Kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi Mashuleni

Kama hijabu ni vazi rasmi mashuleni (shule za umma na binafsi) basi kumbe pia kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi ili wavulana nao wavae.

Bungeni vibaraghashia na hijabu ni rasmi, serikalini pia ni rasmi, sasa iweje baadhi ya mashule wavulana wasivae vibaraghashia!?

Serikali mnatuchanganya.

Kwanini kama mnapenda nchi za kidini msiende Saudi Arabia
 
SHule hazina walimu wala madawati then anotokea mtanzania mmoja anaomba serikali iruhusu uvaaji wa vibaragashia shule, huyu ni mtanzania anayetarajiwa naye achangie kwenye dira ya taifa 2050, kama hii sio laana basa laana haina maana, tunawaza vitu virahisi rahisi sana, hii pia ndio aina ya fikira walizonazo viongozi wetu
Ha ha ha......
 
Hijab inaeleweka ni stara(sehemu ya vazi) kwa mwanamke. Kibagharashia kina umuhimu gani? Ifike hatua ndugu zangu katika imani tufanye mambo kwa logic.
Sioni haja ya kurasimisha hiyo kofia kichwani
Mimi ni MUISLAM.
Kibaraghashia Ni sunna
 
Kama hijabu ni vazi rasmi mashuleni (shule za umma na binafsi) basi kumbe pia kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi ili wavulana nao wavae.

Bungeni vibaraghashia na hijabu ni rasmi, serikalini pia ni rasmi, sasa iweje baadhi ya mashule wavulana wasivae vibaraghashia!?

Serikali mnatuchanganya.
Hakuna ulazima wa wavulana kuvaa hizo kofia
 
Dini hizi zimetutoa akili.
Mtu mweusi anadhani ati kibaragashia , kanzu na hijabu ni vazi la kiislam na asijue tu ule ni utamaduni wa warabu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaweza kuwa miongoni mwa hao wanaowaza hivyo...lakini pia dini hazina shida ila shida iko kwa waliozipokea hizo dini
 
Kama hijabu ni vazi rasmi mashuleni (shule za umma na binafsi) basi kumbe pia kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi ili wavulana nao wavae.

Bungeni vibaraghashia na hijabu ni rasmi, serikalini pia ni rasmi, sasa iweje baadhi ya mashule wavulana wasivae vibaraghashia!?

Serikali mnatuchanganya.

Shibe mwanamalevya
 
SHule hazina walimu wala madawati then anotokea mtanzania mmoja anaomba serikali iruhusu uvaaji wa vibaragashia shule, huyu ni mtanzania anayetarajiwa naye achangie kwenye dira ya taifa 2050, kama hii sio laana basa laana haina maana, tunawaza vitu virahisi rahisi sana, hii pia ndio aina ya fikira walizonazo viongozi wetu
Hamjamuelewa mtoa mada, lengo lake hijabu zipigwe marufuku shule za umma
 
SHule hazina walimu wala madawati then anotokea mtanzania mmoja anaomba serikali iruhusu uvaaji wa vibaragashia shule, huyu ni mtanzania anayetarajiwa naye achangie kwenye dira ya taifa 2050, kama hii sio laana basa laana haina maana, tunawaza vitu virahisi rahisi sana, hii pia ndio aina ya fikira walizonazo viongozi wetu
Kind like stupidity eti nae kafikiri kwa kichwa?
 
Hijab inaeleweka ni stara(sehemu ya vazi) kwa mwanamke. Kibagharashia kina umuhimu gani? Ifike hatua ndugu zangu katika imani tufanye mambo kwa logic.
Sioni haja ya kurasimisha hiyo kofia kichwani
Mimi ni MUISLAM.
Talk to them
 
Mzungu mbona anahangaika kusitiri matiti anaacha matako na mapaja nje na bado tunawaabudu na kuwasujudu kama ndiyo miungu ya Waafrika katika kila kitu.
Hayo ya wazungu tuyaache tuangalie kufia au shuka kichwani linatusaidia nini. Mungu angetaka si agetuumba na kofia na mashuka kichwani?
 
kuna vitu watanganyika vinatusumbua na matokeo yake siku zote tunatoka kwenye reli kwa kugawanyika na kupoteza umoja tulioujadili kwa muda mrefu. umuhimu wetu ni kwa vitu dhaifu japo inaweza kuwa sio kwa maana hiyo lakini ndio ukweli.
  1. tuanzie kwenye familia tena vitu vidogo- mke anapiga tena kwa jambo muhimu mchepuko unaambiwa kata na unapigiwa wakati kwenye familia uwekezaji ni mkubwa zaidi kuliko huku.
  2. simba na Yanga ni zamaana sana kuliko taifa Stars ndipo ninapokubaliana na daladala moja limeandikwa Nkuhungu kubwa kuliko Dodoma.
  3. dini zetu ni za maana kuliko Taifa letu na kadri tunavyofikiria tunaijua dini tunazidi kuwa wabinafsi na kuwatenga wengine kama unabisha angalia rafiki yako aliyeokoka kama anaweza kukusaidia japo hela ya bia au kuongea na wewe kwa nafasi iliyokuwepo.
  4. dini sasa zimeanza kuwafanya watoto wetu watengwe na hasa waisilamu kwakuwa hili vazi la hijab linawaletea woga watoto na matokeo yake watoto nao wameanza kujikataa na kusababisha uwezo wao kuwa duni .
  5. hii imerahisisha kazi rahisi kwa watawala kutugawa wanawagombanisha kwenye mpira wanakuja kuwapatanisha kwenye dini nasi tunaendelea kutawaliwa kama wapumbavu.
 
Kama hijabu ni vazi rasmi mashuleni (shule za umma na binafsi) basi kumbe pia kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi ili wavulana nao wavae.

Bungeni vibaraghashia na hijabu ni rasmi, serikalini pia ni rasmi, sasa iweje baadhi ya mashule wavulana wasivae vibaraghashia!?

Serikali mnatuchanganya.
Hahahahahahaha
 
Hijab inaeleweka ni stara(sehemu ya vazi) kwa mwanamke. Kibagharashia kina umuhimu gani? Ifike hatua ndugu zangu katika imani tufanye mambo kwa logic.
Sioni haja ya kurasimisha hiyo kofia kichwani
Mimi ni MUISLAM.
Acha Ukhafiri huo, Muislam halisi hupenda kujulikana kwa Salamu yake, Nasaba, Utashi na hata mavazi lakini zaidi kwa Kuswali

Mimi ninachohitaji ni kuwa katika shule na vyuo vyote nchini watutengee vyumba vya kuswalia
 
Back
Top Bottom