Jinsi CHADEMA ilivyoinuka na itakavyoanguka

daza steven

JF-Expert Member
Aug 30, 2016
359
357
Kwa kuanza ni kuwa Chama Cha Democrasia Chadema kimepita kati majanga, matatizo na misukosuko mingi sana na kuvuka salama huko nyuma. Lakini matatizo karibu yote Iliyopitia yalikuwa ya ndani kwa ndani ukiyaangalia kwa makini.
Hivyo Chadema hakijawahi pata external issue au matatizo makubwa kutoka nje ya chama kama wanavyokutana nayo leo katika awamu ya 5.

Swali la msingi kwa sasa je CDM itakivuka hiki kisiki cha awamu ya 5 salama?

KUINUKA KWA CHADEMA.
Chama Cha Democrasia na Maendeleo kiliinuka kwa sababu nyingi tofauti tofauti ila mimi kwa leo nitajikita katika sababu nyepesi nyepesi zaidi ili kupata ufahamu kwa wote, nazo ni:

KUANGUKA KWA CUF.
Ikumbukwe kuwa Chama cha Wananchi (CUF) ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania kabla ya CDM hivyo ilikuwa kama goli liko wazi kwa CDM kuchukuwa nafasi. Hivyo migogolo ya CUF ilisaidia kwa namna moja au nyingine Chadema kujitokeza juu ya CUF. Na kwasababu lazima tuwe na chama kikuu cha upinzani na kambi lasmi ya upinzani bungeni ilikuwa nafasi nzuri wakati huo kwa CDM kuanza kuonekana na kuinuka.

IMANI YA MAENDELEO.
Watanzania wenge waliaminishwa kuwa maendelo hayawezi kuja bila kuwa na mfumo wa vyama vingi na kusahau upande wa pili wa shilingi kuwa maadili ya uongozi na uzalendo pia ni chachu kubwa ya maendeleo kama ilivyokuwa Libya. Hivyo watanzania kukidhi haja ya imani hii kimbilio lakutafuta democrasia lilikuwa kukimbilia Chadema kwani ndiyo chama kilicho onekana kipindi kile na jina lake kama lilivyo kwa nje.

MAKOSA YA CCM.
Makosa yaliyokuwa yakifanywa na chama tawala ndiyo yaliwapa kiki Chadema kuinuka juu zaidi na kupata populariti miongoni mwa Watanzania. Kukuthili kwa madawa ya kulevya, ufisadi, ujangili, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma na mengine mengi, hapo CDM ilitumia mwanya huo kudondosha karata yake ya sera ya ufusadi. Kumbuka Mwembe Yanga na fisadi namba 1 walimtaja Lowasa katika list of shame.

UWEPO WA DR. WILBAD PETER SLAA
Huyu Mhs. kwa kuweka mfano katika chama cha Chadema alikuwa kama injini katika gari, na Freeman alikuwa kama bodi la gari. Yeye alijikita zaidi katika mikakati ya ndani kichama ili chama kiende mbele na alifanikiwa sana na kukiinua chama juu kwa misimamo yake. Alikuwa anaangalia mzigo uliobebwa na chama na ukubwa wa injini yake alipima mambo kisayansi zaidi na kutoa majibu kisayansi ili chama kiende mbele.
PROPAGANDA NA SLOGANI.
Pipoziiii pawaaaaa na kamata mwizi men!!, kunja ngumi, hivi vilileta mihemko miongoni mwa Watanzania kuiamini Chadema zaidi kwa slogani ya matumizi ya nguvu ya umma. Watanzania waliaminishwa kuwa nguvu ya umma haijawa kushindwa hivyo ilitumika kama silaha ya kuiondoa CCM madalakani. Ingawa nguvu ya umma ilikuja kushindwa kule kwa Misri.

CDM KUJIITA CHAMA CHA UKOMBOZI
Watanzania waliamini Chadema imekuja kuwakomboa ingawaje hata mimi napatashida kujuwa ni ukombozi upi hasa. Lakini waTz wengi walisahau kuwa tulisha kombolewa na vyama viwili ambavyo ni ASP na TANU na kupata uhuru mwaka 1961,9, Desemba. Jina hili liliipa kiki kubwa Chadema kuinuka kisiasa.
Na hili la kujiita chama cha ukombozi lilimkera sana aliyekuwa Raisi wa awamu ya 3 Mhs. Benjamini William Mkapa na kuwaita Wapumbafu na Malofa.

SIASA ZA KIKI
Hizi siasa za kiki ni nzuri katika short run ila si nzuri sana katika long run, kwa siasa endelevu uwa kiki zinakujaga kukataa baadaye kama ukutegemea sana.
Kiki zilitumika kutengeneza matukio ya kisiasa na Chadema waliweza kutumia vizuri siasa hizi kuliko watangulizi wao CUF ambapo CUF wenyewe wakati wao walituaminisha kuwa hakuna kiongozi duniani kama Mhs. Prof. Aruna Ibrahim duniani.
Kiki zilipigwa na ziliwaka vema Chadema iliinuka kidedea ikafika wakati mtu aliyegombea udiwani au ubunge au uenyekiti wa mtaa kupitia CDM alikuwa na uhakika mkubwa wa kushinda kuliko aliyegombea kupitia CCM ambacho walikipachika jina la chama cha mafisadi, na wananchi kuchukia CCM.

MATUMIZI MAZURI YA MBWEMBWE
Kunja ngumi na ugunduzi wa Ovaloli au Gwanda na kutumia vijana wa bodaboda kutia fujo ikiwamo kufanya maandamano ya kustukiza na kuchimba, hivi vyote vilisaidia kuibusti CDM kuinuka . Watanzania wakasahau kabisa kuwa hii ni nchi ya amani na uturivu wakapenda ile slogani ya kunja ngumi kwanguvu, wakaipenda sana CDM.
Pia kuhusu Ovaloli au Gwanda Watanzania wengi walipenda na kusahau kuwa kile ni chama cha siasa ktk siasa za democrasia na si gereji au jeshi linalotaka kuchua nchi na kama ilikuwa shida ni jeshi basi tumekuwa na jeshi letu la JWTZ tungelipa nchi ilitutawaliwe ki jeshi. Hivyo vijana wengi walipenda sana na kila kijana alijaribu kununua au kushona gwanda ili aonekane mjanja zaidi hiyo vijana wengi walijiunga na Chadema na kuvaa vazi la ukombozi GWANDA na CCM iliambiwa imevaa GAMBA.

MATUMIZI YA MANENO YASIYO POOZWA NA MITUSI.
Sitaki kurudia ile Mitusi ila watanzania wengi waliamini kuwa ile mitusi waliyokuwa wanatukana viongozi wa Chadema na kuilekeza kwa viongzi wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ilikuwa ni kukomaa kwa democrasia nchini. Ikumbukwe awamu ya kwanza hakukuwa na matusi, awamu ya pili hakukuwa na mitusi hadi ilipofika awamu ya tatu mwishoni ndiyo CDM walianza kuchipua na mitusi ambapo baazi ya watanzania walifuraishwa sana na siasa zile kupelekea Chadema kuinuka.
Ile mitusi iliwapendezesha baadhi ya watanzania hasa ilielekezwa kwa kiongozi fulani ambaye alisha pewa jina la fisadi. Kwahiyo Mitusi ilikisahidia sana Chadema kuinuka.

CHOPA NA MFALME WA ANGA
Helkopta ilizungushwa mwanagu, kijiji chote yaani watu waliiangalia zile hekaheka za Chopa ilibidi wafike tu katika mkutano maana ndege ilipita chini chini na mfalme wa anga akimwelekeza rubani kuwa kata uku, ndenda hadi ng'ambo ya mto rudi. Mi bado sijajuwa ile chopa ilikuwa na nini lakini watu walikuja bila kupenda hata viongozi CCM kata, matawi na vijiji walijiiba kuja kuona zile hekaheka.
Chadema ilikuwa habari ya mjini.

MAANDAMANO YASIYO NA LAZIMA
Maandamano yalitumika kama kiki ya kuinua chama, maandamano mengine yalionekana si ya lazima lakini yalitangazwa na vionozi wa juu wa Chadema na watanzania baadhi walipenda sana zile hekaheka na kuipenda CDM kwasababu ya maandamano. Mabishano kati ya polisi na viongozi wa waandamizi wa Chadema yalileta mijadala kila kona ya nchi na kukiweka chama sehemu ya kujadiliwa sana katika vijiwe na CDM kuwa habari ya mjini.
Kukamatwa na polisi kwa kamanda ilikuwa ni ujiko mkubwa sana kwa kiongozi wa Chadema, kuumia na kufa katika maandamano ilikuwa kiki kubwa sana kwa chama kwani ilisemwa kuwa serikali ya CCM na jeshi la polisi wameua.
Haya yalisababisha sana Chadema kuinuka na nguvu ya ajabu ingawa tafsiri yake ni kama kafara.

