Elections 2010 Kibwagizo cha kura alizokataa kikwete kinaboa!

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,168
8,142
Tena nahisi kwa mtu aliye makini, kibwagizo hicho ni tusi kwake! Ni tusi kwake kv mtu yeyote kupandikizwa kitu ambacho si sahii na kumtaka akiamini tafsiri yake ni kwamba umemuona juha! Kama unamshawishi mtu aamini kwamba 3x3=6 basi bila shaka ushamuona huyo mtu hajui A wala B ktk hisabati!
Wakati Kikwete akizungumzia suala zima la TUCTA (au wafanyakazi?) kutaka kima cha chini cha mshahara kiwe Shs. 350,000/= (kwa tija ipi? Yaani Walimu kama waliokuwa wamecharazwa bakora na DC Mtimuliwa, Bwana Mnaly wale wapate zaidi ya Sh. Laki 4! ) alitamka bayana kwamba kima hicho hakilipiki! Alidai kwamba makusanyo ya serikali ni kiasi cha Shilingi Trilioni 5 kwa mwaka na endapo kima cha chini cha mshahara kitakuwa Shs.350,000/= basi bajeti ya mishahara peke yake itakuwa kiasi cha Shs. Trilioni 6 kwa mwaka! Kwa maana nyingine, endapo kima hicho kitalipwa, basi shughuli zingine zote za serikali (in partcular, kutoa huduma kwa wananchi wake zisimame!) Hivyo, bila kutafuna maneno, JK akazungumza wazi kwamba “kima hicho hakilipiki, na endapo hilo ndilo sharti la kupigiwa kura na wafanyakazi(au Bwana Mgaya!?) basi ni heri msinipigie!” Ilikuwa ni kauli ya kijasiri, ambayo naamini inaweza kuungwa mkono hata na wanasiasa wa upinzani wasiotaka kubisha kila jambo kama alivyo Mheshimiwa Zitto! Mwanasiasa yeyote ambae anasimama kwenye ukweli bila kutishika na shinikizo za kisiasa; angesema hivyohivyo!
Kikwete anazihitaji kura za wafanyakazi, lakini kama sharti lenyewe ni kupewa kima cha chini cha Shs.350,000/= ndipo wawezwe kumpigia kura; basi yu heri kuzikosa kura hizo kuliko kuahidi kitu kisichotekelezeka! Hata Dr. Slaa mwenyewe ambae anaichukulia kauli hiyo ya Kikwete kama mtaji mpya wa kisiasa, anafahamu wazi kwamba kima hicho hakilipiki!
Hivyo basi, tuache porojo za kisiasa! Sipendi kufanywa sina akili! Chama chochote kile kinachoamini kinaweza kulipa kiasi hicho, basi naomba kiweke wazi mambo yafuatayo:
· Vyanzo vya Mapato na Thamani Zake: Msiishie tu kusema kwamba mtabuni vyanzo vingine vya mapato, bali ningependa kuorodheshewa vyanzo hivyo na bajeti ya mapato yatakayopatikana kutoka kwenye vyanzo husika. Iwe ni Scientific Budget na sio Political Budget!
· MIANYA YA UFISADI NA POSHO: Tunaambiwa kwamba serikali inashindwa kulipa kima cha Shs. 350,000/= kv serikali yenyewe imejaa ufisadi! Ndio, hilo halina mjadala kwamba ufisadi umeenea katika kila nyanja! Hivyo basi, ningependa kupatiwa mchanganuo mzima wa kiasi cha pesa kinachopotea kwenye ufisadi na posho kwa mwaka mzima ili nione endapo upotevu huo usingekuwepo basi Tatu Unusu ingelipika! Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba Watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa! Ni Watanzania wachache sana ambao wapo honest. Hivyo basi, lazima niambiwe namna ambavyo mtazuia ufisadi huo na sio tu kusema kwamba mtakomesha ufisadi!
· MISAMAHA + MIANYA YA UKWEPAJI KODI: Hamna anayekataa kwamba bado kuna ukwepaji mkubwa wa kodi nchini. Aidha, kuna misamaha mingi ambayo haina ulazima. Hata hivyo, ningependa takwimu ili nijue ni kiasi gani kinakosekana kutokana na ukwepaji kodi. This, Must be Scientific Statistics and not Political Statistics. Aidha, niorodheshewe misamaha ambayo haikustahili kupata msamaha pamoja na thamani yake.
· MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI: Eneo lingine linalolalamikiwa ni la matumizi mabaya ya serikali. Hapa ningependa kuorodheshewa matumizi yote yanayoonekana ni mabaya ya seriakali na thamani yake. Ni matumizi ambayo nyie mkiingia tu, mtayafuta mara moja!
NDIYO!! Nataka mambo na michanganuo lakini endapo michanganuo hiyo hamna basi mnatuongopea! Inawezekana kabisa kwamba endapo baadhi ya mambo yatafanyika basi kima hicho kinalipika. Hayo mambo ndiyo ninayoomba mtuambie at least wana wa JF! Hofu yangu ni kwamba, inawezekana kabisa kwamba pamoja na kelele za kwamba kima cha 3 unusu kinalipa kumbe hata nanyi uwezo huo hamna kv hamna vyanzo mbadala!
Hamna vyanzo mbadala kutokana na mambo yafuatayo:
· Ufisadi ndani ya nchi hii unafanywa tangu ofisi ya mtaa hadi Ikulu! Huko kote kuna wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani na si ajabu hata hao wanaofanya ufisadi kwenye idara na wizara za serikali wengine ni wanachama wa vyama vya upinzani! UFISADI HAUNA CHAMA WALA KABILA! This is all about inner most attitude ambayo no one political part with members with equal attitudes!
· Wataalamu ambao kwa sasa ndio wanaoibua vyanzo vya mapato wengine ni wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani. Kwanini basi wasiviibue sasa?! Je, ina maana vyanzo hivyo ambavyo hadi leo havipo vinasubiri upinzani kwanza uingie madarakani ndipo waviibue vyanzo hivyo?
Endapo majibu ya maswali yangu hamna mwenye nayo, basi shime kwa upinzani kutuhubiria sera zinazotekelezeka! Itakuwa ni kuwatusi Watanzania endapo mtu anayegombea Urais atasimama mbele ya wananchi na kuahidi kwamba nipeni kura nitawalipa Shs.350,000/= wakati anajua kwamba uwezo huo hana! Hatutaki porojo za akina Cheyo alipokuwa ametuahidi kutujaza mapesa watanzania wakati ameshindwa kuwajaza mapesa hata Wasukuma wenzake waliopo kwenye jimbo analoliwakilisha!

