nimejaribu kusoma kijitabu hote hajaweka mawasiliano yake wala anuani ya mchapaji ili kuona kama kunauwezekano wayeye kuruhusu chapisho lake kubandikwa humu, ila kwmujibu wake kupitia gazeti nililonalo hapa ni kua amechapa naka 89000, sasa kwa kasi ile ya manunuzi sijui kama kwa siku hizi tatu kitakua sokoni.We acha tu,
Halafu watu wana nerve ya kushutumu ufisadi on the next thread.
Namfahamu Mh. Diallo, na nakumbuka nilivyokuwa namuona akipiga book. na nisikuwa nikimsifia kwamba hakika yeye unawezo mkubwa kuliko vijana wengi, kwa maana kuweza kusoma, siasa, biashara etc. But I saw that man... is extraordinary.
Jamaa amesomea degree yake... sasa kama munadhani kusoma lazima uwe darasani... kama hamtambui distance learning... that is your proble.
Diallo, ni jina Sir Name iliyo maarufu kwenye nchi zilizokuwa chini ya Mali Empire. Utalisikia kwenye nchi kama Mali, Senegal, Ivory Coast, Guinea Conacry etc. Wanigeria hawana Diallo (linasomeka kwa wengine Jalo).
Kwa watu wa umri wao mtakuwa mnakumbuka wimbo wa Alpha Blondy "Fanta Diallo". Ila pana wakati nilisikia habari moja kuwa miaka ya uhuru, kuna jamaa wengi wa West Africa waliletwa Zenji na hawa waliacha majina/watoto wenye hizo sir name.
Ila Wasukuma huwa hawachelewi kujipa majina kama Carrington, MacBundala, Mzungu, Ulaya, Marekano, Meja, nk. Sintoshangaa kusikia jamaa si jina lake hasa la ukoo ila kajipachika jina la mshichana wake wa Kiguinea aitwaye Tigui Diallo (Diabate Coulibaly Keita).
Nikingali natafakari "ukichaa" wa mwandishi wa kitabu hicho kujitoa hadharani kuwaadhiri wakulu wenye vyeti vinavyotia shaka, na nikizingatia kilichoelezwa kwenye magazeti tu, najiuliza kama ni sahihi kuandikia suala hilo kitabu. Labda kama lengo ni kutoa uchambuzi mzito na wa msingi wa tatizo hilo na jinsi ya kulitatua (zaidi ya kuwaumbua waheshimiwa na digrii zao feki).
Kama kitabu kimelenga kutaja majina na ushahidi wake tu, basi ingelikuwa bora mwandishi angetoa makala ya utafiti (investigative journalitic piece) kwenye vyombo vya habari badala ya kuandika kitabu kinachotakiwa kudumu kwa muda mrefu na kupitiwa hata na vizazi vijavyo.
Nikingali natafakari "ukichaa" wa mwandishi wa kitabu hicho kujitoa hadharani kuwaadhiri wakulu wenye vyeti vinavyotia shaka, na nikizingatia kilichoelezwa kwenye magazeti tu, najiuliza kama ni sahihi kuandikia suala hilo kitabu. Labda kama lengo ni kutoa uchambuzi mzito na wa msingi wa tatizo hilo na jinsi ya kulitatua (zaidi ya kuwaumbua waheshimiwa na digrii zao feki).
Kama kitabu kimelenga kutaja majina na ushahidi wake tu, basi ingelikuwa bora mwandishi angetoa makala ya utafiti (investigative journalitic piece) kwenye vyombo vya habari badala ya kuandika kitabu kinachotakiwa kudumu kwa muda mrefu na kupitiwa hata na vizazi vijavyo.
TCU ipo.
wote wanao beza kijitabu hicho niwaulize mmefanya nini ktk kupambana na watu wenye vyeti feki?
Kama hakuna mlilofanya ktk juhudi hizi basi kaeni kimya.
Thanks mkuu,
..........................................[snip]
system yetu ya elimu na standard haviko clear kuna loop holes kibao ya watu kufanya fraud, writing that kijarida wont solve problem.
.................................................................
..........................................................................[snip]
angefanya jambo la mbolea ili vijana wetu wajue elimu si lelemama na sio mipasho
You are not wrong but you are similarly not right.
