VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Benson Kigaila, Mkurugenzi wa Organaizesheni wa CHADEMA ameonyesha ukomavu.Amekuwa jasiri na mpiganaji wa kweli.
Ni kiongozi wa juu pekee wa CHADEMA aliyezongwa na Polisi jana pale Morogoro wakati palipochafuliwa na mabomu ya machozi,maji ya kuwasha na risasi za moto na 'za majivu'(kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi).
Katikati ya Askari waliovalia kivita,ndani ya Gari lao almaarufu kama Difenda,Kamanda Kigaila akanyoosha alama ya ukombozi-'V'.Hakutetereka,hakuogopa.Ameonyesha ujasiri uliotukuka.
Sasa Kamanda Kigaila,unataka Jimbo gani? Chagua
Ni kiongozi wa juu pekee wa CHADEMA aliyezongwa na Polisi jana pale Morogoro wakati palipochafuliwa na mabomu ya machozi,maji ya kuwasha na risasi za moto na 'za majivu'(kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi).
Katikati ya Askari waliovalia kivita,ndani ya Gari lao almaarufu kama Difenda,Kamanda Kigaila akanyoosha alama ya ukombozi-'V'.Hakutetereka,hakuogopa.Ameonyesha ujasiri uliotukuka.
Sasa Kamanda Kigaila,unataka Jimbo gani? Chagua