 
Tena nahisi kwa mtu aliye makini, kibwagizo hicho ni tusi kwake! Ni tusi kwake kv mtu yeyote kupandikizwa kitu ambacho si sahii na kumtaka akiamini tafsiri yake ni kwamba umemuona juha! Kama unamshawishi mtu aamini kwamba 3x3=6 basi bila shaka ushamuona huyo mtu hajui A wala B ktk hisabati!
Wakati Kikwete akizungumzia suala zima la TUCTA (au wafanyakazi?) kutaka kima cha chini cha mshahara kiwe Shs. 350,000/= (kwa tija ipi? Yaani Walimu kama waliokuwa wamecharazwa bakora na DC Mtimuliwa, Bwana Mnaly wale wapate zaidi ya Sh. Laki 4! ) alitamka bayana kwamba kima hicho hakilipiki! Alidai kwamba makusanyo ya serikali ni kiasi cha Shilingi Trilioni 5 kwa mwaka na endapo kima cha chini cha mshahara kitakuwa Shs.350,000/= basi bajeti ya mishahara peke yake itakuwa kiasi cha Shs. Trilioni 6 kwa mwaka! Kwa maana nyingine, endapo kima hicho kitalipwa, basi shughuli zingine zote za serikali (in partcular, kutoa huduma kwa wananchi wake zisimame!) Hivyo, bila kutafuna maneno, JK akazungumza wazi kwamba "kima hicho hakilipiki, na endapo hilo ndilo sharti la kupigiwa kura na wafanyakazi(au Bwana Mgaya!?) basi ni heri msinipigie!" Ilikuwa ni kauli ya kijasiri, ambayo naamini inaweza kuungwa mkono hata na wanasiasa wa upinzani wasiotaka kubisha kila jambo kama alivyo Mheshimiwa Zitto! Mwanasiasa yeyote ambae anasimama kwenye ukweli bila kutishika na shinikizo za kisiasa; angesema hivyohivyo!
Kikwete anazihitaji kura za wafanyakazi, lakini kama sharti lenyewe ni kupewa kima cha chini cha Shs.350,000/= ndipo wawezwe kumpigia kura; basi yu heri kuzikosa kura hizo kuliko kuahidi kitu kisichotekelezeka! Hata Dr. Slaa mwenyewe ambae anaichukulia kauli hiyo ya Kikwete kama mtaji mpya wa kisiasa, anafahamu wazi kwamba kima hicho hakilipiki!
Hivyo basi, tuache porojo za kisiasa! Sipendi kufanywa sina akili! Chama chochote kile kinachoamini kinaweza kulipa kiasi hicho, basi naomba kiweke wazi mambo yafuatayo:
· Vyanzo vya Mapato na Thamani Zake: Msiishie tu kusema kwamba mtabuni vyanzo vingine vya mapato, bali ningependa kuorodheshewa vyanzo hivyo na bajeti ya mapato yatakayopatikana kutoka kwenye vyanzo husika. Iwe ni Scientific Budget na sio Political Budget!
· MIANYA YA UFISADI NA POSHO: Tunaambiwa kwamba serikali inashindwa kulipa kima cha Shs. 350,000/= kv serikali yenyewe imejaa ufisadi! Ndio, hilo halina mjadala kwamba ufisadi umeenea katika kila nyanja! Hivyo basi, ningependa kupatiwa mchanganuo mzima wa kiasi cha pesa kinachopotea kwenye ufisadi na posho kwa mwaka mzima ili nione endapo upotevu huo usingekuwepo basi Tatu Unusu ingelipika! Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba Watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa! Ni Watanzania wachache sana ambao wapo honest. Hivyo basi, lazima niambiwe namna ambavyo mtazuia ufisadi huo na sio tu kusema kwamba mtakomesha ufisadi!
· MISAMAHA + MIANYA YA UKWEPAJI KODI: Hamna anayekataa kwamba bado kuna ukwepaji mkubwa wa kodi nchini. Aidha, kuna misamaha mingi ambayo haina ulazima. Hata hivyo, ningependa takwimu ili nijue ni kiasi gani kinakosekana kutokana na ukwepaji kodi. This, Must be Scientific Statistics and not Political Statistics. Aidha, niorodheshewe misamaha ambayo haikustahili kupata msamaha pamoja na thamani yake.
· MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI: Eneo lingine linalolalamikiwa ni la matumizi mabaya ya serikali. Hapa ningependa kuorodheshewa matumizi yote yanayoonekana ni mabaya ya seriakali na thamani yake. Ni matumizi ambayo nyie mkiingia tu, mtayafuta mara moja!
NDIYO!! Nataka mambo na michanganuo lakini endapo michanganuo hiyo hamna basi mnatuongopea! Inawezekana kabisa kwamba endapo baadhi ya mambo yatafanyika basi kima hicho kinalipika. Hayo mambo ndiyo ninayoomba mtuambie at least wana wa JF! Hofu yangu ni kwamba, inawezekana kabisa kwamba pamoja na kelele za kwamba kima cha 3 unusu kinalipa kumbe hata nanyi uwezo huo hamna kv hamna vyanzo mbadala!
Hamna vyanzo mbadala kutokana na mambo yafuatayo:
· Ufisadi ndani ya nchi hii unafanywa tangu ofisi ya mtaa hadi Ikulu! Huko kote kuna wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani na si ajabu hata hao wanaofanya ufisadi kwenye idara na wizara za serikali wengine ni wanachama wa vyama vya upinzani! UFISADI HAUNA CHAMA WALA KABILA! This is all about inner most attitude ambayo no one political part with members with equal attitudes!
· Wataalamu ambao kwa sasa ndio wanaoibua vyanzo vya mapato wengine ni wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani. Kwanini basi wasiviibue sasa?! Je, ina maana vyanzo hivyo ambavyo hadi leo havipo vinasubiri upinzani kwanza uingie madarakani ndipo waviibue vyanzo hivyo?
Endapo majibu ya maswali yangu hamna mwenye nayo, basi shime kwa upinzani kutuhubiria sera zinazotekelezeka! Itakuwa ni kuwatusi Watanzania endapo mtu anayegombea Urais atasimama mbele ya wananchi na kuahidi kwamba nipeni kura nitawalipa Shs.350,000/= wakati anajua kwamba uwezo huo hana! Hatutaki porojo za akina Cheyo alipokuwa ametuahidi kutujaza mapesa watanzania wakati ameshindwa kuwajaza mapesa hata Wasukuma wenzake waliopo kwenye jimbo analoliwakilisha!


