Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Hata Hajua Qualification Zao; Mkoa wa Katavi Sasa Katibu ni Eng. na Mkuu wa Mkoa Eng.
Nilidhani tuna upungufu wa Eng. nchini
Mkuu acha na sisi maEngineer tutawale kwani uwezo tunao, na matatizo ya wanaKatavi yamepata suluhisho kwakuwa ''Engineers are problems solvers''!!