Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,532
- 3,619
- Thread starter
- #341
Kama ni hivo basi kwa hakika inawezekanaMilion 100 kuna watu wanashika tena below 25yrs..Kuna chalii mmoja alifeli kabisa Ile division 0 alienda mererani alipata zaidi ya 500milioni na wapi wengi Tu kipindi mererani haina ukuta walishika hizo hela...
Kuna Jamaa mwingine namfahamu alianza na Mali kauli bila mtaji na sasa na biashara ya milion 200++ na yupo kama 33yrs