young billioner
Member
- Jan 6, 2014
- 81
- 14
Katika hilo isisahulike kuwa graduates washageuzwa assets as follows;
Mazingira ya ajira yakishayengenezwa ulaji unakuw nje nje maana waandaaji kwanza waanze kupiga kwenye shortlist maana sijawahi kuelew, sielewi na sintoelewa mantiki ya anayejiita HR kuita watu 450 huku nafasi zikiwa ni mbili.
Ikumbukwe wazi kuwa mahali pakufanyia hizo apptitude test huwa panalipiwa wanaJF mnijuze hizo tricks hapo hata kama lugha gongana mpaka mchoro wa picha ten yenye rangi?
Gurudumu litaelekea kwenye kusahihisha posho nazo zitagawiwa kwa wasahihishaji, vipo hapo bajeti iloyopangiwa idara haijasogea?
Call for oral hapo ndo panahusikaga, majibu wengi tunayo.
Game haijaisha kupisha maandalizi ya bomu jamani.
Wanaosem graduates hawataki kujiajiri ebu watuchanganulie namna ambavyo huyo graduate alotoka kupokea hizo hela za bodi tena kwa kupigw a mabomu anavyopata pakuanzia.
Mazingira ya ajira yakishayengenezwa ulaji unakuw nje nje maana waandaaji kwanza waanze kupiga kwenye shortlist maana sijawahi kuelew, sielewi na sintoelewa mantiki ya anayejiita HR kuita watu 450 huku nafasi zikiwa ni mbili.
Ikumbukwe wazi kuwa mahali pakufanyia hizo apptitude test huwa panalipiwa wanaJF mnijuze hizo tricks hapo hata kama lugha gongana mpaka mchoro wa picha ten yenye rangi?
Gurudumu litaelekea kwenye kusahihisha posho nazo zitagawiwa kwa wasahihishaji, vipo hapo bajeti iloyopangiwa idara haijasogea?
Call for oral hapo ndo panahusikaga, majibu wengi tunayo.
Game haijaisha kupisha maandalizi ya bomu jamani.
Wanaosem graduates hawataki kujiajiri ebu watuchanganulie namna ambavyo huyo graduate alotoka kupokea hizo hela za bodi tena kwa kupigw a mabomu anavyopata pakuanzia.