MILIPUKO YA MABOM
Chadema na viongozi wake walienda mbali zaidi hata kufikia kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutengeneza matukio ya vilipuzi hili ionekane serikari, polisi na CCM wametekeleza unyama hule ili wananchi waone kumbe wanaonewa sana wawape kura wakati wa uchaguzi. Haya tumeyasikia baada ya madiwani wa Arusha kuamia CCM na kutoa siri hii.
Ikumbukwe kuwa CDM si chama cha kwanza duniani kutumia mbinu hii, aliye kuwa kiongozi wa chama cha Nazi Party Mhs. Adolf Hiltra ndiyo alifanya huu mchezo na kufanikiwa miaka ya 1930s na inasemekana ndiyo kiongozi aliyewai kuua watu wengi zaidi duniani ili kushika madaraka.
Kila mtu atanikubalia kuwa Arusha ilikuwaje na siasa za Chadema wakati ule, kila sehemu ilikuwa pipoziiiii tupu.

KUJITEKA NA KUTEKANA
Matukio haya ya kujiteka yalishika kasi sana na serikari kunyoshewa vidole kila kuchao, Chadema ikapata popularity miongoni mwa watanzania kuwa wanatekwa. Kwa bahati mbaya juzi juzi ndiyo ikagundulika kuwa kumbe wanajiteka na haijatokea mpaka leo baada ya kijana Nondo kujiteka akiwa anakila kitu kama masweta ya baridi kama alijua atatekwa nchi ya baridi, kutumia simu na vitu vingine kama pafyumu ili kujipulizia na watekaji wake akiwa ametekwa na sasa kesi iko mahakamani.

Kwa haya machache niliyo eleza utaweza kuona jinsi Chadema ilivyo inuka wakati ule, na hizi sababu nilizo zisema ukufanya tafiti utakuta ni ukweli tupu kwani nakumbuka chama kilipanga bei ya kadi ya mwanachama kuwa ni shilingi 1500/= lakini mtaani kadi iliuzwa kwa shilingi 3000/= hadi 4500/= kwa kadi.
Tukio hili halijawa tokea kwa chama chochote hapa nchini kadi kuuzwa kwa black market, watu alitafuta kadi za Chadema usiku na mchana ili wajiunge na chama.
Chadema iliinuka.

Naomba niishie hapa kwa leo, Kuanguka uzi utaendelea kesho.

Nawasilisha.
Steven Daza
Mgombea ubunge kupitia Chadema 2015 jimbo la Morogoro Mjini.
 
Japo mimi sio mpenzi wala mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini ila kufa kwa CHADEMA sio rahisi kama unavyodhania. Kwa jinsi mambo yanavyoendelea kilitakiwa kijifie (natural death) muda mrefu tu kuendelea kuwepo ni dhahiri kuna mambo ya kustajabisha yatatokea. Ni jambo la kusubiri na kuona ila kufa kwake sio rahisi kihivyo udhaniavyo mtoa mada.
 
Kwa kuanza ni kuwa Chama Cha Democrasia Chadema kimepita kati majanga, matatizo na misukosuko mingi sana na kuvuka salama huko nyuma. Lakini matatizo karibu yote Iliyopitia yalikuwa ya ndani kwa ndani ukiyaangalia kwa makini.
Hivyo Chadema hakijawahi pata external issue au matatizo makubwa kutoka nje ya chama kama wanavyokutana nayo leo katika awamu ya 5.

Swali la msingi kwa sasa je CDM itakivuka hiki kisiki cha awamu ya 5 salama?

KUINUKA KWA CHADEMA.
Chama Cha Democrasia na Maendeleo kiliinuka kwa sababu nyingi tofauti tofauti ila mimi kwa leo nitajikita katika sababu nyepesi nyepesi zaidi ili kupata ufahamu kwa wote, nazo ni:

KUANGUKA KWA CUF.
Ikumbukwe kuwa Chama cha Wananchi (CUF) ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania kabla ya CDM hivyo ilikuwa kama goli liko wazi kwa CDM kuchukuwa nafasi. Hivyo migogolo ya CUF ilisaidia kwa namna moja au nyingine Chadema kujitokeza juu ya CUF. Na kwasababu lazima tuwe na chama kikuu cha upinzani na kambi lasmi ya upinzani bungeni ilikuwa nafasi nzuri wakati huo kwa CDM kuanza kuonekana na kuinuka.

IMANI YA MAENDELEO.
Watanzania wenge waliaminishwa kuwa maendelo hayawezi kuja bila kuwa na mfumo wa vyama vingi na kusahau upande wa pili wa shilingi kuwa maadili ya uongozi na uzalendo pia ni chachu kubwa ya maendeleo kama ilivyokuwa Libya. Hivyo watanzania kukidhi haja ya imani hii kimbilio lakutafuta democrasia lilikuwa kukimbilia Chadema kwani ndiyo chama kilicho onekana kipindi kile na jina lake kama lilivyo kwa nje.

MAKOSA YA CCM.
Makosa yaliyokuwa yakifanywa na chama tawala ndiyo yaliwapa kiki Chadema kuinuka juu zaidi na kupata populariti miongoni mwa Watanzania. Kukuthili kwa madawa ya kulevya, ufisadi, ujangili, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma na mengine mengi, hapo CDM ilitumia mwanya huo kudondosha karata yake ya sera ya ufusadi. Kumbuka Mwembe Yanga na fisadi namba 1 walimtaja Lowasa katika list of shame.

UWEPO WA DR. WILBAD PETER SLAA
Huyu Mhs. kwa kuweka mfano katika chama cha Chadema alikuwa kama injini katika gari, na Freeman alikuwa kama bodi la gari. Yeye alijikita zaidi katika mikakati ya ndani kichama ili chama kiende mbele na alifanikiwa sana na kukiinua chama juu kwa misimamo yake. Alikuwa anaangalia mzigo uliobebwa na chama na ukubwa wa injini yake alipima mambo kisayansi zaidi na kutoa majibu kisayansi ili chama kiende mbele.
PROPAGANDA NA SLOGANI.
Pipoziiii pawaaaaa na kamata mwizi men!!, kunja ngumi, hivi vilileta mihemko miongoni mwa Watanzania kuiamini Chadema zaidi kwa slogani ya matumizi ya nguvu ya umma. Watanzania waliaminishwa kuwa nguvu ya umma haijawa kushindwa hivyo ilitumika kama silaha ya kuiondoa CCM madalakani. Ingawa nguvu ya umma ilikuja kushindwa kule kwa Misri.

CDM KUJIITA CHAMA CHA UKOMBOZI
Watanzania waliamini Chadema imekuja kuwakomboa ingawaje hata mimi napatashida kujuwa ni ukombozi upi hasa. Lakini waTz wengi walisahau kuwa tulisha kombolewa na vyama viwili ambavyo ni ASP na TANU na kupata uhuru mwaka 1961,9, Desemba. Jina hili liliipa kiki kubwa Chadema kuinuka kisiasa.
Na hili la kujiita chama cha ukombozi lilimkera sana aliyekuwa Raisi wa awamu ya 3 Mhs. Benjamini William Mkapa na kuwaita Wapumbafu na Malofa.

SIASA ZA KIKI
Hizi siasa za kiki ni nzuri katika short run ila si nzuri sana katika long run, kwa siasa endelevu uwa kiki zinakujaga kukataa baadaye kama ukutegemea sana.
Kiki zilitumika kutengeneza matukio ya kisiasa na Chadema waliweza kutumia vizuri siasa hizi kuliko watangulizi wao CUF ambapo CUF wenyewe wakati wao walituaminisha kuwa hakuna kiongozi duniani kama Mhs. Prof. Aruna Ibrahim duniani.
Kiki zilipigwa na ziliwaka vema Chadema iliinuka kidedea ikafika wakati mtu aliyegombea udiwani au ubunge au uenyekiti wa mtaa kupitia CDM alikuwa na uhakika mkubwa wa kushinda kuliko aliyegombea kupitia CCM ambacho walikipachika jina la chama cha mafisadi, na wananchi kuchukia CCM.

MATUMIZI MAZURI YA MBWEMBWE
Kunja ngumi na ugunduzi wa Ovaloli au Gwanda na kutumia vijana wa bodaboda kutia fujo ikiwamo kufanya maandamano ya kustukiza na kuchimba, hivi vyote vilisaidia kuibusti CDM kuinuka . Watanzania wakasahau kabisa kuwa hii ni nchi ya amani na uturivu wakapenda ile slogani ya kunja ngumi kwanguvu, wakaipenda sana CDM.
Pia kuhusu Ovaloli au Gwanda Watanzania wengi walipenda na kusahau kuwa kile ni chama cha siasa ktk siasa za democrasia na si gereji au jeshi linalotaka kuchua nchi na kama ilikuwa shida ni jeshi basi tumekuwa na jeshi letu la JWTZ tungelipa nchi ilitutawaliwe ki jeshi. Hivyo vijana wengi walipenda sana na kila kijana alijaribu kununua au kushona gwanda ili aonekane mjanja zaidi hiyo vijana wengi walijiunga na Chadema na kuvaa vazi la ukombozi GWANDA na CCM iliambiwa imevaa GAMBA.

