Nimepata habari kutoka Rombo Kuwa JK amesema kuwa Mramba ana kesi ndogo na atashinda hivyo wananchi wamchague !!!
Mkandara, mkuu wangu jana nimezungumza sana na mama mmoja ambaye alikuwa mkeleketwa asiyetaka kubadilika ili abadili msimamo na nili site mfano wa Mramba kama kielelezo cha hoja yangu mpaka akanielewa, kwani alikuwa na msimamo kuwa mafisadi wamepelekwa mahakamani. Mwisho yule mama akaniambia "Lakini wewe wasema ukweli, hivi mtu ukiwa na kesi mahakamani si unasimamishwa kazi hadi kesi iishe? mbona huyu bado yuko kwenye chama na serikalini?" niliona kaelewa nini nilikusudia na mara akageuka na kurudi upande wangu. Hiyo kura sisi M hawaipati tena. Maana hapo hapo akasema kumbe ni kweli afadhali kumpa Dr Slaa.Swala la CCM kumsimamisha Mgombea ambaye ana kesi mahakamani ni makosa makubwa sana ya kisiasa. Na kila atakalosema Kiktwete lazima litakuwa na walakini kwani haiwezekani kumtetea mtu wa aiana hii kwa njia yeyote. Ilitakiwa kesi ya hawa watu imekwisha kabla hajajiandikisha kugombea na maadam CCM imempitisha, basi pengine wao wanajua zaidi ya hata mahakama.
Haya jamani, Kikwete amegeuka kuwa hakimu, anajua kuwa kesi ya mramba ni ndogo na atashinda tu
Loooh, this is a type of president we have now, ila ngoja tarehe 31, viziwi watasikia bandugu au mnasemaje?
Inategemea kama ndani ya akili zao hao waandishi kuna akili za kutoshaIkiwa hadi kesho kama Jaji Mkuu hajatoa statement ya kumkemea Kikwete, basi waandishi wa habari waende kumuuliza kwa nini.
Ikiwa hadi kesho kama Jaji Mkuu hajatoa statement ya kumkemea Kikwete, basi waandishi wa habari waende kumuuliza kwa nini.