mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Kususa inkwisha? mlipoteza muda mrefu sana kwa siasa za kususa susa, naona mmejifunza kuwa kususa inatumika kuwa "disadvantage" kwenu.
Slaa, nakupongeza kwa kuliona hili ingawa si matakwa yako ni matakwa ya Mwenyekiti wako na inabidi uyaheshimu na nna uhakika kuwa yupo sahihi na wewe umeshaliona baada ya kukutana na Rais wako.
Inawezekana hata aliyekuwa anasusiwa kajiuliza kwann mie ndo wananisusia so kaamua ku cool down na kukaa nao awasikilize.