"Kosa kubwa la kwanza utakalolifanya kwenye maisha yako ni kutegemea eti Serikali itakuletea mabadiliko kwenye maisha yako, na kupoteza muda wako ukiilaumu serikali kila kukicha, na la pili ni kudhani eti waliofanikiwa ni kwa sababu ya hisani ama fursa ya kuwa kwenye serikali, wakati naanza maisha niliacha kazi ya serikali (udaktari) na kuingia mtaani, shambani, kiwandani mpaka nikaiona njia yangu" - Hamis Kigwangalla