Kikwete amteua Mwandosya kuwa Mkuu wa Chuo MUST

Profesa Mgombelo yuko wapi siku hizi?
Ndugu, kwa kweli sijui! Baada ya kupigwa dafrao katika siasa, sujapata habari zake. Siasa hizi bwana! Zimetupotezea Mhandisi wa nguvu! Labda kama kuwa mwanajamii yeyote mwenye taarifa za habari ya Prof. Mgombelo azimwage jamvini, tafazai!
 
Kwa mtu aliyepata kupitia COET zamani CoE hataacha kukubaliana na ukweli huu na kwa kujiamini ofisi ambayo kimsingi ni mai ya chuo iliyokuwa inatumiwa na Prof Luanga ilikuwa imeandikwa jina lake kabisa kwa maandishi ya kuchonga bila kujali siku moja itakuja kukaliwa na mtu mwingine.

Kwenye simulizi za kwenye Vimbweta kuna moja walikuwa wanasema ilitokea ubishani fulani kati ya Mkuu Prof. Mathew na Rais Mkapa wakati akiwa madarakani ambapo kwa kujiamini Prof alimwambia Mr. President kwamba itamchukua muda mfupi(Prof Luanga M.) Kuwa na rank aliyonayo Mkapa,wakati yeye (Ben) ingemcost maisha yake yote kufikia kiwango cha elimu cha Luanga of which ni kweli, na kwa kutambua mchango wake bwana mkubwa Ben alikubali kufyata mkia yaisheee!
Mkapa was the president of United Republic of Tanzania. Huyo luhanga ni nani? Ni takataka tu kwa Mkapa. and that is the fact. hao akina mandosya wanautamani sana huo urais pamoja na uprofesa wao. Achana na kitu inayoitwa rais na amri Jeshi mkuu. leo hii akiamrisha vita hata hivyo viprofessor vyenu vitatafuta pa kujificha.
 
Mkapa was the president of United Republic of Tanzania. Huyo luhanga ni nani? Ni takataka tu kwa Mkapa. and that is the fact. hao akina mandosya wanautamani sana huo urais pamoja na uprofesa wao. Achana na kitu inayoitwa rais na amri Jeshi mkuu. leo hii akiamrisha vita hata hivyo viprofessor vyenu vitatafuta pa kujificha.

Abunuas unajua nakuheshim?
 
Last edited by a moderator:
Huyo atakuwa mkuu wa chuo kikuu cha wachawi. Mwakilishi wao bunge la katiba ni Kingunge Ngombale Mwilu

Teh teh teh,na kule Kigoma kikifunguliwa Chuo cha Wanafiki na Wasaliti Mkuu wa Chuo atakuwa Nyepesi na Makamu wake atakuwa Kafulila.
 
Ndugu, kwa kweli sijui! Baada ya kupigwa dafrao katika siasa, sujapata habari zake. Siasa hizi bwana! Zimetupotezea Mhandisi wa nguvu! Labda kama kuwa mwanajamii yeyote mwenye taarifa za habari ya Prof. Mgombelo azimwage jamvini, tafazai!

Mgombelo..ati mhandisi wa nguvu? Mhhh....in life we reap what we plant
 
image.jpg

Haya wakuu.
Misemo ni mingi sana siku hizi.
Hawa walionana angani!!
 
Kuonana kwao kunatuhusi nini,wasijifanya ikulu ni mali yao watasababisha machafuko ,na nyerere angekuwa na mawazo hayo hayo ikulu angewaachia wanae au ndugu zake basi ,hayo ni mawazo na kauri za kipuuzi sana.
 
Ikulu sio mjane kuwa wanarisishana ni mawazo zaifu sana msomi kufikiri hivyo,
 
Back
Top Bottom