Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,718
- 6,441
Sitosahau mwanaume niliyempenda na kumuamin kwa kila kitu lakin walikuja marafiki zake wakanieleza juu ya tabia yake nilikaataa kuamin koz na yy alikir ameacha lakin ciku zinavoenda kila nikirnda kwake nakutana na vitu vya ajabu ukimuuliza Mara vya ndugu zake mwisho nikaamua kukaa kimya mpaka Leo nampenda Huyo kaka ila nikifikiria kurud nakumbuka tabia yake then dunia ilivyo moyo unasita sitaki kurud na kilo mbili homee
Ruuuudi bana, kwasasa amekua ile ilikua utoto.