Eshy m.s
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,926
- 1,559
Wanaitwa ving'ang'anizi!
wanakera haoo, usiombe kukutana nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaitwa ving'ang'anizi!
Nimewahi kupiga vibuti ila Sijawahi pigwa kibuti, ila some time natamani nione inakuwaje mtu ukipigwa kibuti
Be careful on what you wish for
<br />
<br />
Kweli siku hizi hakuna wa kukupiga kibuti,wote ni wa wote!!
upoo?
kimyaa
Dah mi nlipigwa njiani kabisa na watu wanapita, ilikua jioni huko milimani kwetu mwanza, demu alikua anaelekea kukubali kabisa sku moja akachange akanchana live watu wakasimama kunshangaa. Nlihuzunika wiki3 nzima. Machizi wakasema achana nae kwanza demu ana pua kubwa. Baada ya kumchunguza nkakuta kweli ana pua kubwa mwanzo skuiona
duh.... nimechekaje, mwanzo hukuiona pua kubwa. Ila mwanamke anayekuponda mbele za watu sioo mstaarabu, kwani we ulimtokea mbele ya kadamnasi? bora tu uachana nae, atakuja kukuaibisha kwa kukosa ustaarabuDah mi nlipigwa njiani kabisa na watu wanapita, ilikua jioni huko milimani kwetu mwanza, demu alikua anaelekea kukubali kabisa sku moja akachange akanchana live watu wakasimama kunshangaa. Nlihuzunika wiki3 nzima. Machizi wakasema achana nae kwanza demu ana pua kubwa. Baada ya kumchunguza nkakuta kweli ana pua kubwa mwanzo skuiona
Ukifika dar kaoge baharini unapigwa mno vibuti kaka
Maisha ya mapenzi ni fumbo zito kulifumbua,sijao na cjuwi nitaowa lini but what i knw hata alie owa ajuwi. Mapenz yanaumiza sana lakini mtu imara na mwenye msimamo ktk maisha ataendelea kuish wanyonge kujifia ama kujiuwa. Nilazima vijana tuwe imara ktk kumuombo Mungu maana either wewe mkiristo,muhslamu ama mpagani umeandikiwa mke1 tu mtakae pendana kujaliana ktk shida na raha. Hvyo mim kwangu kupigwa kibuti nifuraha kubwa na uchungu kidogo kwa vile mm nimwanadamu. Lakini ktk yote mke wangu yupo na anakuja! So mashaka huzuni kamwe haziniwezi. Kuna msemo unasema Mungu humleta mtu ktk maisha ya mwanadamu kwa sababu maalumu na Mungu hututenga na mpendwa ama rafiki fulan kutuokoa na jambo fulani tusilo lijuwa!
dunia ya leo mwanamke akupige kibuti kwa kosa gani? Labda kama unaumwa ugonjwa wa kuanguka majukwaani