Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Hili nililitarajia kutoka kwenye chama kilichozoea fujo na maandamano kiasi cha kukodi wala ndumu kwenye maandamano yao. Wasiwasi wangu hii thread haitaishi kufikia asubuhi kabla haijafutwa eti kwa kuwa hakuna ushahidi. Wanasahau jinsi wanavyojaza thread za kumkashfu Kikwete kila uchao.
Mawazo ya Ma CCM haya wakifanya wao wanasema Chadema ila wao kutumia polisi kuvuruga si fujo .Ukiwaza kwa masaburi inakuwa issue sana .