klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Spika: Klorokwini
Naibu: Ze boss
M/kiti: Preta
Waziri mkuu: Asprin
m/kiti kamati ya nidhamu: PakaJimmy + INVISIBLE
Wabunge: Kila atakaye ichangia hii thread.
MAADA : Ushoga na ndoa za jinsia moja.
Klorokwini: Haya ndugu wabunge , maada ndoo hii naomba michango yenu. Atakaye leta vurugu namtoa nje sasa ivi.
Asanteni
View attachment 40583
hehehe hii nilikuwa sjaiona aisee, kwavile kuanzia kesho nitapotea kidogo kutokana na sababu zisizoweza kuepukika namuomba naibu TB asimamie bunge mpaka nitakaporejea.
msimamo wa spika: Mashoga wamesababisha global warming duniani na hawakubaliki, Mugabe ameahidi kuisaidia tanzania hata kama cameroun atauchuna.