unajua katika kazi ukichanganya na udugu pasipo ujuzi matokeo yake ndio haya, wafantakazi wameanza kudharau familia ya mzee mbuguni na wanakua kama vituko mbele yao.
halafu dogo imma anachanganya kazi na mapenzi, kuna dada mmoja kampiga chini eti anajitia kumtimua, sasa kwa staili hii unadhani kampuni itakwenda wapi kama sio kuzimu?
halafu dogo imma anachanganya kazi na mapenzi, kuna dada mmoja kampiga chini eti anajitia kumtimua, sasa kwa staili hii unadhani kampuni itakwenda wapi kama sio kuzimu?