MATUMIZI YA MANENO YASIYO POOZWA NA MITUSI.
Sitaki kurudia ile Mitusi ila watanzania wengi waliamini kuwa ile mitusi waliyokuwa wanatukana viongozi wa Chadema na kuilekeza kwa viongzi wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ilikuwa ni kukomaa kwa democrasia nchini. Ikumbukwe awamu ya kwanza hakukuwa na matusi, awamu ya pili hakukuwa na mitusi hadi ilipofika awamu ya tatu mwishoni ndiyo CDM walianza kuchipua na mitusi ambapo baazi ya watanzania walifuraishwa sana na siasa zile kupelekea Chadema kuinuka.
Ile mitusi iliwapendezesha baadhi ya watanzania hasa ilielekezwa kwa kiongozi fulani ambaye alisha pewa jina la fisadi. Kwahiyo Mitusi ilikisahidia sana Chadema kuinuka.

CHOPA NA MFALME WA ANGA
Helkopta ilizungushwa mwanagu, kijiji chote yaani watu waliiangalia zile hekaheka za Chopa ilibidi wafike tu katika mkutano maana ndege ilipita chini chini na mfalme wa anga akimwelekeza rubani kuwa kata uku, ndenda hadi ng'ambo ya mto rudi. Mi bado sijajuwa ile chopa ilikuwa na nini lakini watu walikuja bila kupenda hata viongozi CCM kata, matawi na vijiji walijiiba kuja kuona zile hekaheka.
Chadema ilikuwa habari ya mjini.

MAANDAMANO YASIYO NA LAZIMA
Maandamano yalitumika kama kiki ya kuinua chama, maandamano mengine yalionekana si ya lazima lakini yalitangazwa na vionozi wa juu wa Chadema na watanzania baadhi walipenda sana zile hekaheka na kuipenda CDM kwasababu ya maandamano. Mabishano kati ya polisi na viongozi wa waandamizi wa Chadema yalileta mijadala kila kona ya nchi na kukiweka chama sehemu ya kujadiliwa sana katika vijiwe na CDM kuwa habari ya mjini.
Kukamatwa na polisi kwa kamanda ilikuwa ni ujiko mkubwa sana kwa kiongozi wa Chadema, kuumia na kufa katika maandamano ilikuwa kiki kubwa sana kwa chama kwani ilisemwa kuwa serikali ya CCM na jeshi la polisi wameua.
Haya yalisababisha sana Chadema kuinuka na nguvu ya ajabu ingawa tafsiri yake ni kama kafara.

MILIPUKO YA MABOM
Chadema na viongozi wake walienda mbali zaidi hata kufikia kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutengeneza matukio ya vilipuzi hili ionekane serikari, polisi na CCM wametekeleza unyama hule ili wananchi waone kumbe wanaonewa sana wawape kura wakati wa uchaguzi. Haya tumeyasikia baada ya madiwani wa Arusha kuamia CCM na kutoa siri hii.
Ikumbukwe kuwa CDM si chama cha kwanza duniani kutumia mbinu hii, aliye kuwa kiongozi wa chama cha Nazi Party Mhs. Adolf Hiltra ndiyo alifanya huu mchezo na kufanikiwa miaka ya 1930s na inasemekana ndiyo kiongozi aliyewai kuua watu wengi zaidi duniani ili kushika madaraka.
Kila mtu atanikubalia kuwa Arusha ilikuwaje na siasa za Chadema wakati ule, kila sehemu ilikuwa pipoziiiii tupu.

KUJITEKA NA KUTEKANA
Matukio haya ya kujiteka yalishika kasi sana na serikari kunyoshewa vidole kila kuchao, Chadema ikapata popularity miongoni mwa watanzania kuwa wanatekwa. Kwa bahati mbaya juzi juzi ndiyo ikagundulika kuwa kumbe wanajiteka na haijatokea mpaka leo baada ya kijana Nondo kujiteka akiwa anakila kitu kama masweta ya baridi kama alijua atatekwa nchi ya baridi, kutumia simu na vitu vingine kama pafyumu ili kujipulizia na watekaji wake akiwa ametekwa na sasa kesi iko mahakamani.

Kwa haya machache niliyo eleza utaweza kuona jinsi Chadema ilivyo inuka wakati ule, na hizi sababu nilizo zisema ukufanya tafiti utakuta ni ukweli tupu kwani nakumbuka chama kilipanga bei ya kadi ya mwanachama kuwa ni shilingi 1500/= lakini mtaani kadi iliuzwa kwa shilingi 3000/= hadi 4500/= kwa kadi.
Tukio hili halijawa tokea kwa chama chochote hapa nchini kadi kuuzwa kwa black market, watu alitafuta kadi za Chadema usiku na mchana ili wajiunge na chama.
Chadema iliinuka.

Naomba niishie hapa kwa leo, Kuanguka uzi utaendelea kesho.

Nawasilisha.
Steven Daza
Mgombea ubunge kupitia Chadema 2015 jimbo la Morogoro Mjini.
Pole sana aisee

Rudi shule ukapunguze ujunga halafu urudi ukiwa kidogo umeelimika
 
CDM hakiwezi kufa kwasababu ndo chama makini kilichobakia chenye kuweza kuleta chachu na fikra tofauti za upinzani,

Ila tatizo ni kuwa kwa awamu hii ya tano kina kazi kubwa ya kujitathmini na kuleta mijadala tofauti km vile ilivyokuwa kipindi cha awamu ya nne, wapinzani ni km checkpoint ya demokrasia na maendeleo ya nchi, so ningependa waje na malalamiko ya wananchi zaidi kuliko malalamiko ya kichama, kulalamika kuonewa na kukandamizwa na hujuma za hapa na pale hakitakipa maendeleo yoyote zaidi kitashindwa kuleta hoja za msingi kwa wanachama wake.

Binafsi kwa maoni yangu nilikipenda sana chama kilivyokuwa kinatetea maslahi ya taifa kipindi cha ufisadi kilichopita ila sahv siwez kusema napenda kuwasikiliza sana maana naona wanalalamika tu kichama sio kimaendeleo. Waje na kero za wananchi, watafute kero za wananchi kwenye majimbo yao wayashughulikie ndo nitawakubali zaidi, na mi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini. No povu!
 
Kwa kuanza ni kuwa Chama Cha Democrasia Chadema kimepita kati majanga, matatizo na misukosuko mingi sana na kuvuka salama huko nyuma. Lakini matatizo karibu yote Iliyopitia yalikuwa ya ndani kwa ndani ukiyaangalia kwa makini.
Hivyo Chadema hakijawahi pata external issue au matatizo makubwa kutoka nje ya chama kama wanavyokutana nayo leo katika awamu ya 5.

Swali la msingi kwa sasa je CDM itakivuka hiki kisiki cha awamu ya 5 salama?

KUINUKA KWA CHADEMA.
Chama Cha Democrasia na Maendeleo kiliinuka kwa sababu nyingi tofauti tofauti ila mimi kwa leo nitajikita katika sababu nyepesi nyepesi zaidi ili kupata ufahamu kwa wote, nazo ni:

KUANGUKA KWA CUF.
Ikumbukwe kuwa Chama cha Wananchi (CUF) ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania kabla ya CDM hivyo ilikuwa kama goli liko wazi kwa CDM kuchukuwa nafasi. Hivyo migogolo ya CUF ilisaidia kwa namna moja au nyingine Chadema kujitokeza juu ya CUF. Na kwasababu lazima tuwe na chama kikuu cha upinzani na kambi lasmi ya upinzani bungeni ilikuwa nafasi nzuri wakati huo kwa CDM kuanza kuonekana na kuinuka.

IMANI YA MAENDELEO.
Watanzania wenge waliaminishwa kuwa maendelo hayawezi kuja bila kuwa na mfumo wa vyama vingi na kusahau upande wa pili wa shilingi kuwa maadili ya uongozi na uzalendo pia ni chachu kubwa ya maendeleo kama ilivyokuwa Libya. Hivyo watanzania kukidhi haja ya imani hii kimbilio lakutafuta democrasia lilikuwa kukimbilia Chadema kwani ndiyo chama kilicho onekana kipindi kile na jina lake kama lilivyo kwa nje.

MAKOSA YA CCM.
Makosa yaliyokuwa yakifanywa na chama tawala ndiyo yaliwapa kiki Chadema kuinuka juu zaidi na kupata populariti miongoni mwa Watanzania. Kukuthili kwa madawa ya kulevya, ufisadi, ujangili, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma na mengine mengi, hapo CDM ilitumia mwanya huo kudondosha karata yake ya sera ya ufusadi. Kumbuka Mwembe Yanga na fisadi namba 1 walimtaja Lowasa katika list of shame.

