WaliNazi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 851
- 96
Peoples power hatuitaji huruma mkuu....hapo keshafunga ndoa na NCCR as well, CDM watabaki wenyewe aisee
Thanks Invisible:
Sospeter Muhongo: Tumelamba Dume. Tena Bingo si ya Kawaida. Huyu napewa Wizara ya Nishati na madini. He has proved himself beyond reasonable doubt.
Mbatia: some sort of Huruma . . . . Kuna vichwa opposition zaidi ya Mbatia.
Janet Mbene: Same reason aliyomteua last time pamoja na Jussa.
Ila ni mtaalamu wa Finance ila sijui kama anaweza kuwa Waziri, labda naibu. But all in all ni Mwanadada Mwanaharakati. sijawahi kusikia ufisadi wake wala chembe.
hapo keshafunga ndoa na NCCR as well, CDM watabaki wenyewe aisee
Thanks Invisible:
Sospeter Muhongo: Tumelamba Dume. Tena Bingo si ya Kawaida. Huyu anapewa Wizara ya Nishati na madini. He has proved himself beyond reasonable doubt.
Mbatia: some sort of Huruma . . . . Kuna vichwa opposition zaidi ya Mbatia.
Janet Mbene: Same reason aliyomteua last time pamoja na Jussa.
Ila ni mtaalamu wa Finance ila sijui kama anaweza kuwa Waziri, labda naibu. But all in all ni Mwanadada Mwanaharakati. sijawahi kusikia ufisadi wake wala chembe.