KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,220
- 56,867
wapi nimedhihaki..?Nakuita mshenzi kwa kudhihaki Nuru na Kweli tuliyoipokea
wapi nimedhihaki..?Nakuita mshenzi kwa kudhihaki Nuru na Kweli tuliyoipokea
Alipodhihaki ni wapi? Yani mtu asipoamini unachoamini wewe ni kosa? Mbona wewe huamin anachokisema yeye na hamna aliyekuhukumu na hata hvyo yeye kauliza tu,kama ungekua na jibu siungemjibu au kama hujaelewa ungemuuliza amemaanisha nini kuliko kumuita mshenzi.Nakuita mshenzi kwa kudhihaki Nuru na Kweli tuliyoipokea
Ilipangwa afe vile. Asingeweza kukwepaKiukweli limtu linatoka huko litokako limetwika mapombe kreti zima,afu linakimbiza gari mpaka speed za kuazima zingine maana speed za gari zimeisha zote,then linakunja kona ghafla na linabilingita kwenye gari mpaka lina R.I.P kisha ukiwa kwenye msiba unasikia watu wanasema ni mapenzi ya MUNGU,na wakati wa mazishi wanasema alazwe pema peponi.mmmmmh!!!
Hahahahaaaa mkuuu naona unazunguka mbuyu tu, hapo hujajibu mkuuYakupasa kufahamu kuwa Mungu ametuumba kwa makusudi yake anayoyajua yeye mwenyewe
Kila binadamu huwa anashughuli ambayo amekuja kuitimiza duniani ambayo kwa akili zetu wanadamu hatuwezi jua hasa hilo kusudi la mungu ni lipi
Hiyo hata mtoto mchanga akifa huwa kunakusudi flani la Mungu limetimia tayari Na kazi iliyomleta duniani ameahaimaliza ndomaana inabidi afe bila kujali ni ajali au magonjwaa
Katika nnchi zilizoendelea vifo ni vichache kwa watoto chini ya miaka 5 kulinganisha na nnchi maskini lakin hii sababu haitoshi kusema kuwa kifo sio mpango wa Mungu kwani hata huko katka nnchi zilizoendelea kuna kilaaina ya kudhibiti uzembe ili watu wasife lakini bado wanakufa tu. Hii inamaanisha mtu hawezi kukikimbia kifo kwakuwa makusudi ya Mungu yameshatimia hana budi kufa tu.
Kifo ni mpango wa Mungu bila kujali uzembe unaosababishwa na wanadamu wengine.
Kifo ni mpango wa mungu amini hvyo
Mkuu, hapana si kila kifo ni mpango wa Mungu, Kama kila kifo ni mpango wa Mungu basi kutakuwa na tatizo kubwa sana kwa Mwenyezi Mungu,
Kwanini nasema hivyo, ukiangalia takwimu za vifo vinavyotokea Africa na hata Mashariki ya kati ya vifo ni kubwa sana than Ulaya na Marekani. Kwa mfano kama kwa Africa kila watoto 10 wanaozaliwa 3 au zaidi hufa kwa magonjwa mbalimbali na kwa wenzetu Ulaya na Marekani ni 10 kwa mmoja.
Sasa kwa hapa tuseme Mungu ana upendeleo? Si hivyo tu, hata Muda wa kuishi kwa sisi wa Dunia ya tatu na wenzetu ni tofauti, kwa Africa most wanaokufa ni vijana ila kwa Ulaya na Marekani vifo vingi sana hutokea kwa wazee.
Swali la kizushi, Je kinachoendelea Syria leo hii ni mpango wa Mungu? Manake kila siku watu wanakufa kwa kupigwa Mabomu ya sumu.
Hata hii mada ulioandika ni mpango wa Mungu kukufanya ukaandika hadi kumaliza angeamua angechukua pumzi yake kabla hujamaliza kuandika
Asante ndugu hata kwa huo uzito wako wa kutype tumepata point yakoUpeo wa mwanadamu unapogota atamhusisha muumba wake na kila jambo. Kuna m/falsafa ages ago aliwahi kusema ukiona jambo linaaminika sana na watu (kwa maana ya uelewa wa jambo husika) ujue ukweli wake ni kinyume ya huo uelewa wa wengi. Maana yangu ni kwamba mambo yengi tunavyoyaelewa ni kinyume sana na ukweli wake. Mimi ninaamini ktk dini na uwepo wa Mwenyezi Mungu lakini tunakosea na ku-perceive vibaya habari nyingi zilizomo katika vitabu. Ningeandika mengi ila mimi mzito kutype ila mwepesi wa 'kusoma'
Hata hii reply yako ni mpango wa Mungu kuna ambae anatamani ajibu hivi ila Mungu hakupendaMkuu, Acha kupotosha watu. Kama utakubali kuwa kifo au mada hii ameanzisha kuwa ni mpango wa Mungu basi pasi na shaka utakuwa unakubali kuwa Mungu anawapendelea sana Wazungu than sisi weusi.
Why nasema hivyo? Takwimu zilizoko Bara la Africa ni kwamba kila baada ya dakika 10 Mtoto hufa kwa Malaria au Mama Mjamzito hufa wakati wa kujifungua ambayo ni tofauti na wenzetu ambao wameendelea sababu wao ni 100 kwa 1.
Mostly vifo vingi vya Africa huwa vinatokea kwa vijana na watoto than watu wazima ambayo ni differ na wenzetu ambao vifo vingi kwao vitokeavyo ni kwa wazee than vijana na watoto.
Vifo vingi vitokeavyo Africa ni kutokana na uzembe wetu wenyewe na sio mpango wa Mungu.
Hebu fikiria, Mtu keshamaliza muda wake ila anang'ang'ania madaraka na watu wamapigana to death, hivi huo nao utasema mpango wa Mungu?
Mtu anaumwa, hospital ni kilometa 50 toka alipo akifia njiani utasema huo nao ni mpango wa Mungu?
Au kile ambacho sasa hivi kinatokea Syria utasema ni mpango wa Mungu?
Hapana, Naomba Mungu tumpe Heshima yake, sio kila jambo basi tumsingizie yeye.
Hata hii reply yako ni mpango wa Mungu kuna ambae anatamani ajibu hivi ila Mungu hakupenda
Hata hii kujiona we unajua sana na unaushirikisha bongo kuliko Mimi pia ni mpango wa Mungu! Kila kinachotokea ni mpango wa Mungu! Hiyo hutokea ili ujifunze!!! Dereva akilewa ma kupata ajali ni mpango wa Mungu ujifunze kua kuna madhara ukilewa na kuendesha gariUjinga ni kuamini hata ukijichoma kisu/ukinywa sumu na kufa ni mpango wa Mungu.
Shirikisha ubongo wako tafadhari, Ipo siku waweza sema Wizi na Ujambazi ni Mpango wa Mungu. (kidding)