labda ningewaambia itv wanichomelee!Nina maana tamko la chadema alillolitoa Mnyika mbele ya waandishi wa habari...
Mkurugenzi wa habari na uenezi (CHADEMA) John Mnyika leo akiongea na waandishi wahabari katika ofisi ya chama, amemtaka Kikwete kuchukua hatua za haraka kwa wahusika kwa kumpiga na bomu la machozi mwandishi wa habari Mwangosi hadi kumpelekea kupoteza maisha.
Pili amemtaka kumsimamisha kazi Paul Chagonja na RPC (Iringa) Kamuhanda kusimamishwa kazi wakati uchunguzi unaendelea.
Tatu alitaka uchunguzi ufanyike wa kujua kifo cha Mwangosi ni shinikizo kutoka kwa nani?
Kuhusu wahusika wa mauaji anasema kuwa tayari wanajulikana huku akionesha picha gazeti la jana la mwananchi wakati polisi nane wakimsulubu Mwangosi. hao ambao wameonekana kwenye picha ndio wa kwanza wanapaswa kukamatwa, sababu hata wao polisi wakati raia ameuawa huwa wanaanza na wale watu walikua karibu na tukio.
Kwa maana hiyo polisi nane wanapaswa kuwa wa kwanza kukamatwa.
source ITV- habari za saa.
Jamani mnyika,kikwete hawezi kuchukulia hatua maamuzi yake mwenyewe.ila umetimiza wajibu kumwambia.
Umepitapita mtaani ukasikia wanachokisema wananchi au umetumwa kuja kuwafariji watawala?Kifo cha Mwangosi kimesababishwa na hao cdm wenyewe kwa kukaidi amri halali ya polisi yakutofanya mikutano wakati wa sensa. Mie nilidhani mnyika angeanza kukiri kuwa wao ndio wauaji na wawajibike kwa hilo kwa ubishi wao usio na maana. Hapo ndipo tungejua kuwa hiki ni chama makini, JK hapa anahusikaje? CDM hili mnalo halifutiki kwa jua hata ka mvua juu ya kifo hiki mlicho kifanya
Kifo cha Mwangosi kimesababishwa na hao cdm wenyewe kwa kukaidi amri halali ya polisi yakutofanya mikutano wakati wa sensa. Mie nilidhani mnyika angeanza kukiri kuwa wao ndio wauaji na wawajibike kwa hilo kwa ubishi wao usio na maana. Hapo ndipo tungejua kuwa hiki ni chama makini, JK hapa anahusikaje? CDM hili mnalo halifutiki kwa jua hata ka mvua juu ya kifo hiki mlicho kifanya
Kichwa kikubwa akili ya mende.
nakipongeza chama cha CDM kwa maendeleo makubwa na sera nzuri ya kuwakomboa watanzania hakika wanaitaji kupongezwa lakini pia wanapaswa kukosolewa kutokana na ukweli kwamba hakuna kitu kilicho kamilika kwa asilimia 100 zaidi ya mungu.kwa muda sasa CDM imekuwa ikidai swala la kupunguza matumizi kupitia mishahara ya wabunge wamekuwa na sera ya kudai kwamba inapaswa mishahara ipunguzwe sera ambayo ni nzuri sana lakini hadi sasa aliyeweza kuthubutu ni zitto kabwe tu mbinu anayoitumia siamini kama wabunge wengine hawawezi hii inauma kwasasababu hawaishi kulingana kile wanachokiubili lakini nachanganyikiwa zaidi pale ambapo viongozi wa CDM wanaposema hawako tayari kuingia ikulu wakati damu ya watu imemwagika ninaipeda CDM lakiniinanisikitisha pale ambapo inaenda kinyume na kile inachokiubili
Kifo cha Mwangosi kimesababishwa na hao cdm wenyewe kwa kukaidi amri halali ya polisi yakutofanya mikutano wakati wa sensa. Mie nilidhani mnyika angeanza kukiri kuwa wao ndio wauaji na wawajibike kwa hilo kwa ubishi wao usio na maana. Hapo ndipo tungejua kuwa hiki ni chama makini, JK hapa anahusikaje? CDM hili mnalo halifutiki kwa jua hata ka mvua juu ya kifo hiki mlicho kifanya
Nilijua tu huu ni upepo uvumao utapita...Lets wait and see! Labda atachukua hatua!
... Why give him a probability .. LABDA?? Nadhani kweli he has to do something kwa hii case!!Lets wait and see! Labda atachukua hatua!
... Why give him a probability .. LABDA?? Nadhani kweli he has to do something kwa hii case!!