Hii nchi yetu ya ajabu sana; juzi nimeona hata jezi za polisi zimewekwa nembo ya Celtel, sasa wewe umewahi kuona wapi duniani hii kama sio Tanzania tu? Nyie mliopo nje hebu tuambie inawezekana kweli uniform za jeshi zikawa na nembo ya kampuni ya biashara? Wapinzani wetu nao hamna kitu, jambo kama hawajaliona, nafikiri hata msemaji wa jeshi hawana!!
...Oh please dear God no!