UWEPO WA DR. WILBAD PETER SLAA
Huyu Mhs. kwa kuweka mfano katika chama cha Chadema alikuwa kama injini katika gari, na Freeman alikuwa kama bodi la gari. Yeye alijikita zaidi katika mikakati ya ndani kichama ili chama kiende mbele na alifanikiwa sana na kukiinua chama juu kwa misimamo yake. Alikuwa anaangalia mzigo uliobebwa na chama na ukubwa wa injini yake alipima mambo kisayansi zaidi na kutoa majibu kisayansi ili chama kiende mbele.
PROPAGANDA NA SLOGANI.
Pipoziiii pawaaaaa na kamata mwizi men!!, kunja ngumi, hivi vilileta mihemko miongoni mwa Watanzania kuiamini Chadema zaidi kwa slogani ya matumizi ya nguvu ya umma. Watanzania waliaminishwa kuwa nguvu ya umma haijawa kushindwa hivyo ilitumika kama silaha ya kuiondoa CCM madalakani. Ingawa nguvu ya umma ilikuja kushindwa kule kwa Misri.

CDM KUJIITA CHAMA CHA UKOMBOZI
Watanzania waliamini Chadema imekuja kuwakomboa ingawaje hata mimi napatashida kujuwa ni ukombozi upi hasa. Lakini waTz wengi walisahau kuwa tulisha kombolewa na vyama viwili ambavyo ni ASP na TANU na kupata uhuru mwaka 1961,9, Desemba. Jina hili liliipa kiki kubwa Chadema kuinuka kisiasa.
Na hili la kujiita chama cha ukombozi lilimkera sana aliyekuwa Raisi wa awamu ya 3 Mhs. Benjamini William Mkapa na kuwaita Wapumbafu na Malofa.

SIASA ZA KIKI
Hizi siasa za kiki ni nzuri katika short run ila si nzuri sana katika long run, kwa siasa endelevu uwa kiki zinakujaga kukataa baadaye kama ukutegemea sana.
Kiki zilitumika kutengeneza matukio ya kisiasa na Chadema waliweza kutumia vizuri siasa hizi kuliko watangulizi wao CUF ambapo CUF wenyewe wakati wao walituaminisha kuwa hakuna kiongozi duniani kama Mhs. Prof. Aruna Ibrahim duniani.
Kiki zilipigwa na ziliwaka vema Chadema iliinuka kidedea ikafika wakati mtu aliyegombea udiwani au ubunge au uenyekiti wa mtaa kupitia CDM alikuwa na uhakika mkubwa wa kushinda kuliko aliyegombea kupitia CCM ambacho walikipachika jina la chama cha mafisadi, na wananchi kuchukia CCM.

MATUMIZI MAZURI YA MBWEMBWE
Kunja ngumi na ugunduzi wa Ovaloli au Gwanda na kutumia vijana wa bodaboda kutia fujo ikiwamo kufanya maandamano ya kustukiza na kuchimba, hivi vyote vilisaidia kuibusti CDM kuinuka . Watanzania wakasahau kabisa kuwa hii ni nchi ya amani na uturivu wakapenda ile slogani ya kunja ngumi kwanguvu, wakaipenda sana CDM.
Pia kuhusu Ovaloli au Gwanda Watanzania wengi walipenda na kusahau kuwa kile ni chama cha siasa ktk siasa za democrasia na si gereji au jeshi linalotaka kuchua nchi na kama ilikuwa shida ni jeshi basi tumekuwa na jeshi letu la JWTZ tungelipa nchi ilitutawaliwe ki jeshi. Hivyo vijana wengi walipenda sana na kila kijana alijaribu kununua au kushona gwanda ili aonekane mjanja zaidi hiyo vijana wengi walijiunga na Chadema na kuvaa vazi la ukombozi GWANDA na CCM iliambiwa imevaa GAMBA.

MATUMIZI YA MANENO YASIYO POOZWA NA MITUSI.
Sitaki kurudia ile Mitusi ila watanzania wengi waliamini kuwa ile mitusi waliyokuwa wanatukana viongozi wa Chadema na kuilekeza kwa viongzi wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ilikuwa ni kukomaa kwa democrasia nchini. Ikumbukwe awamu ya kwanza hakukuwa na matusi, awamu ya pili hakukuwa na mitusi hadi ilipofika awamu ya tatu mwishoni ndiyo CDM walianza kuchipua na mitusi ambapo baazi ya watanzania walifuraishwa sana na siasa zile kupelekea Chadema kuinuka.
Ile mitusi iliwapendezesha baadhi ya watanzania hasa ilielekezwa kwa kiongozi fulani ambaye alisha pewa jina la fisadi. Kwahiyo Mitusi ilikisahidia sana Chadema kuinuka.

CHOPA NA MFALME WA ANGA
Helkopta ilizungushwa mwanagu, kijiji chote yaani watu waliiangalia zile hekaheka za Chopa ilibidi wafike tu katika mkutano maana ndege ilipita chini chini na mfalme wa anga akimwelekeza rubani kuwa kata uku, ndenda hadi ng'ambo ya mto rudi. Mi bado sijajuwa ile chopa ilikuwa na nini lakini watu walikuja bila kupenda hata viongozi CCM kata, matawi na vijiji walijiiba kuja kuona zile hekaheka.
Chadema ilikuwa habari ya mjini.

MAANDAMANO YASIYO NA LAZIMA
Maandamano yalitumika kama kiki ya kuinua chama, maandamano mengine yalionekana si ya lazima lakini yalitangazwa na vionozi wa juu wa Chadema na watanzania baadhi walipenda sana zile hekaheka na kuipenda CDM kwasababu ya maandamano. Mabishano kati ya polisi na viongozi wa waandamizi wa Chadema yalileta mijadala kila kona ya nchi na kukiweka chama sehemu ya kujadiliwa sana katika vijiwe na CDM kuwa habari ya mjini.
Kukamatwa na polisi kwa kamanda ilikuwa ni ujiko mkubwa sana kwa kiongozi wa Chadema, kuumia na kufa katika maandamano ilikuwa kiki kubwa sana kwa chama kwani ilisemwa kuwa serikali ya CCM na jeshi la polisi wameua.
Haya yalisababisha sana Chadema kuinuka na nguvu ya ajabu ingawa tafsiri yake ni kama kafara.

MILIPUKO YA MABOM
Chadema na viongozi wake walienda mbali zaidi hata kufikia kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutengeneza matukio ya vilipuzi hili ionekane serikari, polisi na CCM wametekeleza unyama hule ili wananchi waone kumbe wanaonewa sana wawape kura wakati wa uchaguzi. Haya tumeyasikia baada ya madiwani wa Arusha kuamia CCM na kutoa siri hii.
Ikumbukwe kuwa CDM si chama cha kwanza duniani kutumia mbinu hii, aliye kuwa kiongozi wa chama cha Nazi Party Mhs. Adolf Hiltra ndiyo alifanya huu mchezo na kufanikiwa miaka ya 1930s na inasemekana ndiyo kiongozi aliyewai kuua watu wengi zaidi duniani ili kushika madaraka.
Kila mtu atanikubalia kuwa Arusha ilikuwaje na siasa za Chadema wakati ule, kila sehemu ilikuwa pipoziiiii tupu.

KUJITEKA NA KUTEKANA
Matukio haya ya kujiteka yalishika kasi sana na serikari kunyoshewa vidole kila kuchao, Chadema ikapata popularity miongoni mwa watanzania kuwa wanatekwa. Kwa bahati mbaya juzi juzi ndiyo ikagundulika kuwa kumbe wanajiteka na haijatokea mpaka leo baada ya kijana Nondo kujiteka akiwa anakila kitu kama masweta ya baridi kama alijua atatekwa nchi ya baridi, kutumia simu na vitu vingine kama pafyumu ili kujipulizia na watekaji wake akiwa ametekwa na sasa kesi iko mahakamani.

Kwa haya machache niliyo eleza utaweza kuona jinsi Chadema ilivyo inuka wakati ule, na hizi sababu nilizo zisema ukufanya tafiti utakuta ni ukweli tupu kwani nakumbuka chama kilipanga bei ya kadi ya mwanachama kuwa ni shilingi 1500/= lakini mtaani kadi iliuzwa kwa shilingi 3000/= hadi 4500/= kwa kadi.
Tukio hili halijawa tokea kwa chama chochote hapa nchini kadi kuuzwa kwa black market, watu alitafuta kadi za Chadema usiku na mchana ili wajiunge na chama.
Chadema iliinuka.

Naomba niishie hapa kwa leo, Kuanguka uzi utaendelea kesho.

