Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Hivi wewe hizi pumba ulizomwaga hapa zinaashiria kuwa husomi contributions za wenzako kabla ya kuchafua hali ya hewa?
Mkuu don't tell me you are not Tambwe Hiza or atleast a person working with him at his propagation unit
Hotuba ya raisi ilikuwa wazi, kila mtu ana masikio kusikiliza alichosema, wewe umetia maneno yako ili kujirembesha kwa mafisadi, acha kubwabwaja. Raisi wa nchi hawezi kutoa kauli kama hiyo,wafanyakazi hawabadilishi kura kwa mshahara, muungwana JK alipotoka na hiyo kauli itamtesa maishani mwake milele.
Kama watanzania wana akili sawa na ya kwako basi tumekwisha.Kwanza umesema watanzania sio waaminifu, sijui umetumia vigezo gani kufikia hiyo conclusion, nasema huko ni kuropoka, kama wewe sio muaminifu then dont generalize kuwa watanzania wote sio waaminifu.Umesema kuwa kuna rushwa/ufisadi kuanzania kata hadi ikulu, that is another plain statement ambayo huna any data kuisupport, so kwa hayo mawili nadhani unasukumwa na ushabiki zaidi kuliko akili za kawaida ambazo mungu amekupa. Na kama una macho ya kifisadi hata kama ukipewa data za kujaa chumba kizima bado hutauona ukweli. Sidhani kama data unazihitaji kabla hujafungua macho yako mengine uone ukweli, vua utando wa ghiliba za kifisadi na ushabiki wako kwa CCM na uchafu wao, jivike macho ya uwazi na utambuzi, then utaona jinsi ulivyopumbazika kwa vijisenti unavyopewa kuushabikia uongo na utumwa wa CCM. Wewe ni mtumwa, tena utumwa huu ni mbaya kuliko ule wa enzi zile, utumwa wa fikra na uchovu wa kuchambua hoja na ulegevu wa kutafakari nini hali itakuwa kwa watoto na wajukuu na wajuu za watoto wetu niutumwa mbaya kuliko ugonjwa mbaya na hatari ya malaria na ukimwi.
Kima cha chini cha 350K kinawezekana, hizo ni dola mia 250. Ni hela ndogo kaka, halafu ulivyo mvivu wa kuchambua, hukubother kuhakiki mahesabu ya JK, umebandua na kubandika kama alivyosema. Hebu nijuze, umewezaje kupata trilion 6 kwa mwaka? kama serekali ina wafanyazi 350,000? Excel yangu hapa inaonyesha kuwa kwa mwezi ukizidisha 350,000X350,000 ni 122,500,000,000. Kwa mwaka ni 1,470,000,000,000. Hizo ni trilion 1.47. Sasa kaka unataka tukupe majibu wakati maswali yako umebase kwenye wrong information, kweli tutafika?
Kama wewe ni kuwadi wa kushauri mbona hukumshauri JK atoe kauli zenye hekima.Kugoma ilikuwa ni haki ya mfanyakazi na sidhani kama kwenye mahojiano kulikuwa na swala la kumpa kura JK kama sharti la kuongezwa mshahara, aliibua soo hilo mwenyewe, wacha watu walitumie kisiasa. Hizo hotuba za kuandikiwa na JM ndizo zinamfanya JK aonekane hana maana. Na je lile la kiherehere cha wasichana kupata mimba nalo unalizungumziaje? Hakuna kiongozi wa nchi aliyekwisha sema kuwa kama vipi na kura zenu sizitaki, huo ni uchuro, kwani kama angesema haiwezekani kuwalipa fedha zote hizo kw akuwa serekali haina uwezo kungekuwa na shida gani, yaani kwa kauli yake ni kuwa siwaongezei mshahara na kura zenu sizitaki.Kwanza si raisi wa nchi mwenye mamlaka ya kuongeza mishahara, hivyo kuchaguliwa kwake na kuongezeka kwa mishahara ni vitu viwili tofauti kaka-- lol
Acha, huku ni kutapatapa kwa CCM, mara JK hakusema hivyo (Tambwe) mara wameongeza mshahara kimya kimya, mara TUCTA isiingilie swala la nani watamuunga mkono kwenye kinyanganyiro cha uraisi ni kuvunja sheria-Naibu katibu Mkuu Kazi. If this is damage control mnafanya, then guys mmechelewa sana, it was suppose kufanywa kesho yake baada ya hotuba ya JK. Kama mnaanza damage control baada ya mgombea wa chadema na TUCTA kuonyesha makucha, hiyo sio control bali mnazidi kudamage. Ningekuwa wewe, ningemshauri JK akomae na kauli yake, huo ndio ujasiri, sio kuanza kutafuta watu kama wewe kumsafisha, huo sio ukomavu hata kidogo, ni woga
Mkuu NasDas UMETUMWA!!