System yetu ina standards. Tangu umri wa kuanza Darasa la kwanza hadi miaka ya elimu na aina ya vyuo. Hata ajira inatambua ni miaka mingapi umekuwa chuoni na mshahara unaostahili.
Tatizo liko kwa wanasiasa. Baadhi hawana elimu ya kuwapa nguvu ya kujishikiza ktk vyeo vyao. Wameamua kufoji au kukiuka taratibu wanazotakiwa kuzilinda.
Baadhi wana familia (watoto, ndungu, nk.) ambao shule haipandi na wahusika hawa wnaamua kutafuta njia za mkato. Watawapeleka shule wanazodhani watapita bila shida ikibidi hata nje ya nchi. Hizo shule zinalazimishwa ziwe safi ili hata wao watambulike.
Tusipende kukubali makosa ya wanasiasa walioamua kuachana na standards nasi tukadhani hakuna standards.
You are not wrong but you are similarly not right.
System yetu ina standards. Tangu umri wa kuanza Darasa la kwanza hadi miaka ya elimu na aina ya vyuo. Hata ajira inatambua ni miaka mingapi umekuwa chuoni na mshahara unaostahili.
Tatizo liko kwa wanasiasa. Baadhi hawana elimu ya kuwapa nguvu ya kujishikiza ktk vyeo vyao. Wameamua kufoji au kukiuka taratibu wanazotakiwa kuzilinda.
Baadhi wana familia (watoto, ndungu, nk.) ambao shule haipandi na wahusika hawa wnaamua kutafuta njia za mkato. Watawapeleka shule wanazodhani watapita bila shida ikibidi hata nje ya nchi. Hizo shule zinalazimishwa ziwe safi ili hata wao watambulike.
Tusipende kukubali makosa ya wanasiasa walioamua kuachana na standards nasi tukadhani hakuna standards.
Kwa nini usituwekee na sisi tukakisoma hapa jamvini?
nimejaribu kusoma kijitabu hote hajaweka mawasiliano yake wala anuani ya mchapaji ili kuona kama kunauwezekano wayeye kuruhusu chapisho lake kubandikwa humu, ila kwmujibu wake kupitia gazeti nililonalo hapa ni kua amechapa naka 89000, sasa kwa kasi ile ya manunuzi sijui kama kwa siku hizi tatu kitakua sokoni.
ila nikifika home nitapima mwenyewe kuona ni busara kubandika humu ama laah.
Nashukuru umesema elimu yetu kuanzia shule ya msingi, in globalised world we dont have that 'yetu' kuna watu wanasoma abroad,wanaishia grade twelve n.k, kuna kijana mmoja alisoma uganda na alipata shida sana kuingia mlimani, alimaliza with flying colours!
Lingine ishu ya kufoji vyeti si ya wanasiasa tu you will be making a big mistake kama unasema ni wanasiasa tu, ni janga la kitaifa mkuu!
Msemakweli alichofanya ni hasira, ila angepiga mbuzi kiaina kwa kujificha nyuma ya 'standard' na angeandika kitabu chake kwa mtindo wa swali!this is another technique ya kufikisha ujumbe bila kuonekana mjinga!
unajua kabisa hatuna standard na hauwezi kuwastaki hawa watu, unauliza swali kuwahukumu wao( pasi standard) na kuwaamsha mamlaka zilizolala ziwajibike!
kwa mfano naiweka degree ya Diallo nina mfananisha na Shivji! alichofanya ni ile ua, ambayo kwa dunia ya sasa watoto wetu si wanasoma na kusikia na bado hao watu hawatachukuliwa hatua yeyote! watu angalau wakiona compariosn they think and decide!
wale walimu wa mzumbe waliofoji vyetii au sijui kusoma shule zisizojuliana ni wanasiasa? ni janga hili la kitaifa
hofu yangu ni kuwa kuna watu amewaandika wana genuine degree ambazo aidha mpya kwetu, na sheria haziko wazi, huyo mtu ukimwandika unafikiri athari zake ni nini?ndiyo nikasema anahukumiwa kwa sheria ipi?
so mjadala ni kufoji? kusoma non accredited school?, kutokukaa darasani! au ni nini hasa? maana kuna walio na notion(primitive) kuwa distance learning ni mbaya, wakati dunia ndio inakoenda huko!
Kwanza kabisa, miaka ya elimu si standard clear.
Pili, kusema nchi yetu haina standard haina maana kwamba mtu anatetea hawa wanasiasa.