Nawasilisha.
Steven Daza
Mgombea ubunge kupitia Chadema 2015 jimbo la Morogoro Mjini.
Mwamba umevunja ile mbaya,nilitamani uzi uendelee tu,du!,subiri sasa kipigo cha matusi
 
Japo mimi sio mpenzi wala mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini ila kufa kwa CHADEMA sio rahisi kama unavyodhania. Kwa jinsi mambo yanavyoendelea kilitakiwa kijifie (natural death) muda mrefu tu kuendelea kuwepo ni dhahiri kuna mambo ya kustajabisha yatatokea. Ni jambo la kusubiri na kuona ila kufa kwake sio rahisi kihivyo udhaniavyo mtoa mada.

2020 - 2025 kambi rasmi ya upinzani itakuwa chini ya CUF wakibebwa na wabunge wao wa Zanzibar. Wewe endelea na fantasy za CDM haidondoki wakati dalili zote zipo wazi.
 
MLeta mada tafadhali sana naomba mtafute mzee mmoja anaitwa stephen massatu wassira, muulize kuhusu kufa kwa chadema. yeye anaweza akawa ana majibu mazuri kuliko wewe
 
Tuliwaomba hela ya kujenga reli ya umeme wakakataa,
Tukawaomba hela ya kujenga bwawa wakakataa.
Eti sa hivi ndiyo wanatoa hela ya kuboresha takwimu ,upuuzi mtupu.

Wambieni Tz siyo koloni la World bank
 
Kwa kuanza ni kuwa Chama Cha Democrasia Chadema kimepita kati majanga, matatizo na misukosuko mingi sana na kuvuka salama huko nyuma. Lakini matatizo karibu yote Iliyopitia yalikuwa ya ndani kwa ndani ukiyaangalia kwa makini.
Hivyo Chadema hakijawahi pata external issue au matatizo makubwa kutoka nje ya chama kama wanavyokutana nayo leo katika awamu ya 5.

Swali la msingi kwa sasa je CDM itakivuka hiki kisiki cha awamu ya 5 salama?

KUINUKA KWA CHADEMA.
Chama Cha Democrasia na Maendeleo kiliinuka kwa sababu nyingi tofauti tofauti ila mimi kwa leo nitajikita katika sababu nyepesi nyepesi zaidi ili kupata ufahamu kwa wote, nazo ni:

KUANGUKA KWA CUF.
Ikumbukwe kuwa Chama cha Wananchi (CUF) ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania kabla ya CDM hivyo ilikuwa kama goli liko wazi kwa CDM kuchukuwa nafasi. Hivyo migogolo ya CUF ilisaidia kwa namna moja au nyingine Chadema kujitokeza juu ya CUF. Na kwasababu lazima tuwe na chama kikuu cha upinzani na kambi lasmi ya upinzani bungeni ilikuwa nafasi nzuri wakati huo kwa CDM kuanza kuonekana na kuinuka.

IMANI YA MAENDELEO.
Watanzania wenge waliaminishwa kuwa maendelo hayawezi kuja bila kuwa na mfumo wa vyama vingi na kusahau upande wa pili wa shilingi kuwa maadili ya uongozi na uzalendo pia ni chachu kubwa ya maendeleo kama ilivyokuwa Libya. Hivyo watanzania kukidhi haja ya imani hii kimbilio lakutafuta democrasia lilikuwa kukimbilia Chadema kwani ndiyo chama kilicho onekana kipindi kile na jina lake kama lilivyo kwa nje.

MAKOSA YA CCM.
Makosa yaliyokuwa yakifanywa na chama tawala ndiyo yaliwapa kiki Chadema kuinuka juu zaidi na kupata populariti miongoni mwa Watanzania. Kukuthili kwa madawa ya kulevya, ufisadi, ujangili, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma na mengine mengi, hapo CDM ilitumia mwanya huo kudondosha karata yake ya sera ya ufusadi. Kumbuka Mwembe Yanga na fisadi namba 1 walimtaja Lowasa katika list of shame.

UWEPO WA DR. WILBAD PETER SLAA
Huyu Mhs. kwa kuweka mfano katika chama cha Chadema alikuwa kama injini katika gari, na Freeman alikuwa kama bodi la gari. Yeye alijikita zaidi katika mikakati ya ndani kichama ili chama kiende mbele na alifanikiwa sana na kukiinua chama juu kwa misimamo yake. Alikuwa anaangalia mzigo uliobebwa na chama na ukubwa wa injini yake alipima mambo kisayansi zaidi na kutoa majibu kisayansi ili chama kiende mbele.
PROPAGANDA NA SLOGANI.
Pipoziiii pawaaaaa na kamata mwizi men!!, kunja ngumi, hivi vilileta mihemko miongoni mwa Watanzania kuiamini Chadema zaidi kwa slogani ya matumizi ya nguvu ya umma. Watanzania waliaminishwa kuwa nguvu ya umma haijawa kushindwa hivyo ilitumika kama silaha ya kuiondoa CCM madalakani. Ingawa nguvu ya umma ilikuja kushindwa kule kwa Misri.

CDM KUJIITA CHAMA CHA UKOMBOZI
Watanzania waliamini Chadema imekuja kuwakomboa ingawaje hata mimi napatashida kujuwa ni ukombozi upi hasa. Lakini waTz wengi walisahau kuwa tulisha kombolewa na vyama viwili ambavyo ni ASP na TANU na kupata uhuru mwaka 1961,9, Desemba. Jina hili liliipa kiki kubwa Chadema kuinuka kisiasa.
Na hili la kujiita chama cha ukombozi lilimkera sana aliyekuwa Raisi wa awamu ya 3 Mhs. Benjamini William Mkapa na kuwaita Wapumbafu na Malofa.

SIASA ZA KIKI
Hizi siasa za kiki ni nzuri katika short run ila si nzuri sana katika long run, kwa siasa endelevu uwa kiki zinakujaga kukataa baadaye kama ukutegemea sana.
Kiki zilitumika kutengeneza matukio ya kisiasa na Chadema waliweza kutumia vizuri siasa hizi kuliko watangulizi wao CUF ambapo CUF wenyewe wakati wao walituaminisha kuwa hakuna kiongozi duniani kama Mhs. Prof. Aruna Ibrahim duniani.
Kiki zilipigwa na ziliwaka vema Chadema iliinuka kidedea ikafika wakati mtu aliyegombea udiwani au ubunge au uenyekiti wa mtaa kupitia CDM alikuwa na uhakika mkubwa wa kushinda kuliko aliyegombea kupitia CCM ambacho walikipachika jina la chama cha mafisadi, na wananchi kuchukia CCM.

MATUMIZI MAZURI YA MBWEMBWE
Kunja ngumi na ugunduzi wa Ovaloli au Gwanda na kutumia vijana wa bodaboda kutia fujo ikiwamo kufanya maandamano ya kustukiza na kuchimba, hivi vyote vilisaidia kuibusti CDM kuinuka . Watanzania wakasahau kabisa kuwa hii ni nchi ya amani na uturivu wakapenda ile slogani ya kunja ngumi kwanguvu, wakaipenda sana CDM.
Pia kuhusu Ovaloli au Gwanda Watanzania wengi walipenda na kusahau kuwa kile ni chama cha siasa ktk siasa za democrasia na si gereji au jeshi linalotaka kuchua nchi na kama ilikuwa shida ni jeshi basi tumekuwa na jeshi letu la JWTZ tungelipa nchi ilitutawaliwe ki jeshi. Hivyo vijana wengi walipenda sana na kila kijana alijaribu kununua au kushona gwanda ili aonekane mjanja zaidi hiyo vijana wengi walijiunga na Chadema na kuvaa vazi la ukombozi GWANDA na CCM iliambiwa imevaa GAMBA.

MATUMIZI YA MANENO YASIYO POOZWA NA MITUSI.
Sitaki kurudia ile Mitusi ila watanzania wengi waliamini kuwa ile mitusi waliyokuwa wanatukana viongozi wa Chadema na kuilekeza kwa viongzi wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ilikuwa ni kukomaa kwa democrasia nchini. Ikumbukwe awamu ya kwanza hakukuwa na matusi, awamu ya pili hakukuwa na mitusi hadi ilipofika awamu ya tatu mwishoni ndiyo CDM walianza kuchipua na mitusi ambapo baazi ya watanzania walifuraishwa sana na siasa zile kupelekea Chadema kuinuka.
Ile mitusi iliwapendezesha baadhi ya watanzania hasa ilielekezwa kwa kiongozi fulani ambaye alisha pewa jina la fisadi. Kwahiyo Mitusi ilikisahidia sana Chadema kuinuka.

CHOPA NA MFALME WA ANGA
Helkopta ilizungushwa mwanagu, kijiji chote yaani watu waliiangalia zile hekaheka za Chopa ilibidi wafike tu katika mkutano maana ndege ilipita chini chini na mfalme wa anga akimwelekeza rubani kuwa kata uku, ndenda hadi ng'ambo ya mto rudi. Mi bado sijajuwa ile chopa ilikuwa na nini lakini watu walikuja bila kupenda hata viongozi CCM kata, matawi na vijiji walijiiba kuja kuona zile hekaheka.
Chadema ilikuwa habari ya mjini.

