Kuzuia wimbo wa 'Honey' Shuleni na kuuacha uendelee sokoni kumeokoa nini?

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Mwanzoni mwa juma hili Bunge la JMT liliingia kwenye mjadala ambao uliishia kuokoa usalama wa ajira za Walimu waliodhaniwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka za ajira zao kufuatia kuimbisha na kuchezesha wanafunzi wimbo maarufu wa haniii... (honey) unaotawala hisia za makundi yote ya rika wakiwemo watoto.

Klipu hiyo ya Walimu hao na wanafunzi ilisambaa (viral) kwenye mitandao-jamii kiasi cha kuzua hisia na maswali yaliyopelekea watumishi hao kuchukuliwa hatua na mamlaka zao za nidhamu na ajira; hatua ambazo Bunge liliona zipitiwe upya kwa namna ya kuzisahihisha. Nalipongeza Bunge kwa umakini huo.

Hoja zangu:-

1. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee sokoni kumeokoa nini?

2. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni ni kuzuia pia dada wa kazi asimchezeshe mtoto arudipo nyumbani toka shule?

3. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na labda nyumbani na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana kwenye makazi ya watu wanakoishi watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

4. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana jirani na mashule wanakosoma watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

5. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye vyombo vya usafiri wa umma wanavyotumia wanafunzi kwenda mashuleni, kurudi majumbani na kwenda maeneo mengine ya miji wanayoishi ndiyo tumeokoa nini?

6. Nadhani wimbo huo ambao sina hakika kama ulipata ithibati ya BASATA ungeondolewa sokoni kabisa kama ambavyo Bunge la JMT liliwahi kuondoa wimbo ule maarufu wa "Nibebeshe ukimwi nihangaike nao" kwamba ulikuwa unahujumu jitihada za taifa za kupambana na maambukizi ya zimwi hilo.

Nchi inapenda muziki na ni tasnia iliyoajiri wengi sana lakini somo la muziki kwenye mtaala ni kama halipo asilani na BASATA wako kimya tu wasitafute kuchagiza muziki kufufuliwa kwenye mitaala ya kufundishia mashuleni ili tuzalishe wanamuziki wenye weledi.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, BASATA ifumuliwe na kusukwa upya kama siyo kuwajibishwa. Walimu wameonewa bure tu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Utakuta mtu anakosoa nyimbo ya Honey ya Zuchu ila ukimuuliza series zake pendwa ambazo anapenda kuangalia atakutajia
1. Breaking Bad
2. Game of throne
3. Spartacus
Kama nyimbo imeruhusiwa na Basata na zinapigwa Radio na Matv na wazazi wengi wanayo hiyo nyimbo wanasikiliza na watoto wao.
Utakuja kumlaumu Zuchu? Mbona
Breaking bad, Game of throne na Spartacus hamuangalii na watoto wenu au familia yenu wala hukuti zinaonyeshwa kwenye matelevision?
Shida siyo Zuchu, shida jamii yenyewe na Basata
 
Utakuta mtu anakosoa nyimbo ya Honey ya Zuchu ila ukimuuliza series zake pendwa ambazo anapenda kuangalia atakutajia
1. Breaking Bad
2. Game of throne
3. Spartacus
Kama nyimbo imeruhusiwa na Basata na zinapigwa Radio na Matv na wazazi wengi wanayo hiyo nyimbo wanasikiliza na watoto wao.
Utakuja kumlaumu Zuchu? Mbona
Breaking bad, Game of throne na Spartacus hamuangalii na watoto wenu au familia yenu wala hukuti zinaonyeshwa kwenye matelevision?
Shida siyo Zuchu, shida jamii yenyewe na Basata
Nchi inapenda muziki na ni tasnia iliyoajiri wengi sana lakini somo la muziki kwenye mtaala ni kama halipo asilani na BASATA wako kimya tu wasitafute kuchagiza muziki kufufuliwa kwenye mitaala ya kufundishia mashuleni ili tuzalishe wanamuziki wenye weledi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mwanzoni mwa juma hili Bunge la JMT liliingia kwenye mjadala ambao uliishia kuokoa usalama wa ajira za Walimu waliodhaniwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka za ajira zao kufuatia kuimbisha na kuchezesha wanafunzi wimbo maarufu wa haniii... (honey) unaotawala hisia za makundi yote ya rika wakiwemo watoto.

