Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Mafuriko yamefunguliwa sasa dadadeki maccm jamba jamba kwa kwenda mbele.

kwa na hilo mnalolipitisha kung'ang'ania urais eti hata kama ni kwa siku 2, si ni LICCM sasa nani anayejambajamba hapa kama sio huyo aliyeiuza chadema kwa bil.10 ! Cc: Lizaboni ,
 
Last edited by a moderator:
Vita imeisha rasmi. Tarehe 25-10-2015 majira ya saa nne asubuhi tu tayari kazi imeisha.
 
Huku, naendesha, boda boda wanapigaa makeleleeeeeeee rais rais raisiiii, Lowassaaaa, sijui hata nani kawaambia kuwa kaenda UKAWA...yaani hawa sijui wameona au wamesikia ktk radios...yaani huwezi amini, taarifa zinafika sekunde siku hizi...daaaaahhh
 
Hii ni kweli? Anawezaje kuwa kwenye kamati kuu na kukaa mbele? Au ndo mazungumzo ya muda mrefu namna hiyo? Nataka niamini au nisiamini mpaka kesho kutwa tutakapowasikia wasemaji wakuu wa chama.
 
lowasa ongea neno tu,lumba mbona mapanya buku yanalia kilio cha samaki.El sema neno tu
 
Kama watanzania hawatapata mabadiliko ndani ya CCM Basi watayapata nje ya CCM, na upinzni wa kweli utatoka ndani ya CCM. Hiyo ni mijineno ya Mwalimu Nyerere.
And get to know that An enemy of yours is YOUR Friend.
 
Huku, niko njiani nasikia nderemoooo, Nasikia UKAWAAAA, Lowassa...Lowassaaaaa...Nikasema nn jamani, wanasema mfalme katua UKAWA...sasa kitawaka...yaani ni vifijo, shangwee, vigelegele, furahaaaa hadi basiiii, yaaani daaaaahhh...

Wape hongera zangu. Wapi huko mkuu?
 
Vituo vya kujiandikishia kura Dar kwalipuka kwa shangwe baada ya vijana kushangilia ujio wa Lowassa Ukawa.... Wanasema "wakati wa ukombozi ni sasa, na kuanzia saizi hatuwapishi wazee kwenye foleni manake hawa wazee ndio wanajifanya kukipenda CCM"....

acha wazuiliwe Tu, tumechoka na Mimi nasema wazuiliwe tu
 
Vituo vya kujiandikishia kura Dar kwalipuka kwa shangwe baada ya vijana kushangilia ujio wa Lowassa Ukawa.... Wanasema "wakati wa ukombozi ni sasa, na kuanzia saizi hatuwapishi wazee kwenye foleni manake hawa wazee ndio wanajifanya kukipenda CCM"....

Kwi kwi kwi kwi kwi!! Na wasiwapishe kweli, naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom