Kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi Mashuleni

Nadhani kwenye shule za uma haya mambo mambo ya dini yasiingizwe kabisa zaidi ya mafundisho ya dini tu. Ikiwa mtu anataka hayo mambo ya dini apeleke mwanae shule za dini.
 
Kama hijabu ni vazi rasmi mashuleni (shule za umma na binafsi) basi kumbe pia kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi ili wavulana nao wavae.

Bungeni vibaraghashia na hijabu ni rasmi, serikalini pia ni rasmi, sasa iweje baadhi ya mashule wavulana wasivae vibaraghashia!?

Serikali mnatuchanganya.
Upuuzi mwingine wa kidini, sasa, inasaidia ni ni? Mi nilitegemea kusikia,masomo ya, IT, lugha za kichina, kijerumani, ziwe za, lazima,
Wafia dini wao ufahari wao ni kuona watoto wao wamevaa symbols za, dini zao, hata kama kichwani ni zero, maadili hovyo,hao mabinti na hijabu zao, tunawashika makalio kila siku, wanagawa uroda hatari!
Huku kwetu unakuta mtu, katoto kadogo miaka 3/4, amekavalisha, hijabu, kanzu, barakashia,akiona ufahari kwamba anakakuza kwenye dini!
Nimekuwa, Niki angalia yanayotokea kule Palestine, watoto wa kike,sijaona wakiwa wamevaa ma kanzu, wala hijabu, naona watoto wamevaa tracksuits, nywele wameziachi swaafi, unaona vibinti vinacheza mdako,vichwa havijafunikwa funikwa kama huku kwetu kwa, waarab weusi!
 
Kama hijabu ni vazi rasmi mashuleni (shule za umma na binafsi) basi kumbe pia kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi ili wavulana nao wavae.

Bungeni vibaraghashia na hijabu ni rasmi, serikalini pia ni rasmi, sasa iweje baadhi ya mashule wavulana wasivae vibaraghashia!?

Serikali mnatuchanganya.
 
Back
Top Bottom