Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,065
Dont play with fire my friend, kwa nyie ambao wala hamjapitia hata JKT mnafikiri it is as easy as you think.
To put it bluntly a soldier is a proffessional legal killer who is to be used at the discretion of the state.
Ni suala la kusikitisha kwa bwana Swetu kupoteza maisha kirahisi hivi,lakini katika mji huu wa fujo nyingi it pays to be civil, you might not know whom you are confronting.
Mkuu Lole,
Maneno yako yamejaa BUSARA tupu. Pana wakati Mtanzania aliniambia kisa cha Kobosile mmoja aliyetaka amtafutie cha moto. Mtanzania alimuambia athari za kutembea na hizi silaha/silaha za moto. Jamaa siku kasikia Dito kauwa, akampa shukurani kuwa na yeye kitu kama hicho kingeliweza kumpata (inawezekana na yeye ni mtu wa kuhamaki mapema).
Haya uliyomalizia ndiyo yamesema yote.
1. Marehemu Swetu angelifahamu anagombana na watu wa namna gani, sidhani kama angelifanya hivyo. Ilitosha kunyamaza na kuombana misamaha na yangeliisha.
2. Hawa wanajeshi na wao wangelitumia BUSARA kidogo tu kuwa hiki kiraia unaweza ukakiuwa bure na ukaishia kushitakiwa uraiani, sidhani wangelihamaki kiasi hicho. Inawezekana kweli jamaa alikuwa ni dead man walking na wao wamefanya kumharakishia tu siku zake. Sasa wameleta simanzi na majonzi kwa familia ya Fundikira na familia zao kwa ujumla.
".....you might not know whom you are confronting."