Hotuba ya raisi ilikuwa wazi, kila mtu ana masikio kusikiliza alichosema, wewe umetia maneno yako ili kujirembesha kwa mafisadi, acha kubwabwaja. Raisi wa nchi hawezi kutoa kauli kama hiyo,wafanyakazi hawabadilishi kura kwa mshahara, muungwana JK alipotoka na hiyo kauli itamtesa maishani mwake milele.

Kama watanzania wana akili sawa na ya kwako basi tumekwisha.Kwanza umesema watanzania sio waaminifu, sijui umetumia vigezo gani kufikia hiyo conclusion, nasema huko ni kuropoka, kama wewe sio muaminifu then dont generalize kuwa watanzania wote sio waaminifu.Umesema kuwa kuna rushwa/ufisadi kuanzania kata hadi ikulu, that is another plain statement ambayo huna any data kuisupport, so kwa hayo mawili nadhani unasukumwa na ushabiki zaidi kuliko akili za kawaida ambazo mungu amekupa. Na kama una macho ya kifisadi hata kama ukipewa data za kujaa chumba kizima bado hutauona ukweli. Sidhani kama data unazihitaji kabla hujafungua macho yako mengine uone ukweli, vua utando wa ghiliba za kifisadi na ushabiki wako kwa CCM na uchafu wao, jivike macho ya uwazi na utambuzi, then utaona jinsi ulivyopumbazika kwa vijisenti unavyopewa kuushabikia uongo na utumwa wa CCM. Wewe ni mtumwa, tena utumwa huu ni mbaya kuliko ule wa enzi zile, utumwa wa fikra na uchovu wa kuchambua hoja na ulegevu wa kutafakari nini hali itakuwa kwa watoto na wajukuu na wajuu za watoto wetu niutumwa mbaya kuliko ugonjwa mbaya na hatari ya malaria na ukimwi.

Kima cha chini cha 350K kinawezekana, hizo ni dola mia 250. Ni hela ndogo kaka, halafu ulivyo mvivu wa kuchambua, hukubother kuhakiki mahesabu ya JK, umebandua na kubandika kama alivyosema. Hebu nijuze, umewezaje kupata trilion 6 kwa mwaka? kama serekali ina wafanyazi 350,000? Excel yangu hapa inaonyesha kuwa kwa mwezi ukizidisha 350,000X350,000 ni 122,500,000,000. Kwa mwaka ni 1,470,000,000,000. Hizo ni trilion 1.47. Sasa kaka unataka tukupe majibu wakati maswali yako umebase kwenye wrong information, kweli tutafika?

Kama wewe ni kuwadi wa kushauri mbona hukumshauri JK atoe kauli zenye hekima.Kugoma ilikuwa ni haki ya mfanyakazi na sidhani kama kwenye mahojiano kulikuwa na swala la kumpa kura JK kama sharti la kuongezwa mshahara, aliibua soo hilo mwenyewe, wacha watu walitumie kisiasa. Hizo hotuba za kuandikiwa na JM ndizo zinamfanya JK aonekane hana maana. Na je lile la kiherehere cha wasichana kupata mimba nalo unalizungumziaje? Hakuna kiongozi wa nchi aliyekwisha sema kuwa kama vipi na kura zenu sizitaki, huo ni uchuro, kwani kama angesema haiwezekani kuwalipa fedha zote hizo kw akuwa serekali haina uwezo kungekuwa na shida gani, yaani kwa kauli yake ni kuwa siwaongezei mshahara na kura zenu sizitaki.Kwanza si raisi wa nchi mwenye mamlaka ya kuongeza mishahara, hivyo kuchaguliwa kwake na kuongezeka kwa mishahara ni vitu viwili tofauti kaka-- lol
Acha, huku ni kutapatapa kwa CCM, mara JK hakusema hivyo (Tambwe) mara wameongeza mshahara kimya kimya, mara TUCTA isiingilie swala la nani watamuunga mkono kwenye kinyanganyiro cha uraisi ni kuvunja sheria-Naibu katibu Mkuu Kazi. If this is damage control mnafanya, then guys mmechelewa sana, it was suppose kufanywa kesho yake baada ya hotuba ya JK. Kama mnaanza damage control baada ya mgombea wa chadema na TUCTA kuonyesha makucha, hiyo sio control bali mnazidi kudamage. Ningekuwa wewe, ningemshauri JK akomae na kauli yake, huo ndio ujasiri, sio kuanza kutafuta watu kama wewe kumsafisha, huo sio ukomavu hata kidogo, ni woga
 
"Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba Watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa!"-QUOTE


Huyu ND anaboa sana hasa anaposema watanzania wote sio waaminifu! Mtu anayeishi nje ya mshahara wake akitegemea wizi na ujanja ujanja wa kazini utamjua tu.......anafikiri wote ndo hivo hivo. Kimsingi ameridhika kuwa wizi na ujanja ujanja ndo mfumo wa maisha ya wafanyakazi Tz. hivyo hata watawala wengine wakija uzi ni ule ule. Wengine tunategemea tu mshahara kaka, ndio maana tunalia uongezwe.
 
·Ufisadi ndani ya nchi hii unafanywa tangu ofisi ya mtaa hadi Ikulu!

Unatoa ushahidi wa wazi kuwa ikulu ya JK si mahala patakatifu. JK anakimbilia nini ikulu kama analea ufisadi sehemu takatifu. Watanzania tunataka rais anayepambana na ufisadi ikulu ili pabaki patakatifu. Rais anayevumilia na kuruhusu ufisadi ikulu hafai. Rais akipafanya ikulu pahaka patakatifu atafanya ofisi zingine pia ziwe takatifu. Dr slaa ambaye ndiye mwasisi wa vita dhidi ya ufisadi, na yuko radhi kujinyima kipato bungeni atawafanya wafanyakazi wapate kima cha chini cha 350,000/=. Dr Slaa ndiye anayehitaji kura za wafanyakazi, JK alishasema hazihitaji kura za wafanyakazi.
 