Klipu hiyo ya Walimu hao na wanafunzi ilisambaa (viral) kwenye mitandao-jamii kiasi cha kuzua hisia na maswali yaliyopelekea watumishi hao kuchukuliwa hatua na mamlaka zao za nidhamu na ajira; hatua ambazo Bunge liliona zipitiwe upya kwa namna ya kuzisahihisha. Nalipongeza Bunge kwa umakini huo.

Hoja zangu:-

1. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee sokoni kumeokoa nini?

2. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni ni kuzuia pia dada wa kazi asimchezeshe mtoto arudipo nyumbani toka shule?

3. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na labda nyumbani na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana kwenye makazi ya watu wanakoishi watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

4. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana jirani na mashule wanakosoma watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

5. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye vyombo vya usafiri wa umma wanavyotumia wanafunzi kwenda mashuleni, kurudi majumbani na kwenda maeneo mengine ya miji wanayoishi ndiyo tumeokoa nini?

6. Nadhani wimbo huo ambao sina hakika kama ulipata ithibati ya BASATA ungeondolewa sokoni kabisa kama ambavyo Bunge la JMT liliwahi kuondoa wimbo ule maarufu wa "Nibebeshe ukimwi nihangaike nao" kwamba ulikuwa unahujumu jitihada za taifa za kupambana na maambukizi ya zimwi hilo.

Nchi inapenda muziki na ni tasnia iliyoajiri wengi sana lakini somo la muziki kwenye mtaala ni kama halipo asilani na BASATA wako kimya tu wasitafute kuchagiza muziki kufufuliwa kwenye mitaala ya kufundishia mashuleni ili tuzalishe wanamuziki wenye weledi.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, BASATA ifumuliwe na kusukwa upya kama siyo kuwajibishwa. Walimu wameonewa bure tu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ni kama yule mama aliyetoka kuoga kajifunga towel akafika sebuleni watoto wanatazama picha za x, akajivua towel na kufunika TV huku yeye akibaki uchi wa mnyama mbele ya watoto
 
Ni kama yule mama aliyetoka kuoga kajifunga towel akafika sebuleni watoto wanatazama picha za x, akajivua towel na kufunika TV huku yeye akibaki uchi wa mnyama mbele ya watoto
Ni kama yule baba aliyekuwa anaoga bafuni kajipaka povu usoni na mwili mzima simu yake ikaita akachomoka chap! bila taulo akiwa na mapovu kwenda kupokea simu, sebuleni kuna mkwewe, mbio na povu zikamtelezesha sakafuni kwenye marumaru akaanguka na kuvunjika hapo hapo mbele ya mkwewe. Kumbe mkewe ndiyo alipiga simu akiwa chumbani

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ni kama yule baba aliyekuwa anaoga bafuni kajipaka povu usoni na mwili mzima simu yake ikaita akachomoka chap! bila taulo akiwa na mapovu kwenda kupokea simu, sebuleni kuna mkwewe, mbio na povu zikamtelezesha sakafuni kwenye marumaru akaanguka na kuvunjika hapo hapo mbele ya mkwewe. Kumbe mkewe ndiyo alipiga simu akiwa chumbani

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
🤣
 
Huo wameufungia huku wanaucheza kimya kimya kwenye magari na simu zao............sisi watanzania ni wanafiki kuliko ibilisi na shetani ..............usije kushangaa tukachomwa moto woteeeee
 
Mbona kwenye sherehe za mahafali (GRADUATION) mashuleni, nyimbo hizo kila siku zinapigwa. Walimu wakuu hawachukuliwi hatua zozote? Huyo mwl mkuu ameonewa kwa sababu nyimbo hizo kila wakati zinapigwa kwenye sherehe mbalimbali mashuleni. Tuache kufanya kazi kwa mihemko
 
Mwanzoni mwa juma hili Bunge la JMT liliingia kwenye mjadala ambao uliishia kuokoa usalama wa ajira za Walimu waliodhaniwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka za ajira zao kufuatia kuimbisha na kuchezesha wanafunzi wimbo maarufu wa haniii... (honey) unaotawala hisia za makundi yote ya rika wakiwemo watoto.

Klipu hiyo ya Walimu hao na wanafunzi ilisambaa (viral) kwenye mitandao-jamii kiasi cha kuzua hisia na maswali yaliyopelekea watumishi hao kuchukuliwa hatua na mamlaka zao za nidhamu na ajira; hatua ambazo Bunge liliona zipitiwe upya kwa namna ya kuzisahihisha. Nalipongeza Bunge kwa umakini huo.

Hoja zangu:-

1. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee sokoni kumeokoa nini?

2. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni ni kuzuia pia dada wa kazi asimchezeshe mtoto arudipo nyumbani toka shule?

3. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na labda nyumbani na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana kwenye makazi ya watu wanakoishi watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

4. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana jirani na mashule wanakosoma watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

5. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye vyombo vya usafiri wa umma wanavyotumia wanafunzi kwenda mashuleni, kurudi majumbani na kwenda maeneo mengine ya miji wanayoishi ndiyo tumeokoa nini?

6. Nadhani wimbo huo ambao sina hakika kama ulipata ithibati ya BASATA ungeondolewa sokoni kabisa kama ambavyo Bunge la JMT liliwahi kuondoa wimbo ule maarufu wa "Nibebeshe ukimwi nihangaike nao" kwamba ulikuwa unahujumu jitihada za taifa za kupambana na maambukizi ya zimwi hilo.

Nchi inapenda muziki na ni tasnia iliyoajiri wengi sana lakini somo la muziki kwenye mtaala ni kama halipo asilani na BASATA wako kimya tu wasitafute kuchagiza muziki kufufuliwa kwenye mitaala ya kufundishia mashuleni ili tuzalishe wanamuziki wenye weledi.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, BASATA ifumuliwe na kusukwa upya kama siyo kuwajibishwa. Walimu wameonewa bure tu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Nyimbo zote za kipuuzi zinazotukuza bangi, ngono, shisha, usagaji na ushenzy mwingine yafaa zifungiwe kupigwa kila mahali. Tatizo serikali inachukua maamuzi kwa kukurupuka sana.
 
Nyimbo zote za kipuuzi zinazotukuza bangi, ngono, shisha, usagaji na ushenzy mwingine yafaa zifungiwe kupigwa kila mahali. Tatizo serikali inachukua maamuzi kwa kukurupuka sana.
Wamwache Zuchu anatafuta namba (mpenyo) wa kuingia NEC au GA ya kijani kama mamake na Cpt. Komba walivyofanya.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mwanzoni mwa juma hili Bunge la JMT liliingia kwenye mjadala ambao uliishia kuokoa usalama wa ajira za Walimu waliodhaniwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na mamlaka za ajira zao kufuatia kuimbisha na kuchezesha wanafunzi wimbo maarufu wa haniii... (honey) unaotawala hisia za makundi yote ya rika wakiwemo watoto.

Klipu hiyo ya Walimu hao na wanafunzi ilisambaa (viral) kwenye mitandao-jamii kiasi cha kuzua hisia na maswali yaliyopelekea watumishi hao kuchukuliwa hatua na mamlaka zao za nidhamu na ajira; hatua ambazo Bunge liliona zipitiwe upya kwa namna ya kuzisahihisha. Nalipongeza Bunge kwa umakini huo.

Hoja zangu:-

1. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee sokoni kumeokoa nini?

2. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni ni kuzuia pia dada wa kazi asimchezeshe mtoto arudipo nyumbani toka shule?

3. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na labda nyumbani na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana kwenye makazi ya watu wanakoishi watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

4. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye majumba ya starehe yaliyojazana jirani na mashule wanakosoma watoto hao ndiyo tumeokoa nini?

5. Kuzuia wimbo wa haniii... mashuleni na kuuacha uendelee kupigwa kwenye vyombo vya usafiri wa umma wanavyotumia wanafunzi kwenda mashuleni, kurudi majumbani na kwenda maeneo mengine ya miji wanayoishi ndiyo tumeokoa nini?

6. Nadhani wimbo huo ambao sina hakika kama ulipata ithibati ya BASATA ungeondolewa sokoni kabisa kama ambavyo Bunge la JMT liliwahi kuondoa wimbo ule maarufu wa "Nibebeshe ukimwi nihangaike nao" kwamba ulikuwa unahujumu jitihada za taifa za kupambana na maambukizi ya zimwi hilo.

Nchi inapenda muziki na ni tasnia iliyoajiri wengi sana lakini somo la muziki kwenye mtaala ni kama halipo asilani na BASATA wako kimya tu wasitafute kuchagiza muziki kufufuliwa kwenye mitaala ya kufundishia mashuleni ili tuzalishe wanamuziki wenye weledi.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, BASATA ifumuliwe na kusukwa upya kama siyo kuwajibishwa. Walimu wameonewa bure tu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Huwajui ccm wewe, bunge liliingilia kwa kuwa kulikuwa na mapandikizi yao pale, mkuu wa wilaya n.k. Sasa aadhibiwe mwalimu tu na mkuu wa wilaya je?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom