Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

Sitosahau mwanaume niliyempenda na kumuamin kwa kila kitu lakin walikuja marafiki zake wakanieleza juu ya tabia yake nilikaataa kuamin koz na yy alikir ameacha lakin ciku zinavoenda kila nikirnda kwake nakutana na vitu vya ajabu ukimuuliza Mara vya ndugu zake mwisho nikaamua kukaa kimya mpaka Leo nampenda Huyo kaka ila nikifikiria kurud nakumbuka tabia yake then dunia ilivyo moyo unasita sitaki kurud na kilo mbili homee

Ruuuudi bana, kwasasa amekua ile ilikua utoto.
 
Very touching .. Ilinikuta hii and I'm so glad it happened because the way I was before not the same as I am today .. I thank God for his season then and the season I have right now ....Thanks...

Hongera, ila nikisoma huu ujembe kwa mbaaaali naona kama una miss those old days!
 
Kabadilika sana hata simu usipopiga ndo hapig tena na ukimpigia anapokea kama hataki nooo simtaki tens now nishaanza kuzoea mwache na life na si utoto huo ni ulimbuken mwanaume kua na wanawake weng wengine wana laana zao unawaumiza mwisho unaanza kufulia unajiuliza ni nn kumbe ni laana uchungu na maumivu ya mioyo yaooooo
 
nakumbuka aliniuliza kwanini unaning'ang'ania si utafute mwingine. aisee sitakaa nimsahau yule mmachame
 
Kabadilika sana hata simu usipopiga ndo hapig tena na ukimpigia anapokea kama hataki nooo simtaki tens now nishaanza kuzoea mwache na life na si utoto huo ni ulimbuken mwanaume kua na wanawake weng wengine wana laana zao unawaumiza mwisho unaanza kufulia unajiuliza ni nn kumbe ni laana uchungu na maumivu ya mioyo yaooooo

njoo kwangu
 
Dah mi nlipigwa njiani kabisa na watu wanapita, ilikua jioni huko milimani kwetu mwanza, demu alikua anaelekea kukubali kabisa sku moja akachange akanchana live watu wakasimama kunshangaa. Nlihuzunika wiki3 nzima. Machizi wakasema achana nae kwanza demu ana pua kubwa. Baada ya kumchunguza nkakuta kweli ana pua kubwa mwanzo skuiona

Hehehehehe Dah watu wengine bhana
 
duh.... nimechekaje, mwanzo hukuiona pua kubwa. Ila mwanamke anayekuponda mbele za watu sioo mstaarabu, kwani we ulimtokea mbele ya kadamnasi? bora tu uachana nae, atakuja kukuaibisha kwa kukosa ustaarabu

Wala skumtokea mbele ya watu, nlikua mimi yeye na rafiki yake mmoja. alikua keshaanza kukubali kabisa.
 
Bora kibuti cha kuwekwa wazi - kibuti cha kimyakimya ni noma! Siwezi saau, ila nitajitahidi kusaau, nililipenda kumbe lenyewe lilikuwa kwenye research.

Hahahaaaa!! Duuuh umenikumbusha kibuti nilichowahi kukitoa yaani kimya kimya bila taarifa mwenyewe akaisoma namba, akipiga sipokei, msg sijibu nilipokuwa naishi nikahama, baadae na namba nikabadili, cha kimya kizuri sn
 
tutor b kwenye signature yako umekosea spelling hapo mwisho
ila ni ujumbe mzuri

back to the topic:mie sitosahau kuna BF wangu mmoja nilipmiga kibuti
baada ya 24hrs akawa na mwingine sikuamini , kumbe sikuwa peke yangu
nikajua kabisa kwamba ukiwa ktk mahusiano ni vyema kuwa na backorder kuepuka maumivu
hahhaha

We plan B muhimu, mie niliwahi kugombana na mtu akaniambia hawezi kuendelea na mahusiano,nikamjibu poa, baada ya 2wks akasikia nina mtu mwingine, weeeee nilifanyiwa kila aina ya fujo wakati yeye ndio aliamua tuachane! Wanaune cjui wana nn!
 
We plan B muhimu, mie niliwahi kugombana na mtu akaniambia hawezi kuendelea na mahusiano,nikamjibu poa, baada ya 2wks akasikia nina mtu mwingine, weeeee nilifanyiwa kila aina ya fujo wakati yeye ndio aliamua tuachane! Wanaune cjui wana nn!

Tuna expect kuon Ex wetu wakipata mtu asiye tuzid, Hapo utajisemea atanikumbuk yule. Kumbe kafulia kweli i was ryt to let her go. Ila akipata mtu aliyetuzid, tunaon kosa na kuanza kusumbua.
Hipo kote kwa ME n KE
 
Mimi nakumbuka way back, damu inachemka. Nilikuw na date na mabinti wawili, halafu walaikuw wanajuan bt hawakujua kuwa na date nao wote.
Kuna kipindi wakaligundua hilo, walicho amua, wakaa stay na machungu moyoni, wakaliaaa. Weee. Badae wakasema ngoja tumkomesh huyu bazazi, baba…! Nikipiga game na huyu, mwenzie anajua nae anaomba kesho yake. Damn, sasa nikawa natumika hatari. End of the day kun mmoja alinipenda zaidi akanambia bot hiyo ishu. Nikapiga chini wote
 
Tuna expect kuon Ex wetu wakipata mtu asiye tuzid, Hapo utajisemea atanikumbuk yule. Kumbe kafulia kweli i was ryt to let her go. Ila akipata mtu aliyetuzid, tunaon kosa na kuanza kusumbua.
Hipo kote kwa ME n KE

Mmmh ila kwa me imezidi jamani, kuna me mna fujo jamani, khaaaah!! Na hiyi ndio inatakiwa ukibwagana na mtu kuwa na alomzidi aisee rahaaaaaa
 
Mimi nakumbuka way back, damu inachemka. Nilikuw na date na mabinti wawili, halafu walaikuw wanajuan bt hawakujua kuwa na date nao wote.
Kuna kipindi wakaligundua hilo, walicho amua, wakaa stay na machungu moyoni, wakaliaaa. Weee. Badae wakasema ngoja tumkomesh huyu bazazi, baba…! Nikipiga game na huyu, mwenzie anajua nae anaomba kesho yake. Damn, sasa nikawa natumika hatari. End of the day kun mmoja alinipenda zaidi akanambia bot hiyo ishu. Nikapiga chini wote

Kuna watu wana mioyo!! Sharing while knowing? Hapo mbona na wao walijikomoa sasa, walitakiwa wakupangie booonge la mkomo ili ukome
 
Mmmh ila kwa me imezidi jamani, kuna me mna fujo jamani, khaaaah!! Na hiyi ndio inatakiwa ukibwagana na mtu kuwa na alomzidi aisee rahaaaaaa

Kun girls ni crazy sana...wanahuwezo wakaend mfanyia fujo binti wa watu live live....ila man hatuna hizo mambo sana
 
Back
Top Bottom