Tena nahisi kwa mtu aliye makini, kibwagizo hicho ni tusi kwake! Ni tusi kwake kv mtu yeyote kupandikizwa kitu ambacho si sahii na kumtaka akiamini tafsiri yake ni kwamba umemuona juha! Kama unamshawishi mtu aamini kwamba 3x3=6 basi bila shaka ushamuona huyo mtu hajui A wala B ktk hisabati!
Wakati Kikwete akizungumzia suala zima la TUCTA (au wafanyakazi?) kutaka kima cha chini cha mshahara kiwe Shs. 350,000/= (kwa tija ipi? Yaani Walimu kama waliokuwa wamecharazwa bakora na DC Mtimuliwa, Bwana Mnaly wale wapate zaidi ya Sh. Laki 4! ) alitamka bayana kwamba kima hicho hakilipiki! Alidai kwamba makusanyo ya serikali ni kiasi cha Shilingi Trilioni 5 kwa mwaka na endapo kima cha chini cha mshahara kitakuwa Shs.350,000/= basi bajeti ya mishahara peke yake itakuwa kiasi cha Shs. Trilioni 6 kwa mwaka! Kwa maana nyingine, endapo kima hicho kitalipwa, basi shughuli zingine zote za serikali (in partcular, kutoa huduma kwa wananchi wake zisimame!) Hivyo, bila kutafuna maneno, JK akazungumza wazi kwamba "kima hicho hakilipiki, na endapo hilo ndilo sharti la kupigiwa kura na wafanyakazi(au Bwana Mgaya!?) basi ni heri msinipigie!" Ilikuwa ni kauli ya kijasiri, ambayo naamini inaweza kuungwa mkono hata na wanasiasa wa upinzani wasiotaka kubisha kila jambo kama alivyo Mheshimiwa Zitto! Mwanasiasa yeyote ambae anasimama kwenye ukweli bila kutishika na shinikizo za kisiasa; angesema hivyohivyo!
Kikwete anazihitaji kura za wafanyakazi, lakini kama sharti lenyewe ni kupewa kima cha chini cha Shs.350,000/= ndipo wawezwe kumpigia kura; basi yu heri kuzikosa kura hizo kuliko kuahidi kitu kisichotekelezeka! Hata Dr. Slaa mwenyewe ambae anaichukulia kauli hiyo ya Kikwete kama mtaji mpya wa kisiasa, anafahamu wazi kwamba kima hicho hakilipiki!
Hivyo basi, tuache porojo za kisiasa! Sipendi kufanywa sina akili! Chama chochote kile kinachoamini kinaweza kulipa kiasi hicho, basi naomba kiweke wazi mambo yafuatayo:
· Vyanzo vya Mapato na Thamani Zake: Msiishie tu kusema kwamba mtabuni vyanzo vingine vya mapato, bali ningependa kuorodheshewa vyanzo hivyo na bajeti ya mapato yatakayopatikana kutoka kwenye vyanzo husika. Iwe ni Scientific Budget na sio Political Budget!
· MIANYA YA UFISADI NA POSHO: Tunaambiwa kwamba serikali inashindwa kulipa kima cha Shs. 350,000/= kv serikali yenyewe imejaa ufisadi! Ndio, hilo halina mjadala kwamba ufisadi umeenea katika kila nyanja! Hivyo basi, ningependa kupatiwa mchanganuo mzima wa kiasi cha pesa kinachopotea kwenye ufisadi na posho kwa mwaka mzima ili nione endapo upotevu huo usingekuwepo basi Tatu Unusu ingelipika! Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba Watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa! Ni Watanzania wachache sana ambao wapo honest. Hivyo basi, lazima niambiwe namna ambavyo mtazuia ufisadi huo na sio tu kusema kwamba mtakomesha ufisadi!
· MISAMAHA + MIANYA YA UKWEPAJI KODI: Hamna anayekataa kwamba bado kuna ukwepaji mkubwa wa kodi nchini. Aidha, kuna misamaha mingi ambayo haina ulazima. Hata hivyo, ningependa takwimu ili nijue ni kiasi gani kinakosekana kutokana na ukwepaji kodi. This, Must be Scientific Statistics and not Political Statistics. Aidha, niorodheshewe misamaha ambayo haikustahili kupata msamaha pamoja na thamani yake.
· MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI: Eneo lingine linalolalamikiwa ni la matumizi mabaya ya serikali. Hapa ningependa kuorodheshewa matumizi yote yanayoonekana ni mabaya ya seriakali na thamani yake. Ni matumizi ambayo nyie mkiingia tu, mtayafuta mara moja!
NDIYO!! Nataka mambo na michanganuo lakini endapo michanganuo hiyo hamna basi mnatuongopea! Inawezekana kabisa kwamba endapo baadhi ya mambo yatafanyika basi kima hicho kinalipika. Hayo mambo ndiyo ninayoomba mtuambie at least wana wa JF! Hofu yangu ni kwamba, inawezekana kabisa kwamba pamoja na kelele za kwamba kima cha 3 unusu kinalipa kumbe hata nanyi uwezo huo hamna kv hamna vyanzo mbadala!
Hamna vyanzo mbadala kutokana na mambo yafuatayo:
· Ufisadi ndani ya nchi hii unafanywa tangu ofisi ya mtaa hadi Ikulu! Huko kote kuna wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani na si ajabu hata hao wanaofanya ufisadi kwenye idara na wizara za serikali wengine ni wanachama wa vyama vya upinzani! UFISADI HAUNA CHAMA WALA KABILA! This is all about inner most attitude ambayo no one political part with members with equal attitudes!
· Wataalamu ambao kwa sasa ndio wanaoibua vyanzo vya mapato wengine ni wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani. Kwanini basi wasiviibue sasa?! Je, ina maana vyanzo hivyo ambavyo hadi leo havipo vinasubiri upinzani kwanza uingie madarakani ndipo waviibue vyanzo hivyo?
Endapo majibu ya maswali yangu hamna mwenye nayo, basi shime kwa upinzani kutuhubiria sera zinazotekelezeka! Itakuwa ni kuwatusi Watanzania endapo mtu anayegombea Urais atasimama mbele ya wananchi na kuahidi kwamba nipeni kura nitawalipa Shs.350,000/= wakati anajua kwamba uwezo huo hana! Hatutaki porojo za akina Cheyo alipokuwa ametuahidi kutujaza mapesa watanzania wakati ameshindwa kuwajaza mapesa hata Wasukuma wenzake waliopo kwenye jimbo analoliwakilisha!

Mkuu NasDas UMETUMWA!!
Wote tulimsikia JK siku hiyo wa kumsapoti tulisapoti lakini hakuna rais duniani ambaye anaweza kuendesha mambo yake bila wafanyakazi.
Inahitaji tact na ustadi mkubwa kuwadhibiti wafanyakazi kisiasa.
Ni dhahiri statement ya JK haikumsaidia sana kisiasa
Wafanyakazi hao ndo watu walio karibu naye, madereva, makarani, mamesenja nk.Watu hawa watakuwepo kwa kipindi cha rais yeyote yule.
Tusijaribu kutengeneza the Fifth Column kwa ushauri kama huu usio na mbele wal nyuma
 
Naona ndugu yetu wa siku nyingi Das Nas sasa umeamua kutufanya kama vile hatuna akili timamu za kusikia, kuchambua na kutambua. Inawezekana maneno yako yakasaidia sana huko vijijini na kwa "Wazee wa Dar es Salaam" lakini nadhani hapa unakosea.
 
