Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,876
- 18,882
Kikwete aliwafunga mawaziri katika serikali ya Mkapa, Basil Mramba na Daniel Yona, hawa walikuwa viongozi wakubwa
Magufuli anasemwa alipambana na ufisadi na Serikali ya Kikwete ilisemwa sana na Magufuli kuwa ilikuwa na mafisadi, je ni kiongozi yupi katika serikali alifungwa kwa ufisadi na Magufuli?
Magufuli anasemwa alipambana na ufisadi na Serikali ya Kikwete ilisemwa sana na Magufuli kuwa ilikuwa na mafisadi, je ni kiongozi yupi katika serikali alifungwa kwa ufisadi na Magufuli?