wao wapinzani walitarajia waimbiwe nini? kwamba wana mawazo ya mabadiliko? kwamba ni viongozi wazuri?
wao wapinzani walitarajia waimbiwe nini? kwamba wana mawazo ya mabadiliko? kwamba ni viongozi wazuri?
swali ni JE, JK atakosa kura?
Na sasa MarLaw ndani ya nyumba, kaazi kwelikweli.
Mkuu Inv, kwanza asante kwa thread hii, pili hilo ulilouliza sio swali, hilo ni jibu tuu, umetumia jibu kupata swali, kama hata mpinzani ndani ya CCM kakosa, hizo kura akose vipi?.leo ndo wanapiga kura za NDIYO kwa JK leo maana hakupata mpinzani ndani ya CCM, swali ni JE, JK atakosa kura?
Na sasa MarLaw ndani ya nyumba, kaazi kwelikweli.
Invisible;Inaendelea leo, ndo wanapiga kura za NDIYO kwa JK leo maana hakupata mpinzani ndani ya CCM, swali ni JE, JK atakosa kura?
Kinachosubiriwa kwa hanu leo ni Mgombea Mwenza wa JK.
Sikujua kama dokii ni mwimabaji mzuri hivyo. Ila navyomwona jakaya lazima aombe namba hapo maana mtoto si mchezo