Hivi wewe hizi pumba ulizomwaga hapa zinaashiria kuwa husomi contributions za wenzako kabla ya kuchafua hali ya hewa?
 
Tena nahisi kwa mtu aliye makini, kibwagizo hicho ni tusi kwake! Ni tusi kwake kv mtu yeyote kupandikizwa kitu ambacho si sahii na kumtaka akiamini tafsiri yake ni kwamba umemuona juha! Kama unamshawishi mtu aamini kwamba 3x3=6 basi bila shaka ushamuona huyo mtu hajui A wala B ktk hisabati!
Wakati Kikwete akizungumzia suala zima la TUCTA (au wafanyakazi?) kutaka kima cha chini cha mshahara kiwe Shs. 350,000/= (kwa tija ipi? Yaani Walimu kama waliokuwa wamecharazwa bakora na DC Mtimuliwa, Bwana Mnaly wale wapate zaidi ya Sh. Laki 4! ) alitamka bayana kwamba kima hicho hakilipiki! Alidai kwamba makusanyo ya serikali ni kiasi cha Shilingi Trilioni 5 kwa mwaka na endapo kima cha chini cha mshahara kitakuwa Shs.350,000/= basi bajeti ya mishahara peke yake itakuwa kiasi cha Shs. Trilioni 6 kwa mwaka! Kwa maana nyingine, endapo kima hicho kitalipwa, basi shughuli zingine zote za serikali (in partcular, kutoa huduma kwa wananchi wake zisimame!) Hivyo, bila kutafuna maneno, JK akazungumza wazi kwamba "kima hicho hakilipiki, na endapo hilo ndilo sharti la kupigiwa kura na wafanyakazi(au Bwana Mgaya!?) basi ni heri msinipigie!" Ilikuwa ni kauli ya kijasiri, ambayo naamini inaweza kuungwa mkono hata na wanasiasa wa upinzani wasiotaka kubisha kila jambo kama alivyo Mheshimiwa Zitto! Mwanasiasa yeyote ambae anasimama kwenye ukweli bila kutishika na shinikizo za kisiasa; angesema hivyohivyo!
Kikwete anazihitaji kura za wafanyakazi, lakini kama sharti lenyewe ni kupewa kima cha chini cha Shs.350,000/= ndipo wawezwe kumpigia kura; basi yu heri kuzikosa kura hizo kuliko kuahidi kitu kisichotekelezeka! Hata Dr. Slaa mwenyewe ambae anaichukulia kauli hiyo ya Kikwete kama mtaji mpya wa kisiasa, anafahamu wazi kwamba kima hicho hakilipiki!
Hivyo basi, tuache porojo za kisiasa! Sipendi kufanywa sina akili! Chama chochote kile kinachoamini kinaweza kulipa kiasi hicho, basi naomba kiweke wazi mambo yafuatayo:
· Vyanzo vya Mapato na Thamani Zake: Msiishie tu kusema kwamba mtabuni vyanzo vingine vya mapato, bali ningependa kuorodheshewa vyanzo hivyo na bajeti ya mapato yatakayopatikana kutoka kwenye vyanzo husika. Iwe ni Scientific Budget na sio Political Budget!
· MIANYA YA UFISADI NA POSHO: Tunaambiwa kwamba serikali inashindwa kulipa kima cha Shs. 350,000/= kv serikali yenyewe imejaa ufisadi! Ndio, hilo halina mjadala kwamba ufisadi umeenea katika kila nyanja! Hivyo basi, ningependa kupatiwa mchanganuo mzima wa kiasi cha pesa kinachopotea kwenye ufisadi na posho kwa mwaka mzima ili nione endapo upotevu huo usingekuwepo basi Tatu Unusu ingelipika! Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba Watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa! Ni Watanzania wachache sana ambao wapo honest. Hivyo basi, lazima niambiwe namna ambavyo mtazuia ufisadi huo na sio tu kusema kwamba mtakomesha ufisadi!
· MISAMAHA + MIANYA YA UKWEPAJI KODI: Hamna anayekataa kwamba bado kuna ukwepaji mkubwa wa kodi nchini. Aidha, kuna misamaha mingi ambayo haina ulazima. Hata hivyo, ningependa takwimu ili nijue ni kiasi gani kinakosekana kutokana na ukwepaji kodi. This, Must be Scientific Statistics and not Political Statistics. Aidha, niorodheshewe misamaha ambayo haikustahili kupata msamaha pamoja na thamani yake.
· MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI: Eneo lingine linalolalamikiwa ni la matumizi mabaya ya serikali. Hapa ningependa kuorodheshewa matumizi yote yanayoonekana ni mabaya ya seriakali na thamani yake. Ni matumizi ambayo nyie mkiingia tu, mtayafuta mara moja!
NDIYO!! Nataka mambo na michanganuo lakini endapo michanganuo hiyo hamna basi mnatuongopea! Inawezekana kabisa kwamba endapo baadhi ya mambo yatafanyika basi kima hicho kinalipika. Hayo mambo ndiyo ninayoomba mtuambie at least wana wa JF! Hofu yangu ni kwamba, inawezekana kabisa kwamba pamoja na kelele za kwamba kima cha 3 unusu kinalipa kumbe hata nanyi uwezo huo hamna kv hamna vyanzo mbadala!
Hamna vyanzo mbadala kutokana na mambo yafuatayo:
· Ufisadi ndani ya nchi hii unafanywa tangu ofisi ya mtaa hadi Ikulu! Huko kote kuna wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani na si ajabu hata hao wanaofanya ufisadi kwenye idara na wizara za serikali wengine ni wanachama wa vyama vya upinzani! UFISADI HAUNA CHAMA WALA KABILA! This is all about inner most attitude ambayo no one political part with members with equal attitudes!
· Wataalamu ambao kwa sasa ndio wanaoibua vyanzo vya mapato wengine ni wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani. Kwanini basi wasiviibue sasa?! Je, ina maana vyanzo hivyo ambavyo hadi leo havipo vinasubiri upinzani kwanza uingie madarakani ndipo waviibue vyanzo hivyo?
Endapo majibu ya maswali yangu hamna mwenye nayo, basi shime kwa upinzani kutuhubiria sera zinazotekelezeka! Itakuwa ni kuwatusi Watanzania endapo mtu anayegombea Urais atasimama mbele ya wananchi na kuahidi kwamba nipeni kura nitawalipa Shs.350,000/= wakati anajua kwamba uwezo huo hana! Hatutaki porojo za akina Cheyo alipokuwa ametuahidi kutujaza mapesa watanzania wakati ameshindwa kuwajaza mapesa hata Wasukuma wenzake waliopo kwenye jimbo analoliwakilisha!


