George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ijapokuwa MRAMBA, ana kashifa kubwa ya matumizi mabaya ya uongozi, jk amempigia debe B MRAMBA, achaguliwe tena kuwa mbunge wa ROMBO, JK alikuwa anampigia debe MRAMBA, leo katika mkutano wa siasa uliofanyika katika kiwanja cha shule ya msingi mbomai kati, TARAKEA, ROMBO.
Ambapo asilimia 50 ya waliohudhuria , walikuwa wanafunzi wa shule mbalimbali hapa tarakea, kama mboma sec, nduweni sec, motamburu sec, mbomai primary, tarakea primary, na nyingine nyingi
PayGod na wana JF tunaweza pata video clip ya JK akimpigia kampeni MRAMBA na LOWASA tutengeneze advert kwenye media ili kuwaonyesha watanzania ndoa ya JK na mafisadi anaodai amewashughurikia na ana nia thabiti ya kupambana na RUSHWA?
please mwenye video clip ya Rombo na leo monduli tafadhali sana tuwekee ili tuifanyie kazi wazalendo