Wote tulimsikia JK siku hiyo wa kumsapoti tulisapoti lakini hakuna rais duniani ambaye anaweza kuendesha mambo yake bila wafanyakazi.
Inahitaji tact na ustadi mkubwa kuwadhibiti wafanyakazi kisiasa.
Ni dhahiri statement ya JK haikumsaidia sana kisiasa
Wafanyakazi hao ndo watu walio karibu naye, madereva, makarani, mamesenja nk.Watu hawa watakuwepo kwa kipindi cha rais yeyote yule.
Tusijaribu kutengeneza the Fifth Column kwa ushauri kama huu usio na mbele wal nyuma
"Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba Watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa!"-QUOTE
Huyu ND anaboa sana hasa anaposema watanzania wote sio waaminifu! Mtu anayeishi nje ya mshahara wake akitegemea wizi na ujanja ujanja wa kazini utamjua tu.......anafikiri wote ndo hivo hivo. Kimsingi ameridhika kuwa wizi na ujanja ujanja ndo mfumo wa maisha ya wafanyakazi Tz. hivyo hata watawala wengine wakija uzi ni ule ule. Wengine tunategemea tu mshahara kaka, ndio maana tunalia uongezwe.
NasDaz kama umetumwa na waliokutuma, nenda kawambie JF "hawadanganyiki". Hii ni Blog ya great thinkers ambapo wewe huwezi kujadili baadhi ya maeneo. Unakurupuka kudefend mafisadi. Angalia hapa chini kwenye jedwali, hata kama uli ishia la nne utaelewa tu. Ikishindikana kuelewa basi nenda ukafanyiwe utafiti wa akili huenda zimekaa upande. Mahesabu haya JK angeyachunguza asinge toa hutuba kama ile kwa "wazee wa Dar". Katika hotuba mbaya alizowahi kutoa, ile imeingia kwenye rekodi ya vichwa vya watanzania. Hai itajiki elimu ya chuo kikuu kujua mahesabu haya, achana na watumishi 350,000, tufanye 400,000. Sasa endelea
JEDWALI LA GHARAMA
MaelezoKiasiMieziJumlaWatumishi (Iliyokadiliwa)Kifupi
400,000
12Million 4.84,800,000.00
Mshahara
315,000/=
12Trillion 1.5121,512,000,000,000.00
Akiba( Mifuko Ya Jamii)
315,000 x 15%
12Trillion 0.227226,800,000,000.00
Bima Ya Afya
315,000 x 3%
12Trillion 0.04545,360,000,000.00
Jumla (Gharama)
371,700.00
12Trillion 1.7841,784,160,000,000.00
NB: Trillion ni Million Million ie. 1,000,000,000,000.
Pamoja na michango ya security funds Yaani haifiki hata Trillion 2!
Ukishindwa hesabu hii rahisi, basi akili zako changanya na za mbayuwayu utapata jibu. Maana inawezekana unatumia akili za gong'ota, yaani kila akili yako ikogonga, inaishia kujiridhisha kuwa CCM ni chama kigumu kama gogo la mti!
Naomba kuuliza hivi hawa watumishi wote uliokokotoa wanapata kima cha chini!!
ni swali tuu baba angu!!