Shame!
 
Naona listi ya wahuni wanaoajiriwa kuijibia CCM na serikali yake kama alivyosema Jenerali Ulimwengu yazidi kuongezeka. Duh, yaani jeuri yao inawatuma hadi kumwaga upuuzi wao humu JF na kwa upofu wao wanaamini kuwa tutazikubali hizi pumba zao. Sorry NasDaz, JF ni maji marefu, kawatafute wenzio huko walikopiga kambi mafisadi na marugaruga wao wanaonenepa kwa kutupiwa makombo.
 
Huyu jamaa anataka kutuaminisha watanzania kwamba wote hatujui kukokotoa "Hisabati" za kuzidisha, kujumlisha na kutoa na hatimaye kujua makadrio ya bajeti ya mishahara. Anataka kutuaminisha pia kwamba, fedha nyingi zinazopotea nchini kutokana na usimamizi mbovu wa shughuli za uzalishaji ikiwemo makusanyo kutokana na kodi, havitoshi kutoa bajeti hata mara dufu ya hiyo trilioni 6 iliyosemwa. Lakini napenda nimlejeshe tu kwa vitu vichache vinavyofanya fedha ya umma utumike vibaya pasipo sababu. Magari (Land cruisers) ya maofisa wa juu serikalini. Ni ukweli usiopingika kwamba kila mwezi magari haya hupelekwa gereji kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 1 kila gari, hapo ondoa gharama za mafuta yatumiwayo na magari hayo. Kimsingi magari menyewe hutumika mara nyingi kufanya shughuli za majumani (familia) kwa hawa maafisa waandamizi wa serikali ukilinganisha na kazi zifanywazo ofisini.

Hili ni eneo moja tu la ufujaji wa fedha za umma, ukiondoa hayo ya Kagoda Agriculture, EPA, MEREMETA na mengine mengi ya kifisadi. Mikataba mibovu ya kuchuma rasilimali zetu kama huko Buzwagi, Kahama, na mingine mengi. Kusamehewa kulipa kodi kwa watu kwa kigezo cha kujuana ama kupeana asilimi 10 ya mapato ili mladi tu anajinufaisha binafsi na kusahau wananchi na hali zao ngumu (mfano mzuri ni Waziri Mkuu aliyejiengua/jiondoa mwenyewe baada ya masuala kugeuka mchana kweupe bwana EL).

Safari za Rais nje ya nchi akifuatana na kundi la maafisa wengi pasipo hata manufaa ya safari hizo kwa taifa. (Hii inanikumbusha safari moja aliyoifanya huko Jamaica/Cuba???.... alienda kubembea na mke wake). Hivi kweli kwa namna hii mtu unaweza kuwa jasiri wa kusimama mbele ya media na kutamka aliyoyatamka Rais huku akisahau mabaya yanayofanyika kuinyonya nchi? Tunasafari ndefu ya kwenda kama ndiyo hivyo. Lakini ushauri wangu kwa umma na waja JF kutumia haki zetu za kupiga kura kwa umakini ili aghalabu kutokomeza dhahama hizi zinazotukabili.
 
Wakuu, wakati wa kupeana majukumu huyu bwana ametumwa JF, masikini ya mungu kaja na mkakati ili apate siku. Hii yote ni kwasababu ima hasomi na hajui kuchambua habari, au anasoma lakini huenda ana matatizo ya kiafya sehemu za IQ. Lakini tusimwache akiamua kuelekea hospitali bila chochote cha kuanzia kufikiri.
1. Richmonduli 150,000,000/day *30* 18 month =
2. Misamaha ya kodi [waziri fedha] = 2 trillion/year
3. CAG office could not account Billions [muulize mzee Utoh]
4. Vitafunio vya chai 19 billions
5. Ukarabati ikulu 5 billions
6. pensheni bunge 45 million *320 =
Hizi ni kama tone la maji ndani ya ndoo!
 
Mshahara wa lakini tatu na nusu hadi laki tano unalipika sana nchi hii, Mkuu akubali tu kwamba aliteleza kwa ile kauli yake..
hata hivyo kwa ujumla alilazimika kuwa mkali kiasi kile maana watoto walikua wanataka kumchezea SHARUBU,,si mliona,,baada ya ule mkwala hali ikawa kimya,,wakabaki oh! anapotoshwa na watendaji wake.....wanamdanganya.....
 
...............jamani eeh hawa ndio wapigw akura wenyewe......tuwaelimishe kwa kujibu wasiwasi wake ili kila "jiwe" liwe limegeuzwa...........najua maswali karibu yote ya huyu bwana yalishajibiwa lakini si vibaya akaelekezwa majibu hayo yaliko (hapahapa JF) kuliko kuipoteza hii kura..............

