Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
on a light note, nilidhani makanali ni watu wa vita na wamezoea mazingira magumu ya maporini? LOL
Mkuu heshima ikurudie, after 14 years ya uongozi uraiani? Mkuuu tulipitia JKT kwa hiyo we have an idea kidogo, huyu mkuu alipaswa tu kustaafishwa maaana hana jeshi tena akilini mwake, na itakuwa vigumu sana at this stage kumrudisha jeshini tena, kwa lugha za kijeshi anaitwa raia huyu!
ANKO VITUKO VYA JK HAVIISHI..USISHANGAE KUMRUDISHA B.GEN KOHI ALIYEKAA URAIANI MIAKA 14...KUMBUKA ALIMVYOAMUA KUMRUDISHA KANALI NDOMBA[RAFIKI YAKE] ALIYEKAA MIAKA 15 KWENYE VYEO VYA URAIANI..NA KUMPA KAZI NYETI CHA UTUMISHI JESHINI..AMBAYO ALWAYS WAMEFANYA HARDENED SOLDIERS KAMA MAJ.GEN LOUIS [LATE] AND THE LIKE ...SIO HUYU AMBAYE HATA ALISHASAHAU JESHI..SO USIONE AJABU KAKA ..KWA JK LOLOTE LINAWEZEKANA!!! TENA SI AFADHALI HUYU KOHI AMEKUWA AKIFANYA SHUGHULI MBILI TATU ZA KIJESHI HATA AKIWA PALE COSTECH...