kafumu wa nzega?...bang mbaya
Nina muongo mmoja toka nimeanza maisha rasmi mkoani Arusha, lakini sijajua mjini hapa au hata nje ya mji Bange inalimwa wapi!.tychicus modogo wangu, remember i warned you about bange ya arusha?? sasa hebu ona unapata ndoto za mchana....
:smash: Mi mdogo wake david cameroon!!!! Natania
Nina muongo mmoja toka nimeanza maisha rasmi mkoani Arusha, lakini sijajua mjini hapa au hata nje ya mji Bange inalimwa wapi!.
Mnaojua tafadhali tuambieni ina nini cha ziada mnapolinganisha na ya sehemu zingine!
Ningeambiwa mirungi a.k.a miraa ningeelewa!
Sina imani na spika....naomba taratibu za kuwasilisha hoja binafsi!
Akipinga Tyson inabidi uwe mpole mheshimiwa.Mie kama mbunge wa Arusha mjini napinga swala la ndoa moja kwa nguvu zote na atakayepingana na mimi 2kitoka nje ya kikao namzibua
Akipinga Tyson inabidi uwe mpole mheshimiwa.
Nina muongo mmoja toka nimeanza maisha rasmi mkoani Arusha, lakini sijajua mjini hapa au hata nje ya mji Bange inalimwa wapi!.
Mnaojua tafadhali tuambieni ina nini cha ziada mnapolinganisha na ya sehemu zingine!
Ningeambiwa mirungi a.k.a miraa ningeelewa!