Ayawi ayawi na sasa yamekuwa! ukiingia ikulu lazma uwe kama mbwa na chatu! kwisg habari yao madokita, kesho kazn kama kawa, ashukuriwe mungu mgomo kwishinei waungwana.
Mtu akinisalimia huku ameweka mkono mfukoni huwa namtukanaga kimoyomoyo..ni dharau !!!!
yule muungwana aliyehusika kwenye lile tukio mpaka kesho yupo mangelepa!!labda kuna "kitufe" anaponyeza humo mfukoni ili kunyong'onyesha wale ambao wanamzidi maarifa..(si unakumbuka mambo ya mwanza wakati wa kampeni zake za awamu ya kwanza pale kilumba?)
Labda kuna "kitufe" anaponyeza humo mfukoni ili kunyong'onyesha wale ambao wanamzidi maarifa..(si unakumbuka mambo ya Mwanza wakati wa kampeni zake za awamu ya Kwanza pale kilumba?)
jamani madokta kweli wanamatatizo serikali iwasikilize si umeona huyo dokta wa mwisho kulia alivyo vaa kiatu kirefu, bila shaka ni mtumba sio fasheni
msimlaumu mambo ya ethics hajafundishwaMtu akinisalimia huku ameweka mkono mfukoni huwa namtukanaga kimoyomoyo..ni dharau !!!!
Huyo ni jitu la vijijini ndani huko, lilipopata fursa ya kwendaa kwenye semina Ulaya akaona aje kuwakoga watu kwa viatu bab kubwa, hivyo viatu huvaliwa na ma "Joker" wanapofanya fani zao za kwenda kuchekesha watoto kwenye besidei pati.
Jamaa kaona ndio avitoe akaringie navyo Ikulu. Hajui akifanyacho.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha Ikulu jijini Dar es salaam viongozi wa Chama cha madaktari nchini muda mfupi uliopita. Mkutano wake na Wazee wa Jiji la Dar es salaam umeahirishwa hadi kesho.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha Ikulu jijini Dar es salaam viongozi wa Chama cha madaktari nchini muda mfupi uliopita. Mkutano wake na Wazee wa Jiji la Dar es salaam umeahirishwa hadi kesho.
Mtu akinisalimia huku ameweka mkono mfukoni huwa namtukanaga kimoyomoyo..ni dharau !!!!
Mkuu hukuona au walau kusikia muswada wa marekebisho ya katiba? Hukusikia Shelukindo akipendekeza ipigwe kura ya kutokuwa na imani na rais? Hujui hayo ni matokeo ya akina Mbowe kwenda kula kashata na biriani? Inaelekea hukufuatilia kilichofuatia, na ni bora ukae kimya kwani watu wenye akili watakucheka!!Mbowe na timu yake walikula gahwa na kashata na biriani la usiku, mpka leo kimyaaa. Kwi kwi kwi...
Mwanza hakuna sehemu inayoitwa hivyo, usiseme uongo.