Mkuu echonza heshima mbele kwa elimu uliyotoa kwa NasDaz
 
[font=&quot]tena nahisi kwa mtu aliye makini, kibwagizo hicho ni tusi kwake! Ni tusi kwake kv mtu yeyote kupandikizwa kitu ambacho si sahii na kumtaka akiamini tafsiri yake ni kwamba umemuona juha! Kama unamshawishi mtu aamini kwamba 3x3=6 basi bila shaka ushamuona huyo mtu hajui a wala b ktk hisabati![/font]
[font=&quot]wakati kikwete akizungumzia suala zima la tucta (au wafanyakazi?) kutaka kima cha chini cha mshahara kiwe shs. 350,000/= (kwa tija ipi? Yaani walimu kama waliokuwa wamecharazwa bakora na dc mtimuliwa, bwana mnaly wale wapate zaidi ya sh. Laki 4! ) alitamka bayana kwamba kima hicho hakilipiki! Alidai kwamba makusanyo ya serikali ni kiasi cha shilingi trilioni 5 kwa mwaka na endapo kima cha chini cha mshahara kitakuwa shs.350,000/= basi bajeti ya mishahara peke yake itakuwa kiasi cha shs. Trilioni 6 kwa mwaka! Kwa maana nyingine, endapo kima hicho kitalipwa, basi shughuli zingine zote za serikali (in partcular, kutoa huduma kwa wananchi wake zisimame!) hivyo, bila kutafuna maneno, jk akazungumza wazi kwamba "kima hicho hakilipiki, na endapo hilo ndilo sharti la kupigiwa kura na wafanyakazi(au bwana mgaya!?) basi ni heri msinipigie!" ilikuwa ni kauli ya kijasiri, ambayo naamini inaweza kuungwa mkono hata na wanasiasa wa upinzani wasiotaka kubisha kila jambo kama alivyo mheshimiwa zitto! Mwanasiasa yeyote ambae anasimama kwenye ukweli bila kutishika na shinikizo za kisiasa; angesema hivyohivyo! [/font]
[font=&quot]kikwete anazihitaji kura za wafanyakazi, lakini kama sharti lenyewe ni kupewa kima cha chini cha shs.350,000/= ndipo wawezwe kumpigia kura; basi yu heri kuzikosa kura hizo kuliko kuahidi kitu kisichotekelezeka! Hata dr. Slaa mwenyewe ambae anaichukulia kauli hiyo ya kikwete kama mtaji mpya wa kisiasa, anafahamu wazi kwamba kima hicho hakilipiki! [/font]
[font=&quot]hivyo basi, tuache porojo za kisiasa! Sipendi kufanywa sina akili! Chama chochote kile kinachoamini kinaweza kulipa kiasi hicho, basi naomba kiweke wazi mambo yafuatayo:[/font]
·[font=&quot] [font=&quot]vyanzo vya mapato na thamani zake: [/font][font=&quot]msiishie tu kusema kwamba mtabuni vyanzo vingine vya mapato, bali ningependa kuorodheshewa vyanzo hivyo na bajeti ya mapato yatakayopatikana kutoka kwenye vyanzo husika. Iwe ni scientific budget na sio political budget! [/font][/font]
·[font=&quot] [font=&quot]mianya ya ufisadi na posho: [/font][font=&quot]tunaambiwa kwamba serikali inashindwa kulipa kima cha shs. 350,000/= kv serikali yenyewe imejaa ufisadi! Ndio, hilo halina mjadala kwamba ufisadi umeenea katika kila nyanja! Hivyo basi, ningependa kupatiwa mchanganuo mzima wa kiasi cha pesa kinachopotea kwenye ufisadi na posho kwa mwaka mzima ili nione endapo upotevu huo usingekuwepo basi tatu unusu ingelipika! Si hivyo tu, mimi ni mtu ninayeaamini kwamba watanzania (including na waliomo kwenye uongozi wa upinzani) hatuna uaminifu kabisa! Ni watanzania wachache sana ambao wapo honest. Hivyo basi, lazima niambiwe namna ambavyo mtazuia ufisadi huo na sio tu kusema kwamba mtakomesha ufisadi![/font][/font]
·[font=&quot] [font=&quot]misamaha + mianya ya ukwepaji kodi: [/font][font=&quot]hamna anayekataa kwamba bado kuna ukwepaji mkubwa wa kodi nchini. Aidha, kuna misamaha mingi ambayo haina ulazima. Hata hivyo, ningependa takwimu ili nijue ni kiasi gani kinakosekana kutokana na ukwepaji kodi. This, must be scientific statistics and not political statistics. Aidha, niorodheshewe misamaha ambayo haikustahili kupata msamaha pamoja na thamani yake. [/font][/font]
·[font=&quot] [font=&quot]matumizi mabaya ya serikali: [/font][font=&quot]eneo lingine linalolalamikiwa ni la matumizi mabaya ya serikali. Hapa ningependa kuorodheshewa matumizi yote yanayoonekana ni mabaya ya seriakali na thamani yake. Ni matumizi ambayo nyie mkiingia tu, mtayafuta mara moja![/font][/font]
[font=&quot]ndiyo!! Nataka mambo na michanganuo lakini endapo michanganuo hiyo hamna basi mnatuongopea! Inawezekana kabisa kwamba endapo baadhi ya mambo yatafanyika basi kima hicho kinalipika. Hayo mambo ndiyo ninayoomba mtuambie at least wana wa jf! Hofu yangu ni kwamba, inawezekana kabisa kwamba pamoja na kelele za kwamba kima cha 3 unusu kinalipa kumbe hata nanyi uwezo huo hamna kv hamna vyanzo mbadala![/font]
[font=&quot]hamna vyanzo mbadala kutokana na mambo yafuatayo:[/font]
·[font=&quot] [font=&quot]ufisadi ndani ya nchi hii unafanywa tangu ofisi ya mtaa hadi ikulu! Huko kote kuna wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani na si ajabu hata hao wanaofanya ufisadi kwenye idara na wizara za serikali wengine ni wanachama wa vyama vya upinzani! Ufisadi hauna chama wala kabila! This is all about inner most attitude ambayo no one political part with members with equal attitudes![/font][/font]
·[font=&quot] [font=&quot]wataalamu ambao kwa sasa ndio wanaoibua vyanzo vya mapato wengine ni wapenzi na wanachama wa vyama vya upinzani. Kwanini basi wasiviibue sasa?! Je, ina maana vyanzo hivyo ambavyo hadi leo havipo vinasubiri upinzani kwanza uingie madarakani ndipo waviibue vyanzo hivyo?[/font][/font]
[font=&quot]endapo majibu ya maswali yangu hamna mwenye nayo, basi shime kwa upinzani kutuhubiria sera zinazotekelezeka! Itakuwa ni kuwatusi watanzania endapo mtu anayegombea urais atasimama mbele ya wananchi na kuahidi kwamba nipeni kura nitawalipa shs.350,000/= wakati anajua kwamba uwezo huo hana! Hatutaki porojo za akina cheyo alipokuwa ametuahidi kutujaza mapesa watanzania wakati ameshindwa kuwajaza mapesa hata wasukuma wenzake waliopo kwenye jimbo analoliwakilisha! [/font]
[font=&quot] [/font]
[font=&quot] [/font]


mwehu
 
Hotuba ya raisi haikusomwa na katibu mkuu ikulu, aliisoma mwenyewe na kila mtu akaisikia na akaelewa alivyoelewa! Ulivyoelewa wewe mtoa hoja, usilazimishe kile mtu aelewe kama wewe. Otherwise wewe uwe ndo Jk mwenye maana watu humu JF hawatumii majina yao ya halisi.
 
