Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Ni kawaida kwa mwanaume aliyekamilika kula vibuti. Vibuti vina staili tofauti, kuna kumwagwa na kumiminwa.Hiki ni kibuti ambacho sitakaa nikisahau, kwani nilipopewa haya maneno, sikuwa na moyo wa kuendelea, licha ya kumfatilia kwa miaka 5,

namnukuu "unajua dunia hii unaweza ukampenda sana mtu kama mpenzi, naye akakupenda kama rafiki? Tindikali kaa ukijua kuna watu walipenda sana, wakafiwa na wake zao, lakini walikuja kuoa na wakapenda tena na maisha yakaendelea, sembuse mimi usiyejua matamu na machungu yangu? Na isitoshe dini itakusumbua, naomba tubaki tu kama marafiki.....", nilimpenda sana huyu binti na bado nampenda, lakini cha kusikitisha alinipenda kama rafiki.

Je wewe una uzoefu gani na vibuti?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kweli siku hizi hakuna wa kukupiga kibuti,wote ni wa wote!!
Mh pana ukweli hapo? Basi kwangu inawezekana muda haujafika, mara nyingi ninapopenda toka moyon naambulia chaga...lol
 
Bora kibuti cha kuwekwa wazi - kibuti cha kimyakimya ni noma! Siwezi saau, ila nitajitahidi kusaau, nililipenda kumbe lenyewe lilikuwa kwenye research.

tutor b kwenye signature yako umekosea spelling hapo mwisho
ila ni ujumbe mzuri

back to the topic:mie sitosahau kuna BF wangu mmoja nilipmiga kibuti
baada ya 24hrs akawa na mwingine sikuamini , kumbe sikuwa peke yangu
nikajua kabisa kwamba ukiwa ktk mahusiano ni vyema kuwa na backorder kuepuka maumivu
hahhaha
 
tutor b kwenye signature yako umekosea spelling hapo mwisho
ila ni ujumbe mzuri

back to the topic:mie sitosahau kuna BF wangu mmoja nilipmiga kibuti
baada ya 24hrs akawa na mwingine sikuamini , kumbe sikuwa peke yangu
nikajua kabisa kwamba ukiwa ktk mahusiano ni vyema kuwa na backorder kuepuka maumivu
hahhaha
Ahsante kwa ushauri bibie
 
Bora kibuti cha kuwekwa wazi - kibuti cha kimyakimya ni noma! Siwezi saau, ila nitajitahidi kusaau, nililipenda kumbe lenyewe lilikuwa kwenye research.
<br />
<br />
mh samtym cha kuambiwa kinauma ila mimi kunademu nilmpenda then akaja kuniambia yey anamtu tayari kama mwanaume lazima uwe kinganganizi kama kwel una nia.tatzo nayeye alionyesha dalil za kunichunguza mfano wa maswal yake kwanin unanipenda,wewe unaweza kubali mpenz wako akuache,ujawai kuwa na mpenz.mwanaume mwisho wa siku nikapigwa kibuti akaniambia SIKUPENDI NA SITAK MAWASILIANO NA WEWE KAMWE.yote haya niliambiwa face to face nikiwa nyumban kwao.nilkuwa nimemnunulia zawadi nikamkabidh akazipokea niliondoka lakn nilpofka mbal nikazma gari kama lisaa then nikapata nguvu nkaondoka.niliumia lakni nishasahau
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mh samtym cha kuambiwa kinauma ila mimi kunademu nilmpenda then akaja kuniambia yey anamtu tayari kama mwanaume lazima uwe kinganganizi kama kwel una nia.tatzo nayeye alionyesha dalil za kunichunguza mfano wa maswal yake kwanin unanipenda,wewe unaweza kubali mpenz wako akuache,ujawai kuwa na mpenz.mwanaume mwisho wa siku nikapigwa kibuti akaniambia SIKUPENDI NA SITAK MAWASILIANO NA WEWE KAMWE.yote haya niliambiwa face to face nikiwa nyumban kwao.nilkuwa nimemnunulia zawadi nikamkabidh akazipokea niliondoka lakn nilpofka mbal nikazma gari kama lisaa then nikapata nguvu nkaondoka.niliumia lakni nishasahau
Mh pole sana, huku kujipa moyo kwamba ipo siku atakubali kunaponza sana
 
tutor b kwenye signature yako umekosea spelling hapo mwisho<br />
ila ni ujumbe mzuri<br />
<br />
back to the topic:mie sitosahau kuna BF wangu mmoja nilipmiga kibuti<br />
baada ya 24hrs akawa na mwingine sikuamini , kumbe sikuwa peke yangu <br />
nikajua kabisa kwamba ukiwa ktk mahusiano ni vyema kuwa na backorder kuepuka maumivu
hahhaha

ha ha ha....mwenyewe ukajua umemkomesha....si ajabu ulikuwa unajaribu mwenzio akafanya kweli....
 
tutor b kwenye signature yako umekosea spelling hapo mwisho<br />
ila ni ujumbe mzuri<br />
<br />
back to the topic:mie sitosahau kuna BF wangu mmoja nilipmiga kibuti<br />
baada ya 24hrs akawa na mwingine sikuamini , kumbe sikuwa peke yangu <br />
nikajua kabisa kwamba ukiwa ktk mahusiano ni vyema kuwa na backorder kuepuka maumivu<br />
hahhaha
<br />
<br />
hahahahahahaaa!! Najua ulitamani kumrudia ila ndo ikawa hivyo kwamba mlango ulikuwa umefungwa.
 
me naona demu akikuacha tu bila maelezo wala sababu hapo ndio inauma sana kuliko hata kama mngekua mmegombana hapo unajua kabisa sababu nini na inasaidia kupunguza machungu!

