AH ..ah..ah..ah!!!halafu wewe....nina kadi yako ya karibu fair....ni kesho ujue....maana najua unapenda sana kubembea juu ya ngamia.....
...unilindie mali zangu mkuuAH ..ah..ah..ah!!!
Aisee, mtume dereva wako(Maiko) aniletee fasta, yeye anajua maskani yangu.
Karibu-Fair si pa kukosa hata kidogo...!
Embu angalia hii maneno mamaake!
...unilindie mali zangu mkuu
Ina maana wewe hujapewa mwaliko?
Pole sana Arifu..!
...kadi ninayo ila sitoenda nimebanwa na majukumu...Ina maana wewe hujapewa mwaliko?
Pole sana Arifu..!
AH ..ah..ah..ah!!!
Aisee, mtume dereva wako(Maiko) aniletee fasta, yeye anajua maskani yangu.
Karibu-Fair si pa kukosa hata kidogo...!
Embu angalia hii maneno mamaake!
ooooh yeah.....this is mwanaume.......
why SO???? mwanaume niiiiii......... kwanza yana raha gani hayo mafua makubwa.?
uwiiiiiii.....sasa kumkomesha.....tunaanza kutafuta nae pesa......chanel iko vizuri.....baada ya miezi miwili vyote hivyo ulivyotaja nitakuwa navimiliki.....na tutakuwa tunaheshimiana pia.......
hapo je....?
mkibeba vyuma msije mkapitiliza, mwisho wa sikumkawa mivifua mikubwaaaaaa, makalio vidunchu na vijimashine........
Vyuma mbebe kwa kiasi.....
Ila mwanaume kazi ya umodel ya nini?(huu ni mtazamo wangu tu....)
sipendi magazeti ya mzalendo au Capital 'Y'
preta, kina dada wengi wanaamini wanaume ndio watawapa wao maisha mazuri. Ndio maana wanaishia kulala na watu ambao wala hawawapendi wala kutamani kuwasogelea. Baada ya kuzeeka wanagundua maisha siyo gari wala wallet walizokuwa wanazifikiria.
I think mwanamke jasiri ni yule anayejari kupambana na kutafuta kutengeneza nafasi yake kwenye maisha haya. Na ukikutana na mwanamke wa aina hiyo mbona mwanaume utaenjoy maana kama amekupenda ni kweli amekupenda kwa dhati. Waganga njaa wengi wanaishiaga kubadilisha wanaume kama mashati...what a mind set!!!! Utafikiri hizi hela ni wanaume waliozaliwa nazo