Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,825
- 906
mkuu unaweza ukatufamisha amechemka kivipi..?
Hilo siyo la kuhoji!jamaa kachemka.nukta
mkuu unaweza ukatufamisha amechemka kivipi..?
Ndio maana hawezi kuwaita ninyi vijana....tatizo watukutu sana halafu "mnajidai" mnajua sana hivyo mtabana kumuuliza
Hivi ukiangalia vile vizee kuna hata mmoja ambae angeweza kuona na kuuliza hilo unaloliona na kuliuliza?
Inabidi angalau mara moja ajitutumue (sijui kama ataweza, labda ataishia wale vijana wa "mashina" ambao wakishavaa kijani wanasahau kila kitu) atuite na sisi vijana hasa kwa kuzingatia kuwa under 35 wanatengeneza karibu zaidi ya 70 % ya population ya Tanzania....hili ndilo kundi la kuongea nalo
Faiza,hotuba haikuwa ya kuandikwa tu.Mengi aliyaongezea pia.Sukari aliitaja alipozungumzia mfumuko wa bei.Nikupe mfano:hakuna mahala kwenye hotuba iliyoandikwa ambapo Kikwete alisema walisema eti hapatatosha..sisi tunataka patoshe..Hakuna! Lakini kwenye ile iliyosikika maneno hayo yapo.Faiza,don stick to written..look for audio pia.
Audio nnayo pia. Huna hoja.
Hawa wanawaza ubwabwa tu hakuna kingine, hata hawajui JK alikuwa anaongea porojo gani. unafanya mchezo na posho ya buku 5?
NDUGU WANANCHI ....(sina undugu nae kabisa)
teh teh teh anajua kula na vipofu kweli.....:spy:
:spy:
Anakalilishwa jinsi ya kuongea hajui kitu.
...Mh!! We haumo??ndo mkome, na bado