Bt hii ya kuachwa bila maelezo hasa kama demu umem feel inaleta tabu jaman.
 
kwakweli binafsi kibuti ambacho sitakisahau nilipewa juzi juzi tu hapa yaan miaka kama miwili iliyo pita, inshort nilikuwa na mpnzi ambaye tulikuwa pamoja kwa kipindi cha miaka mitatu mfulilizo. mwaka wa tatu karibu na anniversary yetu ndipo alipoanza kubadilika maana tulikuwa wote ni madent wa chuo lakin tukiwa vyuo mbalimbali, kitu kilichofanya nihsi mabadiliko yake ilikuwa ni kukosa kwa hamasa juu ya siku hii ambayo miaka ya nyuma ilikuwa na hamasa sana kwake. mpaka anniversary inaisha kwakweli hali haikuwa nzuri lakin kijana nilijaribu kumvumilia tu nikiamin may b n just misukosuko ya mapenzi ya kawaida kama wapenzi wengine. lakini siku moja nikiwa nasubiri kuingia lecture simu ngeni ilipiga na nilipopokea sauti moja ya kiume ilisikika na alichosema kijana huyu ni kwamba niache kumsumbua girl friend wake na anaomba niachane naye kwani muda wangu wa kuwa naye umefika ukomo. nilijikaza nikaongea na huyu dogo mpaka mwisho, nikasema siwezi gombana na mwanaume mwenzagu kisa demu, nikasema itabidi nimwulize mhusika ili anijuze vizuri. basi baada ya lecture nilimpigia huyu mpenzi wangu na nilipomuuliza kwanza alikataa na nilipombana alikili kuwa na uhusiano na mtu huyu. nilimmind na kukata simu. siku ya pili alipiga na nilipomwuliza kwann alifanya hivyo na nn msimamo wake. alinjb kuwa ilikuwa bahati mbaya lakin asingeweza kuachana na huyo bwana kwan angemwumiza sana na hakupenda kufanya hivyo na hivyo indirect alitangaza kuachana na mimi rasmi. hk ndo kibuti ambacho sitakisahau.
 
tutor b kwenye signature yako umekosea spelling hapo mwisho
ila ni ujumbe mzuri
back to the topic:mie sitosahau kuna BF wangu mmoja nilipmiga kibuti
baada ya 24hrs akawa na mwingine sikuamini , kumbe sikuwa peke yangu
nikajua kabisa kwamba ukiwa ktk mahusiano ni vyema kuwa na backorder kuepuka maumivu
hahhaha
aaah umenikumbusha mbali, hapo lazima uangalie backorder cost, holding & ordering cost, mwisho wa siku inabidi uminimize Total cost.
 
Bora kibuti cha kuwekwa wazi - kibuti cha kimyakimya ni noma! Siwezi saau, ila nitajitahidi kusaau, nililipenda kumbe lenyewe lilikuwa kwenye research.

na kwa njia hii ya kumpa majina mabaya huyo aliyekubuti, utasahau tu.
 
kwakweli binafsi kibuti ambacho sitakisahau nilipewa juzi juzi tu hapa yaan miaka kama miwili iliyo pita, inshort nilikuwa na mpnzi ambaye tulikuwa pamoja kwa kipindi cha miaka mitatu mfulilizo. mwaka wa tatu karibu na anniversary yetu ndipo alipoanza kubadilika maana tulikuwa wote ni madent wa chuo lakin tukiwa vyuo mbalimbali, kitu kilichofanya nihsi mabadiliko yake ilikuwa ni kukosa kwa hamasa juu ya siku hii ambayo miaka ya nyuma ilikuwa na hamasa sana kwake. mpaka anniversary inaisha kwakweli hali haikuwa nzuri lakin kijana nilijaribu kumvumilia tu nikiamin may b n just misukosuko ya mapenzi ya kawaida kama wapenzi wengine. lakini siku moja nikiwa nasubiri kuingia lecture simu ngeni ilipiga na nilipopokea sauti moja ya kiume ilisikika na alichosema kijana huyu ni kwamba niache kumsumbua girl friend wake na anaomba niachane naye kwani muda wangu wa kuwa naye umefika ukomo. nilijikaza nikaongea na huyu dogo mpaka mwisho, nikasema siwezi gombana na mwanaume mwenzagu kisa demu, nikasema itabidi nimwulize mhusika ili anijuze vizuri. basi baada ya lecture nilimpigia huyu mpenzi wangu na nilipomuuliza kwanza alikataa na nilipombana alikili kuwa na uhusiano na mtu huyu. nilimmind na kukata simu. siku ya pili alipiga na nilipomwuliza kwann alifanya hivyo na nn msimamo wake. alinjb kuwa ilikuwa bahati mbaya lakin asingeweza kuachana na huyo bwana kwan angemwumiza sana na hakupenda kufanya hivyo na hivyo indirect alitangaza kuachana na mimi rasmi. hk ndo kibuti ambacho sitakisahau.
huu uwekezaji huu? Mi nilishapotezaga imani na hawa watu, mpaka leo naogopa kujicommit!
 
Bora kibuti cha kuwekwa wazi - kibuti cha kimyakimya ni noma! Siwezi saau, ila nitajitahidi kusaau, nililipenda kumbe lenyewe lilikuwa kwenye research.

Dah!!! I couldnt help not to laugh ........... pole Tutor B
 
Back
Top Bottom