Wakuu hali mbaya ya kiuchumi inaonyemelea kampuni tanzu ya Business Times Limited. Taarifa za ndani zinasema kwamba wafanyakazi wake hawajalipwa tangu mwezi wa kwanza mpaka leo. Kisa family interference into operations. Kwa mujibu wa mfanyakazi huo chama cha wafanyakazi tayari kimetangaza mgogoro na mwajili huyo. This is the shame nakumbuka majira miaka hiyo na Business Times miaka ile. Du kweli la kuvunda halina ubani.....Correspondent wenyewe hawajalipwa kwa miezi mitano.. je tunaelekea wapi......