MAANDAMANO YASIYO NA LAZIMA
Maandamano yalitumika kama kiki ya kuinua chama, maandamano mengine yalionekana si ya lazima lakini yalitangazwa na vionozi wa juu wa Chadema na watanzania baadhi walipenda sana zile hekaheka na kuipenda CDM kwasababu ya maandamano. Mabishano kati ya polisi na viongozi wa waandamizi wa Chadema yalileta mijadala kila kona ya nchi na kukiweka chama sehemu ya kujadiliwa sana katika vijiwe na CDM kuwa habari ya mjini.
Kukamatwa na polisi kwa kamanda ilikuwa ni ujiko mkubwa sana kwa kiongozi wa Chadema, kuumia na kufa katika maandamano ilikuwa kiki kubwa sana kwa chama kwani ilisemwa kuwa serikali ya CCM na jeshi la polisi wameua.
Haya yalisababisha sana Chadema kuinuka na nguvu ya ajabu ingawa tafsiri yake ni kama kafara.

MILIPUKO YA MABOM
Chadema na viongozi wake walienda mbali zaidi hata kufikia kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutengeneza matukio ya vilipuzi hili ionekane serikari, polisi na CCM wametekeleza unyama hule ili wananchi waone kumbe wanaonewa sana wawape kura wakati wa uchaguzi. Haya tumeyasikia baada ya madiwani wa Arusha kuamia CCM na kutoa siri hii.
Ikumbukwe kuwa CDM si chama cha kwanza duniani kutumia mbinu hii, aliye kuwa kiongozi wa chama cha Nazi Party Mhs. Adolf Hiltra ndiyo alifanya huu mchezo na kufanikiwa miaka ya 1930s na inasemekana ndiyo kiongozi aliyewai kuua watu wengi zaidi duniani ili kushika madaraka.
Kila mtu atanikubalia kuwa Arusha ilikuwaje na siasa za Chadema wakati ule, kila sehemu ilikuwa pipoziiiii tupu.

KUJITEKA NA KUTEKANA
Matukio haya ya kujiteka yalishika kasi sana na serikari kunyoshewa vidole kila kuchao, Chadema ikapata popularity miongoni mwa watanzania kuwa wanatekwa. Kwa bahati mbaya juzi juzi ndiyo ikagundulika kuwa kumbe wanajiteka na haijatokea mpaka leo baada ya kijana Nondo kujiteka akiwa anakila kitu kama masweta ya baridi kama alijua atatekwa nchi ya baridi, kutumia simu na vitu vingine kama pafyumu ili kujipulizia na watekaji wake akiwa ametekwa na sasa kesi iko mahakamani.

Kwa haya machache niliyo eleza utaweza kuona jinsi Chadema ilivyo inuka wakati ule, na hizi sababu nilizo zisema ukufanya tafiti utakuta ni ukweli tupu kwani nakumbuka chama kilipanga bei ya kadi ya mwanachama kuwa ni shilingi 1500/= lakini mtaani kadi iliuzwa kwa shilingi 3000/= hadi 4500/= kwa kadi.
Tukio hili halijawa tokea kwa chama chochote hapa nchini kadi kuuzwa kwa black market, watu alitafuta kadi za Chadema usiku na mchana ili wajiunge na chama.
Chadema iliinuka.

Naomba niishie hapa kwa leo, Kuanguka uzi utaendelea kesho.

Nawasilisha.
Steven Daza
Mgombea ubunge kupitia Chadema 2015 jimbo la Morogoro Mjini.

Rubbish! kama kitengo ndo kinatengeneza propaganda za kichovu hivi? nchi iko hatarini kuangamia.

Eti CDm wanatengeneza mabomu kujilipua na CCM wanawaangalia tu.

Ndo maana watu kama nyie trump huwaita Shit holes
 
Kwa kuanza ni kuwa Chama Cha Democrasia Chadema kimepita kati majanga, matatizo na misukosuko mingi sana na kuvuka salama huko nyuma. Lakini matatizo karibu yote Iliyopitia yalikuwa ya ndani kwa ndani ukiyaangalia kwa makini.
Hivyo Chadema hakijawahi pata external issue au matatizo makubwa kutoka nje ya chama kama wanavyokutana nayo leo katika awamu ya 5.

Swali la msingi kwa sasa je CDM itakivuka hiki kisiki cha awamu ya 5 salama?

KUINUKA KWA CHADEMA.
Chama Cha Democrasia na Maendeleo kiliinuka kwa sababu nyingi tofauti tofauti ila mimi kwa leo nitajikita katika sababu nyepesi nyepesi zaidi ili kupata ufahamu kwa wote, nazo ni:

KUANGUKA KWA CUF.
Ikumbukwe kuwa Chama cha Wananchi (CUF) ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania kabla ya CDM hivyo ilikuwa kama goli liko wazi kwa CDM kuchukuwa nafasi. Hivyo migogolo ya CUF ilisaidia kwa namna moja au nyingine Chadema kujitokeza juu ya CUF. Na kwasababu lazima tuwe na chama kikuu cha upinzani na kambi lasmi ya upinzani bungeni ilikuwa nafasi nzuri wakati huo kwa CDM kuanza kuonekana na kuinuka.

IMANI YA MAENDELEO.
Watanzania wenge waliaminishwa kuwa maendelo hayawezi kuja bila kuwa na mfumo wa vyama vingi na kusahau upande wa pili wa shilingi kuwa maadili ya uongozi na uzalendo pia ni chachu kubwa ya maendeleo kama ilivyokuwa Libya. Hivyo watanzania kukidhi haja ya imani hii kimbilio lakutafuta democrasia lilikuwa kukimbilia Chadema kwani ndiyo chama kilicho onekana kipindi kile na jina lake kama lilivyo kwa nje.

MAKOSA YA CCM.
Makosa yaliyokuwa yakifanywa na chama tawala ndiyo yaliwapa kiki Chadema kuinuka juu zaidi na kupata populariti miongoni mwa Watanzania. Kukuthili kwa madawa ya kulevya, ufisadi, ujangili, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma na mengine mengi, hapo CDM ilitumia mwanya huo kudondosha karata yake ya sera ya ufusadi. Kumbuka Mwembe Yanga na fisadi namba 1 walimtaja Lowasa katika list of shame.

UWEPO WA DR. WILBAD PETER SLAA
Huyu Mhs. kwa kuweka mfano katika chama cha Chadema alikuwa kama injini katika gari, na Freeman alikuwa kama bodi la gari. Yeye alijikita zaidi katika mikakati ya ndani kichama ili chama kiende mbele na alifanikiwa sana na kukiinua chama juu kwa misimamo yake. Alikuwa anaangalia mzigo uliobebwa na chama na ukubwa wa injini yake alipima mambo kisayansi zaidi na kutoa majibu kisayansi ili chama kiende mbele.
PROPAGANDA NA SLOGANI.
Pipoziiii pawaaaaa na kamata mwizi men!!, kunja ngumi, hivi vilileta mihemko miongoni mwa Watanzania kuiamini Chadema zaidi kwa slogani ya matumizi ya nguvu ya umma. Watanzania waliaminishwa kuwa nguvu ya umma haijawa kushindwa hivyo ilitumika kama silaha ya kuiondoa CCM madalakani. Ingawa nguvu ya umma ilikuja kushindwa kule kwa Misri.

CDM KUJIITA CHAMA CHA UKOMBOZI
Watanzania waliamini Chadema imekuja kuwakomboa ingawaje hata mimi napatashida kujuwa ni ukombozi upi hasa. Lakini waTz wengi walisahau kuwa tulisha kombolewa na vyama viwili ambavyo ni ASP na TANU na kupata uhuru mwaka 1961,9, Desemba. Jina hili liliipa kiki kubwa Chadema kuinuka kisiasa.
Na hili la kujiita chama cha ukombozi lilimkera sana aliyekuwa Raisi wa awamu ya 3 Mhs. Benjamini William Mkapa na kuwaita Wapumbafu na Malofa.

SIASA ZA KIKI
Hizi siasa za kiki ni nzuri katika short run ila si nzuri sana katika long run, kwa siasa endelevu uwa kiki zinakujaga kukataa baadaye kama ukutegemea sana.
Kiki zilitumika kutengeneza matukio ya kisiasa na Chadema waliweza kutumia vizuri siasa hizi kuliko watangulizi wao CUF ambapo CUF wenyewe wakati wao walituaminisha kuwa hakuna kiongozi duniani kama Mhs. Prof. Aruna Ibrahim duniani.
Kiki zilipigwa na ziliwaka vema Chadema iliinuka kidedea ikafika wakati mtu aliyegombea udiwani au ubunge au uenyekiti wa mtaa kupitia CDM alikuwa na uhakika mkubwa wa kushinda kuliko aliyegombea kupitia CCM ambacho walikipachika jina la chama cha mafisadi, na wananchi kuchukia CCM.

