Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Mie nashangaa kabisa hamjui ni nini kinaendelea.
2010 ni mwaka wa Uchaguzi,zinatafutwa pesa za kampeni zitatoka wapi?hivi mmesahau zile pesa za EPA zilizorudishwa zilipelekwa wapi??I mean Benki Gani?TIB.
Endeleeni kusumbuka na kujiuliza ila tunaojua nchi vizuri tunajua nini kinafanyika hivi sasa na kuna wakurugenzi wengi watabadilishwa ili kufanikisha abadhi ya mambo!
2010 ni mwaka wa Uchaguzi,zinatafutwa pesa za kampeni zitatoka wapi?hivi mmesahau zile pesa za EPA zilizorudishwa zilipelekwa wapi??I mean Benki Gani?TIB.
Endeleeni kusumbuka na kujiuliza ila tunaojua nchi vizuri tunajua nini kinafanyika hivi sasa na kuna wakurugenzi wengi watabadilishwa ili kufanikisha abadhi ya mambo!