Kikwete asema, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba uko palepale

Yaan cjui nitakumbuka lipi jema kwa Serikali ya Awamu ya Nne.. Maana watu wamejipigia Serikalini tangu EPA mpaka Escrow.

Aondoke tu na Mungu ampe maisha marefu ashuhudie UKAWA wanaipaishaje Tanzania.

sio lazima wewe na baba yako mmkumbuke
 
Jakaya Kikwete alitakiwa kuzungumzia sakata la mashirika ya hifadhi ya jamii kupitsha sheria kandamizi dhidi ya maslahi mapana ya wafanyakazi mambo ya uchaguzi wapi na wapi.

we ulikuwa unaanglia na kusikiliza kupitia nn viroba ni sumu
 
Kwani mpaka isemwe kimafumbo1?
Ndio maana serikali na 10% zimefilisi mifuko ya jamii na sasa wanalazimisha watu wafikie miaka 60 ndio wachukue mafao yao au kama hawataki basi yakatwe ...ni wafanyakazi wanaochangia kwenye mifuko ya jamii!

Ondoka mzee kalime mzee sijui umekula maharage ya wapi
Yeye profession yake ni uchumi lakini juzi alisema anataka akistaafu awe muhifadhi wanyamapori! Naombea Mungu anipe maisha japo niweze kusoma hata makala yake gazetini maana naona kazi ya kutunga kitabu isiwezekane!
 
Amesema anawashangaa wazee waliokua wanaongea jana kwenye TV kwamba serikali inampango wa kuairisha uchaguzi, Kasema ni aibu kwa watu wazima kudanganya na hajui wanaokoteza wapi hayo maneno.

Na mimi binafsi namshangaa Kikwete ni mzee muongo! Alisema kura ya maoni ya Katiba pendekezwa ni Aprili 30, amedanganya.
Alikubaliana na hao hao wazee anaowaita waongo kupitia kituo cha demokrasia(TDC) kuwa kura ya maoni isubiri hadi 2016, akadanganya akatangaza kuwa itakuwa Aprili 30, 2015! Ni muongo.
Jk alisema majangili na majambazi wanawajua, hadi leo kadanganya hajawachukulia hatua.
Alisema Tume ya Warioba ilifanya kazi nzuri ya kukusanya maoni ya watu na kuandaa rasimu ya Katiba, kumbz anadanganya! Baadae aliigeuka!!
 
Na mimi binafsi namshangaa Kikwete ni mzee muongo! Alisema kura ya maoni ya Katiba pendekezwa ni Aprili 30, amedanganya.
Alikubaliana na hao hao wazee anaowaita waongo kupitia kituo cha demokrasia(TDC) kuwa kura ya maoni isubiri hadi 2016, akadanganya akatangaza kuwa itakuwa Aprili 30, 2015! Ni muongo.
Jk alisema majangili na majambazi wanawajua, hadi leo kadanganya hajawachukulia hatua.
Alisema Tume ya Warioba ilifanya kazi nzuri ya kukusanya maoni ya watu na kuandaa rasimu ya Katiba, kumbz anadanganya! Baadae aliigeuka!!

kelele zenu na wamezenu tumewasikia ila jua kula itapigwa na ucgmhaguzi upo palepale
 
mbowe alipata zero na ndio think tank ya ukawa unategemea nn

ratiba mtapewa ili mshindwe vizuri kama kawaida yenu

hawezi kushinikizwa na chagadema na ukawa

sio lazima wewe na baba yako mmkumbuke

we ulikuwa unaanglia na kusikiliza kupitia nn viroba ni sumu

Hata sijui unachangia nini, nadhani hata wewe mwenyewe hujui.!
 
Rais Kikwete amesema kuwa Viongozi wa UKAWA wamechanganyikiwa na hajui ni Kwa nini wamechanganyikiwa,amesema kuwa viongozi hao wa UKAWA walitangaza jana kuwa Rais Kikwete anataka kujiongezea muda wa madaraka.Rais amesema uchaguzi ni mwezi oktoba Mwaka huu.
Rais amewaita Wazee fulani tena wazee hao wamepagawa,tena hajui hayo maneno wanayatoa wapi.
 
Back
Top Bottom