MATUMIZI MAZURI YA MBWEMBWE
Kunja ngumi na ugunduzi wa Ovaloli au Gwanda na kutumia vijana wa bodaboda kutia fujo ikiwamo kufanya maandamano ya kustukiza na kuchimba, hivi vyote vilisaidia kuibusti CDM kuinuka . Watanzania wakasahau kabisa kuwa hii ni nchi ya amani na uturivu wakapenda ile slogani ya kunja ngumi kwanguvu, wakaipenda sana CDM.
Pia kuhusu Ovaloli au Gwanda Watanzania wengi walipenda na kusahau kuwa kile ni chama cha siasa ktk siasa za democrasia na si gereji au jeshi linalotaka kuchua nchi na kama ilikuwa shida ni jeshi basi tumekuwa na jeshi letu la JWTZ tungelipa nchi ilitutawaliwe ki jeshi. Hivyo vijana wengi walipenda sana na kila kijana alijaribu kununua au kushona gwanda ili aonekane mjanja zaidi hiyo vijana wengi walijiunga na Chadema na kuvaa vazi la ukombozi GWANDA na CCM iliambiwa imevaa GAMBA.

MATUMIZI YA MANENO YASIYO POOZWA NA MITUSI.
Sitaki kurudia ile Mitusi ila watanzania wengi waliamini kuwa ile mitusi waliyokuwa wanatukana viongozi wa Chadema na kuilekeza kwa viongzi wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ilikuwa ni kukomaa kwa democrasia nchini. Ikumbukwe awamu ya kwanza hakukuwa na matusi, awamu ya pili hakukuwa na mitusi hadi ilipofika awamu ya tatu mwishoni ndiyo CDM walianza kuchipua na mitusi ambapo baazi ya watanzania walifuraishwa sana na siasa zile kupelekea Chadema kuinuka.
Ile mitusi iliwapendezesha baadhi ya watanzania hasa ilielekezwa kwa kiongozi fulani ambaye alisha pewa jina la fisadi. Kwahiyo Mitusi ilikisahidia sana Chadema kuinuka.

CHOPA NA MFALME WA ANGA
Helkopta ilizungushwa mwanagu, kijiji chote yaani watu waliiangalia zile hekaheka za Chopa ilibidi wafike tu katika mkutano maana ndege ilipita chini chini na mfalme wa anga akimwelekeza rubani kuwa kata uku, ndenda hadi ng'ambo ya mto rudi. Mi bado sijajuwa ile chopa ilikuwa na nini lakini watu walikuja bila kupenda hata viongozi CCM kata, matawi na vijiji walijiiba kuja kuona zile hekaheka.
Chadema ilikuwa habari ya mjini.

MAANDAMANO YASIYO NA LAZIMA
Maandamano yalitumika kama kiki ya kuinua chama, maandamano mengine yalionekana si ya lazima lakini yalitangazwa na vionozi wa juu wa Chadema na watanzania baadhi walipenda sana zile hekaheka na kuipenda CDM kwasababu ya maandamano. Mabishano kati ya polisi na viongozi wa waandamizi wa Chadema yalileta mijadala kila kona ya nchi na kukiweka chama sehemu ya kujadiliwa sana katika vijiwe na CDM kuwa habari ya mjini.
Kukamatwa na polisi kwa kamanda ilikuwa ni ujiko mkubwa sana kwa kiongozi wa Chadema, kuumia na kufa katika maandamano ilikuwa kiki kubwa sana kwa chama kwani ilisemwa kuwa serikali ya CCM na jeshi la polisi wameua.
Haya yalisababisha sana Chadema kuinuka na nguvu ya ajabu ingawa tafsiri yake ni kama kafara.

MILIPUKO YA MABOM
Chadema na viongozi wake walienda mbali zaidi hata kufikia kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutengeneza matukio ya vilipuzi hili ionekane serikari, polisi na CCM wametekeleza unyama hule ili wananchi waone kumbe wanaonewa sana wawape kura wakati wa uchaguzi. Haya tumeyasikia baada ya madiwani wa Arusha kuamia CCM na kutoa siri hii.
Ikumbukwe kuwa CDM si chama cha kwanza duniani kutumia mbinu hii, aliye kuwa kiongozi wa chama cha Nazi Party Mhs. Adolf Hiltra ndiyo alifanya huu mchezo na kufanikiwa miaka ya 1930s na inasemekana ndiyo kiongozi aliyewai kuua watu wengi zaidi duniani ili kushika madaraka.
Kila mtu atanikubalia kuwa Arusha ilikuwaje na siasa za Chadema wakati ule, kila sehemu ilikuwa pipoziiiii tupu.

KUJITEKA NA KUTEKANA
Matukio haya ya kujiteka yalishika kasi sana na serikari kunyoshewa vidole kila kuchao, Chadema ikapata popularity miongoni mwa watanzania kuwa wanatekwa. Kwa bahati mbaya juzi juzi ndiyo ikagundulika kuwa kumbe wanajiteka na haijatokea mpaka leo baada ya kijana Nondo kujiteka akiwa anakila kitu kama masweta ya baridi kama alijua atatekwa nchi ya baridi, kutumia simu na vitu vingine kama pafyumu ili kujipulizia na watekaji wake akiwa ametekwa na sasa kesi iko mahakamani.

Kwa haya machache niliyo eleza utaweza kuona jinsi Chadema ilivyo inuka wakati ule, na hizi sababu nilizo zisema ukufanya tafiti utakuta ni ukweli tupu kwani nakumbuka chama kilipanga bei ya kadi ya mwanachama kuwa ni shilingi 1500/= lakini mtaani kadi iliuzwa kwa shilingi 3000/= hadi 4500/= kwa kadi.
Tukio hili halijawa tokea kwa chama chochote hapa nchini kadi kuuzwa kwa black market, watu alitafuta kadi za Chadema usiku na mchana ili wajiunge na chama.
Chadema iliinuka.

Naomba niishie hapa kwa leo, Kuanguka uzi utaendelea kesho.

Nawasilisha.
Steven Daza
Mgombea ubunge kupitia Chadema 2015 jimbo la Morogoro Mjini.
Umesema tu "ilivyoinuka", lakini hujasema "itakavyoanguka" kama ulivyoainisha kwenye heading. Hii ni fake news.
 
Kwa kuanza ni kuwa Chama Cha Democrasia Chadema kimepita kati majanga, matatizo na misukosuko mingi sana na kuvuka salama huko nyuma. Lakini matatizo karibu yote Iliyopitia yalikuwa ya ndani kwa ndani ukiyaangalia kwa makini.
Hivyo Chadema hakijawahi pata external issue au matatizo makubwa kutoka nje ya chama kama wanavyokutana nayo leo katika awamu ya 5.

Swali la msingi kwa sasa je CDM itakivuka hiki kisiki cha awamu ya 5 salama?

KUINUKA KWA CHADEMA.
Chama Cha Democrasia na Maendeleo kiliinuka kwa sababu nyingi tofauti tofauti ila mimi kwa leo nitajikita katika sababu nyepesi nyepesi zaidi ili kupata ufahamu kwa wote, nazo ni:

KUANGUKA KWA CUF.
Ikumbukwe kuwa Chama cha Wananchi (CUF) ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania kabla ya CDM hivyo ilikuwa kama goli liko wazi kwa CDM kuchukuwa nafasi. Hivyo migogolo ya CUF ilisaidia kwa namna moja au nyingine Chadema kujitokeza juu ya CUF. Na kwasababu lazima tuwe na chama kikuu cha upinzani na kambi lasmi ya upinzani bungeni ilikuwa nafasi nzuri wakati huo kwa CDM kuanza kuonekana na kuinuka.

IMANI YA MAENDELEO.
Watanzania wenge waliaminishwa kuwa maendelo hayawezi kuja bila kuwa na mfumo wa vyama vingi na kusahau upande wa pili wa shilingi kuwa maadili ya uongozi na uzalendo pia ni chachu kubwa ya maendeleo kama ilivyokuwa Libya. Hivyo watanzania kukidhi haja ya imani hii kimbilio lakutafuta democrasia lilikuwa kukimbilia Chadema kwani ndiyo chama kilicho onekana kipindi kile na jina lake kama lilivyo kwa nje.

MAKOSA YA CCM.
Makosa yaliyokuwa yakifanywa na chama tawala ndiyo yaliwapa kiki Chadema kuinuka juu zaidi na kupata populariti miongoni mwa Watanzania. Kukuthili kwa madawa ya kulevya, ufisadi, ujangili, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma na mengine mengi, hapo CDM ilitumia mwanya huo kudondosha karata yake ya sera ya ufusadi. Kumbuka Mwembe Yanga na fisadi namba 1 walimtaja Lowasa katika list of shame.

