Kijitabu Cha Orodha ya mafisadi wa Elimu Tanzania chagombewa sokoni

Call me stupid... ila niko a bit confused here.. huyu jamaa anasema kwamba hawa wakuu wamedanganya umma kwa kutoa vyeti vya uongo (vyeti fake) au nikwamba university walizosoma ni non-accreditable kwa tz?

You are not alone!

Huyu muhaya nina wasiwasi hata kama na yeye ana akili nzuri au ni kutaka kuuza kitabu chake tuu,hao wote aliowataja wengi wao wamesoma hizo shule ila tatizo ziko non accredited na hilo sio kosa,mzumbe yenyewe ina fall hapo,huwezi kuita hii ni forgery au ufisadi au kushtaki mtu kwa kusoma non accredited schools,huyu analeta story za mtikila za kuchafua watu na kujaza watu ujinga



TCU deals with accreditation of Tanzanian Universities tu. Kuhusu vyuo nje ya nchi, sana sana watakupatia latest list kutoka UNESCO. Jambo hapa ni kwamba vyeti walivyo'present Bungeni hawa waheshimiwa ni kutoka vyuo feki, yaani havitambuliki na UNESCO. Na kusoma katika non-accredited University ni kwamba unataka njia ya mkato kwa kulipia ELIMU bila kuifanyia kazi ipasavyo.

.

UNESCO sio Tanzania, wala sijaona sehemu ambayo waliostipulate kuwa wanafuata standard ya Unesco. we need our standard!

...non accredited doesnt mean fake,ila kuna matatizo kusoma katika hizo shule ambayo naona ni topic nyingine tena!

Surely, tuna mix mambo hapa , na huyo mwandishi kamix mambo!

Are you sure you cant do long distance PHD? as far as i am aware there is no leactures for PHD... and you can do PHD while u are in any country or u have to do is to meet ur superviour in regular bases (and regular bases doesnt mean each month or week)..

Another problem, jamaa hajui PhD ni nini, naona ana refer lazima ukae darasani, na ndio anaona kama PhD ya Magufuli ni ya uongo.

all in all kuna primitive issues hapa naziona, japo kunatatizo tatizo langu mimi ni u=fake wa hizo degree na sio non accredited



kwa MSEMAKWELI maana yake wote waliosoma,IMTU, MuM,Teofilo Kisanjo sijui<, Mzumbe UNIVERSITY(kwanza ni-ibold) wana degree fake! maana ni non accredited universities kwa mujibu wa TUC!!

msinipige mawe
 
Kwa Afrika chuo ambacho kinatoa top class distance learning ni UNISA ya sauz !Huwezi kupata Phd ukiwa tanzania,unatakiwe uwe sauz full time!Unless professa anakuja bongo mara kwa mara

Also Uk kuna Open university na London University external degrees.Hizi vilevile huwezi kufanya Phd ukiwa nje ya Uk,maana unahitaji msimamizi (Professa) etc.sasa hizi za akina Nchimbi,Nagu sidhani waliandika chochote.Utakuta hata fees zililipwa na taxpayers !

Naona shaka sasa Phd za Tanzania ni kwa elites,hata UDSM penyewe.Watu wamemsifu Magufuli kwamba amepata UDSM!Unajiuliza huyu full time ni waziri anamajukumu.saa ngapi alikuwa anapata muda wa kufanya research?je hao maprosessor kwenye Panel walikuwa independent?

Sasa tuna utitiri wa Versities,nilisikia ila Mzumbe kama wanatoa Phd it is a big joke!
Maana chuo hiki ndio kimekuwa mbele kuwa na lectures wenye fake Phd kuanzia boss wao wa zamani Warioba!

We are doomed na uswahili wetu.

Mkuu wale wote wamenyang'anywa zile phd...hata warioba mwenyewe yuko anasoma, wote akina mrina ni Mr siku hizi hakuna cha dr na mshahara umepururuka.
 
You are not alone!







UNESCO sio Tanzania, wala sijaona sehemu ambayo waliostipulate kuwa wanafuata standard ya Unesco. we need our standard!



Surely, tuna mix mambo hapa , na huyo mwandishi kamix mambo!



Another problem, jamaa hajui PhD ni nini, naona ana refer lazima ukae darasani, na ndio anaona kama PhD ya Magufuli ni ya uongo.

all in all kuna primitive issues hapa naziona, japo kunatatizo tatizo langu mimi ni u=fake wa hizo degree na sio non accredited



kwa MSEMAKWELI maana yake wote waliosoma,IMTU, MuM,Teofilo Kisanjo sijui<, Mzumbe UNIVERSITY(kwanza ni-ibold) wana degree fake! maana ni non accredited universities kwa mujibu wa TUC!!

msinipige mawe

Naona unatafuta ugomvi na watu bure...shauri lako mimi simo
 
Mimi sijakisoma hicho kijitabu lakini hadi mtu anatoa majina hadharani najua amefanya research ya nguvu na anajiamini na sidhani kama yeye hajui tofauti ya vyou feki na non acceredited schools

tusimdharau amejitahidi kwa kiasi chake ingawa kitabu chake kinaweza kuwa na mapungufu lakini is a good start kama wewe unachakuongezea tueleze au muelekeze
 
Mkuu kila mtu akifanya kazi yake inatakiwa itambulike na jamii husika jamii yetu au watawala wetu hawako tayari kuangalia haya ndio maana kijana kawatia kitanzi kabisa.

Mimi naunga mkono alicho kifanya na liwe fundisho kwa wote. Hiki kitabu kitasomwa miaka nenda rudi. Na kitakuwa fundisho kwa wote wanaotaka kuwa majangiri wa Elimu.

Nakubaliana na wewe kabisa kwamba hili ni tatizo linalotakiwa kudhibitiwa kwa nguvu zote. Na linaudhi sana hasa kwa tuliojituma na kuhangaika kupata elimu halali. Ndio maana nimemuita mwandishi "kichaa" kama sifa maalum ya ujasiri alio nao ambayo wengine hatuna katika kupambana na uozo wa viongozi wetu.

Lakini ni vyema pia tutambue kwamba tatizo la elimu feki au ya ubabaishaji limeenea sana katika jamii yetu hivi sasa katika ngazi zote. Kuna wenzetu hata mabosi wetu tunaopambana nao siku hadi siku huku tukijua wana elimu ya ubabaishaji lakini wamefanikiwa kupata nafasi wasizostahili na kibaya zaidi wamejaa ngebe nyingi tu.

Hivyo, tunapompongeza Msemakweli kwa kuandika hicho kitabu, tuchukulie hatua hiyo kama changamoto ya kulitazama suala hili kwa undani zaidi. Je, tufurahie (tushabikie) tu kuanikwa kwa majina ya mafisadi wa elimu wachache hadharani huku tukiacha wengi wanaendelea na mchezo huo? Je, tukubaliane kwamba kila anayepata ushahidi wa mafisadi zaidi wa elimu basi aandike kitabu kuwaumbua?

Kwa bahati mbaya (nakiri) sijasoma kitabu chenyewe. Ningependa sana kuona mikakati au hatua zinazopendekezwa kudhibiti ujinga huu ulioingia kwa kasi nchini mwetu ambao viongozi wetu wanauchangamkia kwa kasi na ari isiyokuwa ya kawaida. :mad:
 
Tatizo hapa ni anayewapa ajira hao watu kutofanya background check ya maana. Kama mwajiri kaona "Washington University" kwenye CV na akaona ni sawa, tatizo liko wapi?

Labda kama kazi ina legal requirements za elimu fulani, kama udaktari.
 
You are not alone!

kwa MSEMAKWELI maana yake wote waliosoma,IMTU, MuM,Teofilo Kisanjo sijui<, Mzumbe UNIVERSITY(kwanza ni-ibold) wana degree fake! maana ni non accredited universities kwa mujibu wa TUC!!

msinipige mawe

Mkuu. umenihabarisha vyema. Nilitaka nikapige ka masters kangu pale Mzumbe, kumbe ni non accredited!! Hapo basi, siendi tena!
 
Mimi sijakisoma hicho kijitabu lakini hadi mtu anatoa majina hadharani najua amefanya research ya nguvu na anajiamini na sidhani kama yeye hajui tofauti ya vyou feki na non acceredited schools

tusimdharau amejitahidi kwa kiasi chake ingawa kitabu chake kinaweza kuwa na mapungufu lakini is a good start kama wewe unachakuongezea tueleze au muelekeze

ASSUME = you make an ASS of U and ME.
 
