we endelea kupenda vifua, utauona mwisho wake!!! vitajipanga vifua hapa posta na mwenge, lakini unalala kwenye banda la uani! Preta funguka, mpango mzima ni BENJAMINS! lolest.
Ndio maana wanaume wengi wanaofikiria pesa tu wanaishia kuwa source ya finance ya maliyoos. Jamani tutafute pesa na kutunza vizuri miili yetu.
Ha..ha..ha nimekusoma loud and clear CUTE money does it all...If a woman is worth it then money is not a concern kabisa.
Illustration:
Lets say the avatar that you are using is the real you,then burning cash can never be a problem at all.
preta sasa kama huo u handsome utakupa nissan qashqai kaa nao, utakupa ma-less wig ya kufa mtu original kaanao, utakujengea nyumba kaa nao, utakusaidia wakati wa shida eg kuuguliwa wazazi, wadogo zako kaa nao, utakusomeshea watoto na kukupa heshima NASEMA TENA KAA NAO!!! Pesa inafanya hata kama hukuwa na mapenzi ya dhati kwa huyo mwanaume, ukabadilika kabisa na kumpenda vibaya mno kwa care anayokuonyesha!! ila pia tu kuomba pesa ziwepo na UAMINIFU JUU! coz u can have ol this mwisho wa cku UKIMWI! Very sad! BUT OL IN OL, VIFUA NI BIG NOOOO, mula, preta, mula dada!yaani unataka nifikirie kumuacha this hendsam of mine......?.. cacico....he is very hendsam ujue.....
preta sasa kama huo u handsome utakupa nissan qashqai kaa nao, utakupa ma-less wig ya kufa mtu original kaanao, utakujengea nyumba kaa nao, utakusaidia wakati wa shida eg kuuguliwa wazazi, wadogo zako kaa nao, utakusomeshea watoto na kukupa heshima NASEMA TENA KAA NAO!!! Pesa inafanya hata kama hukuwa na mapenzi ya dhati kwa huyo mwanaume, ukabadilika kabisa na kumpenda vibaya mno kwa care anayokuonyesha!! ila pia tu kuomba pesa ziwepo na UAMINIFU JUU! coz u can have ol this mwisho wa cku UKIMWI! Very sad! BUT OL IN OL, VIFUA NI BIG NOOOO, mula, preta, mula dada!
hiyo imetulia mbaya preta! yaani awe na body sexy kama hiyo picha hapo juu, halafu na mkwanja mrefuuuuu! uwiiiii mbona uhandsome unazidi mara mbili! yaani anakuwa smbody else, lakini sio kifua hichoo lakini hata hela ya vocha hana! kwa kweli acha akae tu na kifua chake!uwiiiiiii.....sasa kumkomesha.....tunaanza kutafuta nae pesa......chanel iko vizuri.....baada ya miezi miwili vyote hivyo ulivyotaja nitakuwa navimiliki.....na tutakuwa tunaheshimiana pia.......
hapo je....?
hiyo imetulia mbaya preta! yaani awe na body sexy kama hiyo picha hapo juu, halafu na mkwanja mrefuuuuu! uwiiiii mbona uhandsome unazidi mara mbili! yaani anakuwa smbody else, lakini sio kifua hichoo lakini hata hela ya vocha hana! kwa kweli acha akae tu na kifua chake!
preta Nitakujaje thatha??? hope sasa we are sailing in the same boat!!!you are qualified to meet your shemeji.....jiandae.....
preta Nitakujaje thatha??? hope sasa we are sailing in the same boat!!!
hata kidogo preta! tena vya juu vitamu kuliko vya chini, hivyo nitakwea tu helicopter!oooh yeah....kwani matumizi ya helikopta yataathiri afya yako....?
pigeni vyuma mpaka muwe kama nyumba...ila kama mfukoni kuna VUMBI haitakusaidia...tunisha WALLET kifua mbwembwe tu!...
haiyaa....sasa ili ajue vizuri...nakuja weka kambi hapo ofcn... PakaJimmy naomba unirudishie eureka yangu....
Watching you guys from a distance! Preta nakuletea distillation flask kabisa ili ajue wewe ni nani!...Halafu unatafutwa sana na Mtumishi Wetu...aisee fanya haraka...maana SHETANI anaweza kunipitia...hivi anko PakaJimmy..yuko..maana kimya sana..last alikuwa ana msiba mbeya
...kimya sana my Bro...karibuWatching you guys from a distance! Preta nakuletea distillation flask kabisa ili ajue wewe ni nani!...Halafu unatafutwa sana na Mtumishi Wetu
mtu chake Nipo mkubwa, life has gone back to square one, n, ...wow!... yr prayers did it!
Watching you guys from a distance! Preta nakuletea distillation flask kabisa ili ajue wewe ni nani!...Halafu unatafutwa sana na Mtumishi Wetu
mtu chake Nipo mkubwa, life has gone back to square one, n, ...wow!... yr prayers did it!
hiyo imetulia mbaya preta! yaani awe na body sexy kama hiyo picha hapo juu, halafu na mkwanja mrefuuuuu! uwiiiii mbona uhandsome unazidi mara mbili! yaani anakuwa smbody else, lakini sio kifua hichoo lakini hata hela ya vocha hana! kwa kweli acha akae tu na kifua chake!