Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Kudanganya kwa jina la Mungu huku akiwaambia watu kuwa yeye ni njia ya kumfikia Mungu. Miujiza na nguvu isiotokana na njia ya Mungu.
Ushajiuliza hawa washikaji hawaogopi kuwa wanakufuru na muda wowote wanaweza kuwa wahanga wa hasira ya Mungu.
Kwa kweli tumewageukia wao kutokana na tabu zetu pia na kujiona kuwa ndani yetu hatuna connection ya kusaidiwa direct na Mungu. Tukisha ona tumepata msaasa hautuishi kusema "MUNGU WA MADHABAHU HII" mara "MUNGU WA NABII xxxx" .
Is God letting all this happen kwa maana tunapenda shortcut?
Ushajiuliza hawa washikaji hawaogopi kuwa wanakufuru na muda wowote wanaweza kuwa wahanga wa hasira ya Mungu.
Kwa kweli tumewageukia wao kutokana na tabu zetu pia na kujiona kuwa ndani yetu hatuna connection ya kusaidiwa direct na Mungu. Tukisha ona tumepata msaasa hautuishi kusema "MUNGU WA MADHABAHU HII" mara "MUNGU WA NABII xxxx" .
Is God letting all this happen kwa maana tunapenda shortcut?