Jiepushe na siasa za majitaka....talk sense, talk substance, leta hoja zijadiliwe siyo ad hominem arguments!
c&p
Faustine Ndugulile
23 February 2010 · 1-min read ·
Shared with Public
Wiki nimebahatika kupata kijitabu kinachotafutwa kama lulu jijini, kiitwacho "mafisadi wa elimu" kilichoandikwa na Kainerugaba Msemakweli. Msemakweli anajiita ni mwanasheria na mwanaharakati na mtu asiyeogopa kusema kweli.Kijitabu hiki kimeorodhesha baadhi ya viongozi wa kitaifa wanaosemekana na wana elimu na vyeti feki.
Katika kijitabu hiki Msemakweli ame-challenge wale aliowaandika wamshtaki mahakamani kama wanaona wamedhalilishwa. Hadi sasa sijasikia hata mmoja wapo kufanya, jambo linaloleta hisia inawezekana tuhuma zikawa ni za kweli.Leo nimepata faraja kuona mmoja wa viongozi wanaotuhumiwa kuwa na elimu feki, Dk. David Mathayo amesafishwa na tume ya vyuo vikuu. Kwa mujibu wa mamlaka hii, Dk. Mathayo anavyo vyeti vinavyotambulika kitaifa na kimataifa.Bofya hapa kusoma zaidi.Nampa hongera Dk. Mathayo kwa uamuzi huu.
Natumai viongozi wafuatao waliotajwa na Msemakweli kwenye kijitabu chake cha mafisadi wa elimu nao watawasilisha vyeti vyao ili navyo vipate kutambulika: "Dk" Mary Nagu, "Dk" John Nchimbi, "Dk" Makongoro Mahanga, "Dk" Diodurus Kamala, "Dk Chrisant Mzindakaya,William Lukuvi, Victor Mwambalaswa na Anthony Diallo.
c&p
Mafisadi wa elimu Tanzania: David Mathayo atakaswa
https://facebook.com/100057608486785?__tn__=<Faustine Ndugulile
23 February 2010 · 1-min read ·
Shared with Public
Wiki nimebahatika kupata kijitabu kinachotafutwa kama lulu jijini, kiitwacho "mafisadi wa elimu" kilichoandikwa na Kainerugaba Msemakweli. Msemakweli anajiita ni mwanasheria na mwanaharakati na mtu asiyeogopa kusema kweli.Kijitabu hiki kimeorodhesha baadhi ya viongozi wa kitaifa wanaosemekana na wana elimu na vyeti feki.
Katika kijitabu hiki Msemakweli ame-challenge wale aliowaandika wamshtaki mahakamani kama wanaona wamedhalilishwa. Hadi sasa sijasikia hata mmoja wapo kufanya, jambo linaloleta hisia inawezekana tuhuma zikawa ni za kweli.Leo nimepata faraja kuona mmoja wa viongozi wanaotuhumiwa kuwa na elimu feki, Dk. David Mathayo amesafishwa na tume ya vyuo vikuu. Kwa mujibu wa mamlaka hii, Dk. Mathayo anavyo vyeti vinavyotambulika kitaifa na kimataifa.Bofya hapa kusoma zaidi.Nampa hongera Dk. Mathayo kwa uamuzi huu.
Natumai viongozi wafuatao waliotajwa na Msemakweli kwenye kijitabu chake cha mafisadi wa elimu nao watawasilisha vyeti vyao ili navyo vipate kutambulika: "Dk" Mary Nagu, "Dk" John Nchimbi, "Dk" Makongoro Mahanga, "Dk" Diodurus Kamala, "Dk Chrisant Mzindakaya,William Lukuvi, Victor Mwambalaswa na Anthony Diallo.