<br />Kwa wale ambao hampo Igunga mwaweza kuwaweka kando CDM ila ukweli ni kwamba CDM imeingiza jana Vijana 80 kutoka Tarime na wengine 300 walitangulia kabla ya uzinduzi wa kampeni zao kwa ajili ya kuleta vurugu na kondoa mabango ya wenzao. Hakika ninawaambia hali hii italeta machafuko zaidi.
<br />
na kama unasema uongo ujue unatudanganya sisi tu lakini mungu je? Na yeye pia unamdanganya? Sema ukweli daima.