Unless some of us here are also the victims or to put it straight wateja wa hizi diploma mills!!!!!!!.

Nna haki ya kufikiri na kusema bila kumung'unya and ina very conservative mood kwamba ni upuuzi kuzitetea diploma mills and especially kwa viongozi wetu ambao ni policy makers. It just doesn't make sense eti kwa sababu hakuna sijui standard, ooh! mbona sijui nani? Diploma mills are disgrace na kama ndio taifa letu linaelekea kuzibariki then education is just callas!!!!! Our education system is just as sick but not to an extent of matching it to diploma mills.........

In some of these so called "Distance education colleges", You can receive a degree in 2 months without attending class, exams, without assesment and from materials prepared by just some unknown zombies and morons! How do you learn and qualify for an MBA in 6 weeks? A PhD in 6 months?

Anyways kama ni aina mpya ya elimu waipe majina tofauti basi............

Well kama hawa jamaa watoa hizi degrees kutoka diploma mills wanaona the provided qualifications are just the same na the ones from accredited colleges why do they not put their institutions into accreditation kuondoa utata.

Guys hata hizi qualifications zinazotambulika kutokana na work experience kuna taratibu zake, It is not just to speak about it. Yo have to prove it by going thru an assesment process.

All in all kama tulivyo siku zote ni ujanja ujanja, njia za mikato kutafuta heshima na utukufu tusiostahili.

Kamanda Msemakweli anastahili pongezi kwa kuthubutu na kufanya alichokifanya.
 
Unless some of us here are also the victims or to put it straight wateja wa hizi diploma mills!!!!!!!.

Nna haki ya kufikiri na kusema bila kumung'unya and ina very conservative mood kwamba ni upuuzi kuzitetea diploma mills and especially kwa viongozi wetu ambao ni policy makers. It just doesn't make sense eti kwa sababu hakuna sijui standard, ooh! mbona sijui nani? Diploma mills are disgrace na kama ndio taifa letu linaelekea kuzibariki then education is just callas!!!!! Our education system is just as sick but not to an extent of matching it to diploma mills.........

In some of these so called "Distance education colleges", You can receive a degree in 2 months without attending class, exams, without assesment and from materials prepared by just some unknown zombies and morons! How do you learn and qualify for an MBA in 6 weeks? A PhD in 6 months?

Anyways kama ni aina mpya ya elimu waipe majina tofauti basi............

Well kama hawa jamaa watoa hizi degrees kutoka diploma mills wanaona the provided qualifications are just the same na the ones from accredited colleges why do they not put their institutions into accreditation kuondoa utata.

Guys hata hizi qualifications zinazotambulika kutokana na work experience kuna taratibu zake, It is not just to speak about it. Yo have to prove it by going thru an assesment process.

All in all kama tulivyo siku zote ni ujanja ujanja, njia za mikato kutafuta heshima na utukufu tusiostahili.

Kamanda Msemakweli anastahili pongezi kwa kuthubutu na kufanya alichokifanya.

Ndiyo makosa yaleyale ya kutoangalia hoja na kulazimisha tunavyotaka sisi au kuhisi kivingine. Mimi nasoma masters ya thesis nikiwa Nort America na inachukua miaka miwili an nusu! kuna mwingine anayesoma PhD jep miaka 2 na nusu!(usishangae tena mmh! masters miaka miwili na nusu)!! lakini siwezi nikainua mabega na kusema aliyesoma masters ya mwaka mmoja UK au miezi nane ufaransa ninamzidi ubora!

walioraise hoja nikiwapo mimi , je tuna pinga degree fake(zilizofojiwa, non -accredited University au degree za muda mfupi? maana kuna degree za muda mfupi still ni accredited!! kuna mwingine atasema aliyesoma masters ya miezi nane france hana kitu! examples can go on and on, it is even worse ukija kwenye PhD haya mataifa makubwa ndiyo kuna vyuo ambavyo tunaona vizuri Asia huku hawavitambui, kwetu sisi tunakimbilia!

