Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
ila vyuma vya mitaani vinawafanya watu wanakuwa na maumbo kama gitaa
hahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahaha mbavu zangu davy dan plsssssssssss
Last edited by a moderator:
ila vyuma vya mitaani vinawafanya watu wanakuwa na maumbo kama gitaa
Mie siwapendi wanaume wenye vifua vikubwa......yaani siwapendi kabisa......
sexxxxxxyyyyyyyyyyyy.......
Ila akizidisha tu, naniliu ikarudi ndani kuwa kama 'mbilimbi' atakuwa hafai tena....
Lakini mwisho wa siku uzuri wa mwanaume upo kwenye wallet yake loh.......
Ndiyo kusema wallet ya mwanamke haihusiki kabisa?
Za asubuhi , afu nahisi umen'tenga! .
ila vyuma vya mitaani vinawafanya watu wanakuwa na maumbo kama gitaa
nipo na nimekumiss....
Halafu umesema wallet ya nani? Mwanamke? Nakushauri uwe unaikimbia....mwanamke akikupa/akitumia laki moja kwa ajili yako ujue anajua itarudi mara tatu zaidi.......
Wiki hii umecharuka na misamiati iliyo adimu sana !
Nafuatilia sana comments zako ujue?
"una maneeno" (source Radio clouds - power breakfast)
ooooh yeah.....this is mwanaume.......
[/MSIZE]
Hawa wabeba vyuma wanatuharibia sana soko sisi wazee tusio na misuli, anyway bado tunapeta
BADILI TABIA yaani mi ningewapa ushauri wanaume, muda wooote wanaotumia kupata mavifua, wangestruggle kupata benjamins! yaani mazoezi kiduchu tu kiafya, ila benjamins bwana! wallah waliosema ni sabuni ya roho hawakukosea.