Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
- Thread starter
- #61
Hivi unataka tukae kimya as if hatujui kuna kitu kinaendelea? Nadhani tukubaliane kuwa there's a power of information, ni vema kwa wasioona kinachoendelea Dodoma tuwafahamishe na ikitokea tuna-report mkutano mwingine labda wa CUF au CHADEMA tutafanya yaleyale; haijalishi vyombo vingine vionyeshe au visionyeshe.Hivi shughuli inayofanyika dodoma ni ya kitaifa?? au ya kichama?? Kama ni ya kichama TBC1, Star TV na RObot wamenunuliwa na CCM?
Naomba mwongozo
Naamini watafanya hivyo kwa vyama vyote; na naamini (huenda si sahihi) CCM watakuwa wamelipia gharama za kurusha kipindi hicho live kwa TV zinazoonyesha mida hii. Swali ni JE, vyama vingine vitataka kila kitu kiende public?Hivi TBC1 watatangaza mkutano wa CHADEMA?