So the point is , tunavyowahukumu hawa watu tunatumia standard gani?? ( hapa sio waliofoji vyeti hao ni wezi ni kosa la jinai) nawasema hawa wengine, tunatumia british, USA, china, Australia, Kenya au tunayo yetu?? isiwe kawaida ya kutoka primary, secondary, chuo, n.k ikawa ndio basi kila mtu lazima apitie hivyo! cammon haiwezakani tukawa na mwazo ya kitumwa kiasi hicho, lets put our standard! kesho nitasimama na kusema kwa sababu niliteseka sana kusoma UK basi waliosoma Asia wote siwatambui!!

Tukaenda TUC tukaona mzumbe university ni non-accredited kwa mujibu wa TUC! Je waliosoma mzumbe wote hawafai simply kwa sababu ni non accredited university?

Leo tukisema tuwapeleke mahakamani tutawahukumu kwa sheria gani? wakiandikwa wamesoma vyuo visivyosajiriwa wanaathirika nini kwa mfano?

Tuna mzigo wa vijana walioiba mitihani ya darasa la saba,form four , form six, watu wamesoma kwa madesa vyuoni, wamesafisha vyeti n.k huwezi ukani-convince mimi kuwa hawa vijana hawana mavyeti ya ajabu , au kusoma hizo shule zisizotambulikana. Achilia mbali kuwa aina ya elimu na kazi zetu zina pendelea wenye vyeti safi na ikiwezekana vya nje! LOL!! hawa vijana, kesho ndio viongozi. tutataja wa kizazi hiki, wataisha???, kizazi kijacho tutawataja tena wengine-wataisha??!!! duh!

uwizi wa mitihani nchi hii umeanza miaka mingi sana , na usikute viongozi fulani walishaiba, ukiwasema leo bila kujadili jinsi ya kutatua tatizo halisaidii taifa!

Personally, nikasema amefanya kazi nzuri, ila mtindo alioutumia ndio mbaya, kuna style nyingi za kuandika ukawaweka watu kwenye mashine ya kukobolea, ukawasha mtambo ukaaacha inakoboa wewe unaondoka watu wanapigana. kuna wengine I believe wamezipata zao kihalali --ila kwa njia ambazo hatujazizoea!! lakini zikiwekwa standard we can be sure where we are reffering from!

Nadhani kuandika kwa nguvu kitu fulani bila hoja si nzuri sana, hata kama viongozi hawa ninawaita mafisadi, lets discuss the issue, na isiwe kila aliye kinyume na wengine basi naye yuko kama hao!!
 
Makonde kiboko.

Mmoja alijiita JULIUS KAMBARAGE NYERERE.......

Mkuu Wasafwa ndio Kiboko

Kuna majina kama

RPCMorogoro, Scania, David Beckam, Lampard, Thousand nk huwa nacheka sana kuna Rafiki yangu ni Dactari pale Rufaa Mbeya huwa anakutana na such kind of names
 
Unapofanya hivyo zingatia na sheria za haki miliki pia. Kwa nini usimtafute Mwandishi kwanza upate ridhaa yake nafikiri anaweza kukupa hata summary yake kwenye soft copy.

Safi sana mkulu kwa wazo hilo.
 
Watanzania wenye elimu za kuungaunga tuko wengi tu. Muulizeni hata Prof. Baregu amesomaje.
 
Nadhani kuna haja ya kukitafuta na kununua,kuliko kufanya scanning,kwan kwa kufanya hivyo nasi tutageuka kuwa mafisadi wa elimu kama wanaozungumziwa.
 
Watanzania wenye elimu za kuungaunga tuko wengi tu. Muulizeni hata Prof. Baregu amesomaje.
aah elimu ya kuunga ? kwa maana umemaliza form 4, ukasoma certificate, Diploma, advanced diploma, postgraduate diploma, masters, Phd.....Prof
utaratibu huo sio kufake ingawa umeunga unga , swala la msingi chuo ulichosoma kinatambulika ili kuitambua elimu yako.
Wilcard tafsiri yako juu ya elimu fake sio sahihi.
 
Kitabu kimesema ukweli mtupu,yaani jamaa hajatafuna maneno kabisa, amesema wazi wazi bila kuficha.

Kweli huyu jamaa Msemakweli kama jina lake.

Mwenye kuonewa aende mahakamani sasa. Kila kitu kimewekwa wazi kimaandishi kabisa.
 
Yes, bring the book here, wamezoea vya kunyonga sasa sisi twawachinjia hatuli kibudu
 
Back
Top Bottom