Kikwete ambaye si rahisi kumuona leo kaonekana!

Pale mtu unapoiangalia picha kwa tafsiri kifalsafa inasema mengi zaidi ya wale waoiangalia kwa kwa wepesi wa kuangalia rangi tu. Picha hii inasema mengi zaidi ya maneno.
 
naam hili la barabara wacha ajenge tu,nampongeza huko kwingine hakunihusu

Hivi Sisi Watanzania ni Mbumbumbu kiasi gani..... Hivi hatujui kuwa serikali imefilisika kwa sababu ya ufisadi....

barabara zipi zimejengwa kwa kodi zetu ama rasilimali za Tanzania.

World Bank, Badea, NSSF na Mashirika mengine ya Nje ya NChi ndo yamekopesha serikali kujenga barabara.

haya madeni ya serikali tuliyokopa tutayalipa miaka zaidi ya kumi ijayo.... Hali ya Maisha na uchumi wa Mtanzania itaendelea kuwa duni chini ya serikali fisadi miaka nenda rudi.

Nchi kama marekani, KENYA, Zambia, Rwanda wanaongelea sera za kuwawezesha wananchi kiuchumi na maisha bora na sio barabara pekee..

kama hali ya wananchi kiuchumi na kimaisha ni duni, hata hiyo barabara hutakanyaga maana huna nauli ya kupanda basi.


Wake up Tanzania, elimu ndo mkombozi wetu ila elimu tunayopewa katika shule za kata ni duni. Hata ukienda vyuo vikuu mikopo haitoshi. Walimu mishahara duni...

Afya duni, kama afya bora hakuna utafanyaje kazi upate pesa???


So Watanzania tuelewe serikali inakusanya kodi zetu na inapaswa kutupa huduma.

rasilimali zetu zinufaishe watanzania na sio Watu binafsi na familia chache USwisiiii
 
Deal father of all----Hivi Sisi Watanzania ni Mbumbumbu kiasi gani..... Hivi hatujui kuwa serikali imefilisika kwa sababu ya ufisadi....

barabara zipi zimejengwa kwa kodi zetu ama rasilimali za Tanzania.

World Bank, Badea, NSSF na Mashirika mengine ya Nje ya NChi ndo yamekopesha serikali kujenga barabara.

haya madeni ya serikali tuliyokopa tutayalipa miaka zaidi ya kumi ijayo.... Hali ya Maisha na uchumi wa Mtanzania itaendelea kuwa duni chini ya serikali fisadi miaka nenda rudi.

Nchi kama marekani, KENYA, Zambia, Rwanda wanaongelea sera za kuwawezesha wananchi kiuchumi na maisha bora na sio barabara pekee..

kama hali ya wananchi kiuchumi na kimaisha ni duni, hata hiyo barabara hutakanyaga maana huna nauli ya kupanda basi.


Wake up Tanzania, elimu ndo mkombozi wetu ila elimu tunayopewa katika shule za kata ni duni. Hata ukienda vyuo vikuu mikopo haitoshi. Walimu mishahara duni...

Afya duni, kama afya bora hakuna utafanyaje kazi upate pesa???


So Watanzania tuelewe serikali inakusanya kodi zetu na inapaswa kutupa huduma.

rasilimali zetu zinufaishe watanzania na sio Watu binafsi na familia chache USwisiiii
 
Du umenikumbusha wakati ule picha Rais zililazimika kubadilishwa. Taifa likaingia matumizi mengine, kisa picha alizopiga wakati ule, 2010 kwa ajili ya matumizi ya ofisi mbalimbali, ilikuwa ni baada ya kampeni za uchaguzi mkuu, hivyo Rais alikuwa na...nini vile...kuna neno walitumia wakimaanisha stress nafikiri, kitu kama mavune or something like.

Hii nayo vipi? Au mavunye yamerudi. Hali ambayo amejaribu kuikimbia tangu akiingia madarakani kwa kujiita au kuitwa kijana naona haikwepeki tena. Nafikiri hapa haikuwa Dodoma. Shati la rangi hiyo linafanana na lile alilovaa majuzi wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani.

Lakini pia kuna ule utafiti uliwahi kufanywa, USA na kubainisha kuwa viongozi/marais wanakuwa kwenye situation ya kuonekana wazee zaidi kuliko umri wao au uhalisia. Sababu zilitajwa.
 
Hii picha inaonesha ni wakati wa mkutano mkuu wa CCM Dodoma November 2012 ambapo wana-magamba walitishia kumngoa Mh. Mwenyekiti wa CCM taifa, hivyo ililazimu JK awe na kikosi-kazi pamoja na kamati ya ufundi (sikiliza hotuba ya Mzee Makamba) chake usiku kucha wanapanga mipango abaki madarakani.

Hivyo kulikuwa hakuna muda wa kujipiga sopu-sopu maana ni kama vitani unakurupuka na kunawa uso maji uone vizuri na kuendelea na mapambano.
Hapana Mdau,hii picha ilipigwa juzi katika uwanja wa Ilulu huko Lindi katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani.Kwa hiyo alifanya maandalizi ya kutosha kabisa.Ki ukweli,nimeipenda sana hii picha!
 
Hakuna kitu ambacho wapiga picha wa rais Jakaya Kikwete hujitahidi kama kupiga picha zinazomuonyeshea uhalisia wake. Sasa muda na mikorogo vimeanza kuwaacha kiasi cha kujikuta hawana jinsi bali kutuletea Kikwete ambaye hatukumjua. Inapendeza sana. Hii inaonyesha ukweli kuwa wakati kweli ukuta ukifika unagota.
a3.jpg

Huyu ndio rais wa tz Mh. Kikwete
 
Hapana Mdau,hii picha ilipigwa juzi katika uwanja wa Ilulu huko Lindi katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani.Kwa hiyo alifanya maandalizi ya kutosha kabisa.Ki ukweli,nimeipenda sana hii picha!
Sasa mkuu hapo kwenye redi itakuwa hata magogoni imekumbwa na lile balaa la vitu vya kichina nini?hii supa black itakuwa ya kichina haikolei...
 
Back
Top Bottom