Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Katika Hekaheka Za Utafutaji Sasa Niko Nje Ya Nchi Nimeajiriwa sasa Nina Laki 3 Tsh Ila Nahitaji Kurudi Tz Ili Nijiajiri.
Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa Kujumua Viatu Mbeya Mjini Na Kuanza Kuviuza Eneo Nitokalo(kyela)
Ndugu Zangu Nishaurini Mbali Na Wazo Langu,Je Kuna Biashara Nyingine Naweza Fanya Na Ikatoa Faida ya Ziada?
NB:Haijarishi Mkoa Gani ilimradi Biashara Hiyo Ina Manufaa!
Natanguliza Shukrani!
Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa Kujumua Viatu Mbeya Mjini Na Kuanza Kuviuza Eneo Nitokalo(kyela)
Ndugu Zangu Nishaurini Mbali Na Wazo Langu,Je Kuna Biashara Nyingine Naweza Fanya Na Ikatoa Faida ya Ziada?
NB:Haijarishi Mkoa Gani ilimradi Biashara Hiyo Ina Manufaa!
Natanguliza Shukrani!