NasDaz kama umetumwa na waliokutuma, nenda kawambie JF "hawadanganyiki". Hii ni Blog ya great thinkers ambapo wewe huwezi kujadili baadhi ya maeneo. Unakurupuka kudefend mafisadi. Angalia hapa chini kwenye jedwali, hata kama uli ishia la nne utaelewa tu. Ikishindikana kuelewa basi nenda ukafanyiwe utafiti wa akili huenda zimekaa upande. Mahesabu haya JK angeyachunguza asinge toa hutuba kama ile kwa "wazee wa Dar". Katika hotuba mbaya alizowahi kutoa, ile imeingia kwenye rekodi ya vichwa vya watanzania. Hai itajiki elimu ya chuo kikuu kujua mahesabu haya, achana na watumishi 350,000, tufanye 400,000. Sasa endelea

JEDWALI LA GHARAMA

Maelezo
Kiasi
Miezi
Jumla
Kifupi
Watumishi (Iliyokadiliwa)
400,000
12
4,800,000.00
Million 4.8
Mshahara
315,000/=
12
1,512,000,000,000.00
Trillion 1.512
Akiba( Mifuko Ya Jamii)
315,000 x 15%
12
226,800,000,000.00
Trillion 0.227
Bima Ya Afya
315,000 x 3%
12
45,360,000,000.00
Trillion 0.045
Jumla (Gharama)
371,700.00
12
1,784,160,000,000.00
Trillion 1.784
NB: Trillion ni Million Million ie. 1,000,000,000,000.

Pamoja na michango ya security funds Yaani haifiki hata Trillion 2!
Ukishindwa hesabu hii rahisi, basi akili zako changanya na za mbayuwayu utapata jibu. Maana inawezekana unatumia akili za gong'ota, yaani kila akili yako ikogonga, inaishia kujiridhisha kuwa CCM ni chama kigumu kama gogo la mti!



 
Mimi sina tatizo na Kikwete kuwakatalia wafanyakazi nyongeza za mishahara ( i.e Kikwete ana haki ya kufanya hivyo, na ina fact -ukiacha double standards zake za kutumia fedha vibaya na kujidai anajali umasikini wetu, pamoja na gaffe ya kujidai hataki kura za wafanyakazi, naona alikuwa ana build case fulani half decent) , wala sina tatizo na Kikwete kusema kwamba madai yao ni unrealistic (ingawa matumizi yake mwenyewe Kikwete katika misafara ya kisultani nje ya nchi hayanionyeshi kwamba yeye mwenyewe Kikwete ni "fiscal conservative")

Tatizo langu linakuja pale Kikwete na serikali yake wanapotaka kuwakataza wafanyakazi kutumia haki yao ya kikatiba ya "political association" ku endorse wagombea na vyama, hapa nina matatizo napo. Wrong or right, waacheni waseme wanataka kum support nani, kama mnataka ku campaign against them, kuwaita waroho wa fedha ambao hawana interest za wananchi at heart, that is fine.

Lakini msiwakataze ku endorse mgombea wanayemtaka, huu utakuwa ni ubeberu.
 
NasDaz kama umetumwa na waliokutuma, nenda kawambie JF "hawadanganyiki". Hii ni Blog ya great thinkers ambapo wewe huwezi kujadili baadhi ya maeneo. Unakurupuka kudefend mafisadi. Angalia hapa chini kwenye jedwali, hata kama uli ishia la nne utaelewa tu. Ikishindikana kuelewa basi nenda ukafanyiwe utafiti wa akili huenda zimekaa upande. Mahesabu haya JK angeyachunguza asinge toa hutuba kama ile kwa "wazee wa Dar". Katika hotuba mbaya alizowahi kutoa, ile imeingia kwenye rekodi ya vichwa vya watanzania. Hai itajiki elimu ya chuo kikuu kujua mahesabu haya, achana na watumishi 350,000, tufanye 400,000. Sasa endelea


JEDWALI LA GHARAMA

Maelezo
Kiasi
Miezi
Jumla
Kifupi
Watumishi (Iliyokadiliwa)
400,000
12
4,800,000.00
Million 4.8
Mshahara
315,000/=
12
1,512,000,000,000.00
Trillion 1.512
Akiba( Mifuko Ya Jamii)
315,000 x 15%
12
226,800,000,000.00
Trillion 0.227
Bima Ya Afya
315,000 x 3%
12
45,360,000,000.00
Trillion 0.045
Jumla (Gharama)
371,700.00
12
1,784,160,000,000.00
Trillion 1.784
NB: Trillion ni Million Million ie. 1,000,000,000,000.

Pamoja na michango ya security funds Yaani haifiki hata Trillion 2!
Ukishindwa hesabu hii rahisi, basi akili zako changanya na za mbayuwayu utapata jibu. Maana inawezekana unatumia akili za gong'ota, yaani kila akili yako ikogonga, inaishia kujiridhisha kuwa CCM ni chama kigumu kama gogo la mti!




NILIPITA TU kwa haraka, nimekosa muda wa kujibu hoja zako ingawaje umetumia jazba badala ya kujenga hoja!!! Wakati nakuahidi nitakuja jibu hoja zooooooooote, kwanza am afraid hesabu zimekupitia kushoto mkuu!!! Naomba nikufumbue macho kwa ki2 ambacho hata mtoto wa chekechea atafumbuka!!! MKUU, mbona umeweka flat rate ya hiyo Shs.315,000/=?! Kwani nchi hii wafanyakazi mishahara ipo sawa?! Ninavyofahamu mimi, wakati yale yanatendeka, kima cha chini cha mshahara kilikuwa something like Shs. 104,000/=( na kundi la wanaolipwa mshahara huu ni wale wahudumu like wapika chai na wengine! Kupandisha mshahara hadi Shs.315,000/ maana yake ni kwamba hao wapika chai badala ya kulipwa Sh.104,000/= walipwe Shs.315,000/= (Kiwango ambacho kwa wakati ule kilikuwa kinakaribia mshahara wa graduates ambao walikuwa wanaanzia Daraja D( Something like 324,000----am not sure but haifiki 380,000). Kwahiyo hizo hesabu zako zime-prove failure kabla sijafika mbali! Nchi hii(and i hope no one country) haina flat rate kwenye mshahara! Kama Greatest Thinkers wenyewe ndiyo kwa vihesabu vibovu kama hivyo basi inabidi kauli mbiu ibadilike na kuwa JF, HOME OF GREATEST AND SHALLOWEST THINKERS!!!! Mkuu, hivi inahitaji shahada yoyote kufahamu kwamba calculation zako hazina mantiki?! Hivi ulihitaji kufaulu Hisabati kujua kwamba assumption ulizotoa hazina mantiki? RUDI, kapige upya hizo hesabu zako kv zinatia kichefuchefu!
 
Mkuu don't tell me you are not Tambwe Hiza or atleast a person working with him at his propagation unit
 
Back
Top Bottom