.

Pasco wa jf.

Nahodha sidhani kama ataonekana kwenye medani za kisiasa baada ya 2015, ila Dr Mwinyi zamu yake itafika! na nadhani ataanzia Zanzibar baada ya hapo ndio atakuja bara !
 
kwa style hii ya hadithi za siasa na uraisi kila kukicha MAENDELEO na Maisha BORA kwa watanzania ni NDOTO!
Wakishaingia tu madarakani, shughuli ya kwanza ni kujitayarisha kwa uchaguzi unaofuata, ndo maniac cycle ya banana republic hiyo.
 
143 Reactions
Reply
Back
Top Bottom