kungwi upooooo? hapo sasa tupo pamoja! kifua hata kuku anacho, sie twataka mula lolest! thats a man sasa!KWeli watu tunatofautiana, kifua kikubwa akili pirton, cha nini?
Mwanamme mwenye akili is 'dayyyymn HYYOOOTTT'
Akiwa na pesa ni 'bonus truck'
kungwi upooooo? hapo sasa tupo pamoja! kifua hata kuku anacho, sie twataka mula lolest! thats a man sasa!
six packs hizo
angalia udenda usikutoke
oooh my dia Preta umeniangusha leo...unaangalia nyama izo ambazo hata kwenye sambusa zipo ndo unashangilia?...unaeza kuta ana MB Ndogo kinoma kiasi kwamba ukitingishika tu mnaanza upya!...
kifua kinapaswa kuwa cha wastan....
Tatizo wabongo wanajenga kifua kwa kupiga chuma, ambacho hata uzito kati ya pandw zake mbili hauwiani.....
Wanaishia kujaza vifua, na mashine kugeuka 'mbilimbi'.......
kongosho hivi jamani kuna faida gani ya kuwa na mwanaume kajazia kifua, body nzuri haswa, lakini kila saa 'anadipu???'Hata mie nina kifua, tena kinachoweza geuka hotel ya mtu ghafla na chakula kikatoa.
Kifua kitu gani, hata mashoti wanavyo lol
marrykate tunatofautiana basi mi na wewe, yaani mi nikiona wale wekundu walivyojipanga kwenye wallet wakati anaweka fuel, au kulipa bill, mi wala sihitaji tena oil yoyote, lubricants zinakuwaga zishalowesha pichu, vibaya mnooooooooo!nawapenda sana aisee, yaani vile nakiona kifua chake tu lubricant inaanza kujitengeneza sehemu muhimu muhimu
Na vijitako ka'ngumi !
kabisaaaaaaaaa, vitako hata ukivigusa havivutii
marrykate tunatofautiana basi mi na wewe, yaani mi nikiona wale wekundu walivyojipanga kwenye wallet wakati anaweka fuel, au kulipa bill, mi wala sihitaji tena oil yoyote, lubricants zinakuwaga zishalowesha pichu, vibaya mnooooooooo!
we endelea kupenda vifua, utauona mwisho wake!!! vitajipanga vifua hapa posta na mwenge, lakini unalala kwenye banda la uani! Preta funguka, mpango mzima ni BENJAMINS! lolest.watoto mna balaa nyie....hi hi hi....yaani mnasema......eti....