UWEPO WA DR. WILBAD PETER SLAA
Huyu Mhs. kwa kuweka mfano katika chama cha Chadema alikuwa kama injini katika gari, na Freeman alikuwa kama bodi la gari. Yeye alijikita zaidi katika mikakati ya ndani kichama ili chama kiende mbele na alifanikiwa sana na kukiinua chama juu kwa misimamo yake. Alikuwa anaangalia mzigo uliobebwa na chama na ukubwa wa injini yake alipima mambo kisayansi zaidi na kutoa majibu kisayansi ili chama kiende mbele.
PROPAGANDA NA SLOGANI.
Pipoziiii pawaaaaa na kamata mwizi men!!, kunja ngumi, hivi vilileta mihemko miongoni mwa Watanzania kuiamini Chadema zaidi kwa slogani ya matumizi ya nguvu ya umma. Watanzania waliaminishwa kuwa nguvu ya umma haijawa kushindwa hivyo ilitumika kama silaha ya kuiondoa CCM madalakani. Ingawa nguvu ya umma ilikuja kushindwa kule kwa Misri.

CDM KUJIITA CHAMA CHA UKOMBOZI
Watanzania waliamini Chadema imekuja kuwakomboa ingawaje hata mimi napatashida kujuwa ni ukombozi upi hasa. Lakini waTz wengi walisahau kuwa tulisha kombolewa na vyama viwili ambavyo ni ASP na TANU na kupata uhuru mwaka 1961,9, Desemba. Jina hili liliipa kiki kubwa Chadema kuinuka kisiasa.
Na hili la kujiita chama cha ukombozi lilimkera sana aliyekuwa Raisi wa awamu ya 3 Mhs. Benjamini William Mkapa na kuwaita Wapumbafu na Malofa.

SIASA ZA KIKI
Hizi siasa za kiki ni nzuri katika short run ila si nzuri sana katika long run, kwa siasa endelevu uwa kiki zinakujaga kukataa baadaye kama ukutegemea sana.
Kiki zilitumika kutengeneza matukio ya kisiasa na Chadema waliweza kutumia vizuri siasa hizi kuliko watangulizi wao CUF ambapo CUF wenyewe wakati wao walituaminisha kuwa hakuna kiongozi duniani kama Mhs. Prof. Aruna Ibrahim duniani.
Kiki zilipigwa na ziliwaka vema Chadema iliinuka kidedea ikafika wakati mtu aliyegombea udiwani au ubunge au uenyekiti wa mtaa kupitia CDM alikuwa na uhakika mkubwa wa kushinda kuliko aliyegombea kupitia CCM ambacho walikipachika jina la chama cha mafisadi, na wananchi kuchukia CCM.

MATUMIZI MAZURI YA MBWEMBWE
Kunja ngumi na ugunduzi wa Ovaloli au Gwanda na kutumia vijana wa bodaboda kutia fujo ikiwamo kufanya maandamano ya kustukiza na kuchimba, hivi vyote vilisaidia kuibusti CDM kuinuka . Watanzania wakasahau kabisa kuwa hii ni nchi ya amani na uturivu wakapenda ile slogani ya kunja ngumi kwanguvu, wakaipenda sana CDM.
Pia kuhusu Ovaloli au Gwanda Watanzania wengi walipenda na kusahau kuwa kile ni chama cha siasa ktk siasa za democrasia na si gereji au jeshi linalotaka kuchua nchi na kama ilikuwa shida ni jeshi basi tumekuwa na jeshi letu la JWTZ tungelipa nchi ilitutawaliwe ki jeshi. Hivyo vijana wengi walipenda sana na kila kijana alijaribu kununua au kushona gwanda ili aonekane mjanja zaidi hiyo vijana wengi walijiunga na Chadema na kuvaa vazi la ukombozi GWANDA na CCM iliambiwa imevaa GAMBA.

MATUMIZI YA MANENO YASIYO POOZWA NA MITUSI.
Sitaki kurudia ile Mitusi ila watanzania wengi waliamini kuwa ile mitusi waliyokuwa wanatukana viongozi wa Chadema na kuilekeza kwa viongzi wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ilikuwa ni kukomaa kwa democrasia nchini. Ikumbukwe awamu ya kwanza hakukuwa na matusi, awamu ya pili hakukuwa na mitusi hadi ilipofika awamu ya tatu mwishoni ndiyo CDM walianza kuchipua na mitusi ambapo baazi ya watanzania walifuraishwa sana na siasa zile kupelekea Chadema kuinuka.
Ile mitusi iliwapendezesha baadhi ya watanzania hasa ilielekezwa kwa kiongozi fulani ambaye alisha pewa jina la fisadi. Kwahiyo Mitusi ilikisahidia sana Chadema kuinuka.

CHOPA NA MFALME WA ANGA
Helkopta ilizungushwa mwanagu, kijiji chote yaani watu waliiangalia zile hekaheka za Chopa ilibidi wafike tu katika mkutano maana ndege ilipita chini chini na mfalme wa anga akimwelekeza rubani kuwa kata uku, ndenda hadi ng'ambo ya mto rudi. Mi bado sijajuwa ile chopa ilikuwa na nini lakini watu walikuja bila kupenda hata viongozi CCM kata, matawi na vijiji walijiiba kuja kuona zile hekaheka.
Chadema ilikuwa habari ya mjini.

MAANDAMANO YASIYO NA LAZIMA
Maandamano yalitumika kama kiki ya kuinua chama, maandamano mengine yalionekana si ya lazima lakini yalitangazwa na vionozi wa juu wa Chadema na watanzania baadhi walipenda sana zile hekaheka na kuipenda CDM kwasababu ya maandamano. Mabishano kati ya polisi na viongozi wa waandamizi wa Chadema yalileta mijadala kila kona ya nchi na kukiweka chama sehemu ya kujadiliwa sana katika vijiwe na CDM kuwa habari ya mjini.
Kukamatwa na polisi kwa kamanda ilikuwa ni ujiko mkubwa sana kwa kiongozi wa Chadema, kuumia na kufa katika maandamano ilikuwa kiki kubwa sana kwa chama kwani ilisemwa kuwa serikali ya CCM na jeshi la polisi wameua.
Haya yalisababisha sana Chadema kuinuka na nguvu ya ajabu ingawa tafsiri yake ni kama kafara.

MILIPUKO YA MABOM
Chadema na viongozi wake walienda mbali zaidi hata kufikia kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutengeneza matukio ya vilipuzi hili ionekane serikari, polisi na CCM wametekeleza unyama hule ili wananchi waone kumbe wanaonewa sana wawape kura wakati wa uchaguzi. Haya tumeyasikia baada ya madiwani wa Arusha kuamia CCM na kutoa siri hii.
Ikumbukwe kuwa CDM si chama cha kwanza duniani kutumia mbinu hii, aliye kuwa kiongozi wa chama cha Nazi Party Mhs. Adolf Hiltra ndiyo alifanya huu mchezo na kufanikiwa miaka ya 1930s na inasemekana ndiyo kiongozi aliyewai kuua watu wengi zaidi duniani ili kushika madaraka.
Kila mtu atanikubalia kuwa Arusha ilikuwaje na siasa za Chadema wakati ule, kila sehemu ilikuwa pipoziiiii tupu.

KUJITEKA NA KUTEKANA
Matukio haya ya kujiteka yalishika kasi sana na serikari kunyoshewa vidole kila kuchao, Chadema ikapata popularity miongoni mwa watanzania kuwa wanatekwa. Kwa bahati mbaya juzi juzi ndiyo ikagundulika kuwa kumbe wanajiteka na haijatokea mpaka leo baada ya kijana Nondo kujiteka akiwa anakila kitu kama masweta ya baridi kama alijua atatekwa nchi ya baridi, kutumia simu na vitu vingine kama pafyumu ili kujipulizia na watekaji wake akiwa ametekwa na sasa kesi iko mahakamani.

Kwa haya machache niliyo eleza utaweza kuona jinsi Chadema ilivyo inuka wakati ule, na hizi sababu nilizo zisema ukufanya tafiti utakuta ni ukweli tupu kwani nakumbuka chama kilipanga bei ya kadi ya mwanachama kuwa ni shilingi 1500/= lakini mtaani kadi iliuzwa kwa shilingi 3000/= hadi 4500/= kwa kadi.
Tukio hili halijawa tokea kwa chama chochote hapa nchini kadi kuuzwa kwa black market, watu alitafuta kadi za Chadema usiku na mchana ili wajiunge na chama.
Chadema iliinuka.

Naomba niishie hapa kwa leo, Kuanguka uzi utaendelea kesho.

Nawasilisha.
Steven Daza
Mgombea ubunge kupitia Chadema 2015 jimbo la Morogoro Mjini.
Nimesoma mwanzo mwisho sijaelewa kabisa. Kumbe uandishi nao ni taaluma
 
Huyu ndio bitter kama wale akina Mpendazoe au nimekosea?

Jitu linaamini lenyewe tu ndio linaweza kutawala....wenzake wakilishinda linaishia kuandika makala ndeeefu JF ya malalamiko....

These people bana!

I will never trust you!
 
Back
Top Bottom