mwana siasa
Senior Member
- Aug 28, 2007
- 119
- 6
Jamani wana jamii wenzangu samahanini kwa kutokuwepo mtandaone kwa muda kidogo.
Hivi ina maana Muungwana haoni kelele zote hizi wanazopigiwa hawa mafisadi.Yule aliyekuwa mkurugenzi BOT na aliyefacilitate wizi pale BOT kapewa ulaji bada ya kuiba BOT .Soma chini -
Source website ya wizara ya fedha-
http://www.mof.go.tz/mofdocs/anouncement/UTEUZI TR.pdf
Hivi ina maana Muungwana haoni kelele zote hizi wanazopigiwa hawa mafisadi.Yule aliyekuwa mkurugenzi BOT na aliyefacilitate wizi pale BOT kapewa ulaji bada ya kuiba BOT .Soma chini -
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bw. Peter Efraim Mayunga Noni, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) kuanzia tarehe 27 Mei, 2009.
2. Hadi uteuzi wake Bwana Noni alikuwa Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Utendaji (Director of Strategic Planning and Performance Review) katika Benki Kuu ya Tanzania.
3. Uteuzi huu ni kufuatia Bw. William A. Mlaki aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji kustaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria.
TAARIFA HII IMETOLEWA NA MSEMAJI
2. Hadi uteuzi wake Bwana Noni alikuwa Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Utendaji (Director of Strategic Planning and Performance Review) katika Benki Kuu ya Tanzania.
3. Uteuzi huu ni kufuatia Bw. William A. Mlaki aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji kustaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria.
TAARIFA HII IMETOLEWA NA MSEMAJI
Source website ya wizara ya fedha-
http://www.mof.go.tz/mofdocs/anouncement/UTEUZI TR.pdf
Last edited by a moderator: